kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,178
- 1,596
"Siku hizi nilishaachaga ujinga wa kumshauri mtu mzima mwenzangu. Mambo yake binafsi atayabeba mwenyewe."We akishakuw ana Bwana lake lenye hela na kasoma soma japo hata form four? Na Smartfoni kali. Humwambii kitu. Anakwambia leave my life, leave me alone its me , I ane Myself tena kwa nyodo sana.
Siku hizi nilishaachaga ujinga wa kumshauri mtu mzima mwenzangu. Mambo yake binafsi atayabeba mwenyewe.
Ni sahihi, hayo majibu huwa wanayatoa sana bila kufikiria kesho mambo yatakuwaje, mambo yakiharibika ndio anajikuta akili inamrudi na kuanza kujutia huku aliyemshauri hana lawana na hana muda naye tena.We akishakuw ana Bwana lake lenye hela na kasoma soma japo hata form four? Na Smartfoni kali. Humwambii kitu. Anakwambia leave my life, leave me alone its me , I ane Myself tena kwa nyodo sana.
Siku hizi nilishaachaga ujinga wa kumshauri mtu mzima mwenzangu. Mambo yake binafsi atayabeba mwenyewe.
Katibu wa chama cha wakataa ndoa kauli mbiu yao ni kuzalisha wanawake na kuwatelekezaDada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.
Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)
Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.
Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.
Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
Endelea na kampeni yako ya kukataa ndoaWatu mnanishambulia lakini hamjui ugumu wa hili Jambo Hakuna Mtu anapenda kuona dada zake wanazalia nyumbani Tena dada zangu wote Bora hata ingekuwa Mmoja.
Watu wa Bukoba wanapenda sana mpini wakitongozwa hawawez kukataa.Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.
Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.
Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)
Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.
Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.
Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
Yakishampata ataanza kulaum ooh duniani watu wanafiki, hakuna rafiki wa kweli anaona kama kila mtu anamtenga😅Ni sahihi, hayo majibu huwa wanayatoa sana bila kufikiria kesho mambo yatakuwaje, mambo yakiharibika ndio anajikuta akili inamrudi na kuanza kujutia huku aliyemshauri hana lawana na hana muda naye tena.
Tuwashauri ili tuepukane na lawana za baadae
Dr Haya land ndio champion wa kataa ndoa. Sasa sijui alidhani wanaoathirika ni dada wa nani.Endelea na kampeni yako ya kukataa ndoa
Nimechelewa sana."Siku hizi nilishaachaga ujinga wa kumshauri mtu mzima mwenzangu. Mambo yake binafsi atayabeba mwenyewe."
[emoji115]
Pole kwa kuchelewa kujua mkuu. Karibu!.
Nimepitamo humo humo. Uzee kazi huu.Mkuu unawajulia sana. Ndo majibu yao hao[emoji10][emoji10][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hao jamaa si watakuwa wanachama wenzio wa kampeni ya kataa ndoa?Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.
Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.
Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)
Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.
Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.
Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
Karma is for real [emoji28]Halafu wee jamaa hauko kwenye ile crew ya kataa ndoa wewe? Sasa hiyo imerudi kwa masista
[emoji28][emoji28]Unawafokea shemeji zako?!
Si wakubwa mmekubaliana kukataa ndoa?Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.
Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.
Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)
Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.
Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.
Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
Kwani wewe umeoa/kuolewa? Ulitumia mbinu gani? La msingi haukubakwa. Waliridhia wenyewe baada ya kuzuzuliwa na magari. Waache walee watoto wao wakimaliza kulea wachukuliwe tena na magari kwenda guest kuzalishwa watoto wengine.Nilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.
Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.
Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)
Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.
Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.
Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.
Naomba namba ya yule ambaye mwanae kashakua kua kidogo ili nifanye naye utafiti kwa nini anadungwa sindano na kila Serengeti boyNilichogundua wanaume wa Tanzania waongo waongo tu.
Dada zangu wote mbona hamjawaoa mmeishia kuwapa Mimba tu.
Yaani mwanume ni waongo Sana mlikuwa mnawapeleka guest na Magari leo hii dada zangu wanatembea kwa Miguu kwenda Kliniki (clinic)
Wanaume ambao wapo serious na hawana mpango wa kuwachezea watoto wa watu na kuwafanya single mothers wapo wachache Mno.
Nimeyatafakari haya Maisha ya mahusiano nimebaki Kupata mshangao Sana.
Ushauri : tulieni na punguzeni tamaa za vitu vidogo ukiona Mtu ana gari acha shobo haimaniishi hiyo gari yake ndo upendo . Hasa hawa wanawakel wa zama hizi ambao hawajausoma huu mchezo vizuri.