Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
- Thread starter
-
- #61
Akili za watu wanaoamini uchawi!!!?Ulilo liandika... Kama lilivyo, libebe hivyo hivyo... Kaliseme kijijini kwenu mchana kweupeee....
Narudia tena, Ulilo liandika... Kama lilivyo, libebe hivyo hivyo... Kaliseme kijijini kwenu mchana kweupeee....
Kama hujazaliwa kijijini nenda KWa waha huko kaliseme au hata usukumani kaliseme...
Baada ya Hapo... Lala hata wiki 1 afu ndo Uje uandike tena
Huu nao ni utoto tu ukikua utaacha.Habari za watu kuchanjwa na wachawi usiku zinaaminika sana nchi hii. Lakini ukweli ni kuwa hakuna wachawi wa kuchanja watu chale. Zile Inazoitwa chale za wachawi huwa ni matokeo ya kukwaruzwa na mchanga usiku baada ya kulalia kitanda kichafu.
Mchanga ni mgumu na una ncha kali kama za wembe, na pengine zaidi. Glasi zenyewe hutengenezwa kutokana na mchanga. Na hata kazi kubwa ya screwnprotectors za simu ni kuzuia kioo kisikwaruzwe na mchanga.
Sasa mtu akilalia kitanda kichafu, chenye mchanga. Katika kujigeuzageuza usiku lazima "umchale." Asubuhi akiamka bila kuelewa kilichotokea, anasingizia wachawi.
Walau wewe ni muhusika na sio wa masimulizi.Bagamoyo niliwahi amka nimechajwa mwili mzima
Sitasahau
Nb mimi sio muumini wa imani za kishirikina kuanzia wazaz mpaka mimi
Mkristo
Mluther
Unaamini kuna watu hupaa na ungo, halafu wakifika wanakokwenda wanapita ukutani bila kuonekana wakiwa wamebeba viwembe na muda mwingine wakiwa uchi kisha wanachanja watu?Huu nao ni utoto tu ukikua utaacha.
Hamna anayechanjwa na wachawi. Hiyo inaitwa dermatographia, yaani ni kama mtu anaandika kwenye ngozi hivyo kunakuwa na pattern kabisa. Hao wanaodai kuchanjwa waliona hata damu kwenye mashuka? Au watadai wachawi waliokuja na ungo wameondoka nayo? Kifupi ni kuwa ujinga ndiyo unatufanya tuamini mambo haya.Moja hapa kuna watu wasiojua kuchanjwa na mikwaruzo. Mikwaruso itabakia mikwaruzo aidha sababu ya kujikuna, au babau yeyote ile.
Ukisikia kuchanjwa ni kitu kina pattern, yaani mtirirko kama mara tatu sehemu moja , inaenda tena mara tatu sehemu inayofuatia.... hata sehemu 10 tofauti kwa mtirirko wa 3..3....
Mimi ukweli sijawahi kuchanjwa ila nimeshuhudi watu 3 tofauti na wawili waliacha kazi waliyokua wanafanya maana ilikua kila mwezi lazima wachanjwe...
Kuhusu mtu kulala ndani na kujikuta nje huku milango yote imefungwa(yupo nje na boxer) ikabidi amgongee mkewe amfungulie na mkewe anashangaa walilala wote iweje yupo nje.
Haya mambo au hii dark science ipo sana
Bila shaka hao kituo cha kazi ilikuaa ni kijijini au ndanindani huko. Hao ni itakuwa walikuwa wamatafuta sababu za kuacha kazi, au kuhakimishwa kituo cha kazi, labda wahamishiwe mjini nk.Moja hapa kuna watu wasiojua kuchanjwa na mikwaruzo. Mikwaruso itabakia mikwaruzo aidha sababu ya kujikuna, au babau yeyote ile.
Ukisikia kuchanjwa ni kitu kina pattern, yaani mtirirko kama mara tatu sehemu moja , inaenda tena mara tatu sehemu inayofuatia.... hata sehemu 10 tofauti kwa mtirirko wa 3..3....
Mimi ukweli sijawahi kuchanjwa ila nimeshuhudi watu 3 tofauti na wawili waliacha kazi waliyokua wanafanya maana ilikua kila mwezi lazima wachanjwe...
Kuhusu mtu kulala ndani na kujikuta nje huku milango yote imefungwa(yupo nje na boxer) ikabidi amgongee mkewe amfungulie na mkewe anashangaa walilala wote iweje yupo nje.
Haya mambo au hii dark science ipo sana
😁😁una agenda zako....Hata ungeishi wapi, hujawahi kutana na mambo ya kichawi. Ni kama watoto wanavyotunga tu habari.
SAwa kwakuwa bado hujakutana nao au hujakutana nayo hayo maswahibu ila kwa ss tunaokaa uswahikini tunaishi na wachawi na tushawah kushuhudia matukio hayo au kuyapata kabsa huwez kuelewa mpka sku uone kwa machoBila shaka ninyi sio wahusika na wala hayajawakuta ila haya mnayoeleza ni maneno tu ya kuambiwa, kusimuliwa, na kusikia kuwa ooh ni vile na hivi basi. Ila kiuhalisia hao wachawi wenyewe utawakuta wapi ? Zaidi ya kutishana tishana tu kwa masimulizi ya kusikia kama ivi mnavyofanya.
tatizo huwa siyo kwamba wachawi hujificha kwa sababu mambo yao ni ya siri, la hasha, isipokuwa kwa kuwa hao wanaoitwa wachawi "HAWAPO". Na huo unaodhaniwa kuwa ni uchawi "HAUPO"
tumebaki na kelele tu, “Kuna wachawi na uchawi”, “Kuna wachawi na uchawi,” “Kuna wachawi na uchawi”. Tukiulizana wako wapi wachawi wenyewe. Tunabaki kusema, “Oh, hayajakukuta”, “Oh, yakikukuta utajua” na kadhalika.
Kifupi, watu tumebaki kudhaniana dhaniana tu na kutoa mifano ya mbali kwa mbali. Ukizungumza na watu wa Lindi watakusimulia hadithi za Sumbawanga au Mwanza. Ukienda Sumbawanga utasimuliwa habari za Malawi. Ukienda Mwanza utasimuliwa hadithi za Tanga na Msumbiji. Ukienda Kenya utasimuliwa habari za Tanzania na India. Ukiishi Tanzania utasimuliwa habari za Kongo na Nigeria.
Kiuhalisia ukiamua kufuatilia au kutafiti hata ninyi mwenyewe ni kuwa mtaishia kukutana na hadithi hadithi tu au na vituko vingi. Vingi ya vituko hivyo utaambiwa vilitokea mwaka juzi au miaka mingi iliyopita. Vituko vyenyewe wala haviwi vya pekee sana, vingi vyake huwa vyenye kuelezeka tu na vingi ya hivyo utakuta ni "ujanja ujanja" tu na mambo ya kufanyiana "timing" basi. Na vichache kati ya hivyo ni mambo yanayoelezeka kisayansi.
Kuna rafiki yangu mmoja naye haamini sana hayo mambo, sasa siku moja alijikuta kwenye mabishano na bibi mmoja ambaye watu wengi wamekuwa wakimuita mchawi.Wewe subiri waje wakuchanje na wakuvunjie yai.
Wenzako huwa kwanza wanauliza ili kupata uhakika wa jambo baadaye ndipo wanaweza kupinga, sasa wewe moja kwa moja unaanzisha mada ya kupinga na kuweka sababu za uongo na kweli eti mchanga kitandani ndio unaosababisha "chale"?!!, ni mchanga gani, wa kiasi gani, katika mazingira gani unaweza kusababisha chale??!!
Hebu tufahamishe hizo chale ulizopigwa na huo mchanga ilikuaje??--- Godoro lako likoje??, mchanga wa aina gani??, huo mchanga ulifikaje kwenye kitanda/godoro na ni mchanga kiasi gani??.
Hapa tunataka tukushike Uongo leo.😀
Pia nimeona sehemu, kuna condition inaitwa dermatographia(Skin writing) kwenye wenye hili tatizo wakijikwaruza tu kidogo ngozi yao hutokeza alama kama vile mtu alikuwa anaandika kwenye ngozi zao. Ishu kama hii ikimtokea mtu lazima tuhisi ni uchawi.
Bila shaka ninyi sio wahusika na wala hayajawakuta ila haya mnayoeleza ni maneno tu ya kuambiwa, kusimuliwa, na kusikia kuwa ooh ni vile na hivi basi. Ila kiuhalisia hao wachawi wenyewe utawakuta wapi ? Zaidi ya kutishana tishana tu kwa masimulizi ya kusikia kama ivi mnavyofanya.
tatizo huwa siyo kwamba wachawi hujificha kwa sababu mambo yao ni ya siri, la hasha, isipokuwa kwa kuwa hao wanaoitwa wachawi "HAWAPO". Na huo unaodhaniwa kuwa ni uchawi "HAUPO"
tumebaki na kelele tu, “Kuna wachawi na uchawi”, “Kuna wachawi na uchawi,” “Kuna wachawi na uchawi”. Tukiulizana wako wapi wachawi wenyewe. Tunabaki kusema, “Oh, hayajakukuta”, “Oh, yakikukuta utajua” na kadhalika.
Kifupi, watu tumebaki kudhaniana dhaniana tu na kutoa mifano ya mbali kwa mbali. Ukizungumza na watu wa Lindi watakusimulia hadithi za Sumbawanga au Mwanza. Ukienda Sumbawanga utasimuliwa habari za Malawi. Ukienda Mwanza utasimuliwa hadithi za Tanga na Msumbiji. Ukienda Kenya utasimuliwa habari za Tanzania na India. Ukiishi Tanzania utasimuliwa habari za Kongo na Nigeria.
Kiuhalisia ukiamua kufuatilia au kutafiti hata ninyi mwenyewe ni kuwa mtaishia kukutana na hadithi hadithi tu au na vituko vingi. Vingi ya vituko hivyo utaambiwa vilitokea mwaka juzi au miaka mingi iliyopita. Vituko vyenyewe wala haviwi vya pekee sana, vingi vyake huwa vyenye kuelezeka tu na vingi ya hivyo utakuta ni "ujanja ujanja" tu na mambo ya kufanyiana "timing" basi. Na vichache kati ya hivyo ni mambo yanayoelezeka kisayansi.
Mchanga ni mgumu na una ncha kali kama za wembe, .
CHAWI HILO[emoji16][emoji16]una agenda zako....
Si uamini katika kunifanikishia mambo yangu maana KWa imani yangu ni dhambi... Lakini upo na ninasema hivyo nikiwa na uhakika kabisaAkili za watu wanaoamini uchawi!!!?
Nyembe kabisa nilikuja gundua wakati naoga asubuh mwili unawasha sanaMtu akiamka akakuta hivi atasema wachawi wamemchanja usiku. Inaitwa dermatographia.
Hapana sikwenda hospital manake niliwaza naelezaje aibu hiiWalau wewe ni muhusika na sio wa masimulizi.
Baada ya kuamka na chanjo mwili mzima namna hiyo je, ulijaribu kufuatilia nini sababu ? Mfano kwenda hospitali labda kujua tatizo kwa vipimo vya sayansi ya afya nk.
Bagamoyo ni wachawi we dada acha afu kule sio mpaka uwachokozeHamna anayechanjwa na wachawi. Hiyo inaitwa dermatographia, yaani ni kama mtu anaandika kwenye ngozi hivyo kunakuwa na pattern kabisa. Hao wanaodai kuchanjwa waliona hata damu kwenye mashuka? Au watadai wachawi waliokuja na ungo wameondoka nayo? Kifupi ni kuwa ujinga ndiyo unatufanya tuamini mambo haya.
Mtz akiona hivi asubuhi atasema wachawi walikuja wakamchanja.
Ni kama conditions hapo juu au ulipitiwa na allergic reactions. Uliona damu zilizotokana na kuchanjwa?Nyembe kabisa nilikuja gundua wakati naoga asubuh mwili unawasha sana
Kutoka bafuni nikaenda kujikagua mwili ndani kuangalia
Nyembe zimepita za kutosha na ile siki nililala na jinsi nimerdi gheto sa 8 usiku nikajilaza mazima
Na jinsi haina tobo hataaa
Nikampigia simu antie yangu Moro ye ni mtu wa kusali sana akasema mwanangu utakuwa husali huko bagamoyo lazma
Nikakausha