Hakuna mkate mgumu kwenye chai, hakuna mwanaume anayeweza kumnyima mwanamke pesa

Ukutane na kundi la wapiga punyeto hapa mbona mjadala hautoisha
 
Mabwege hawaishi Dunia hii
 
πŸ˜€πŸ˜€ hawa wenzetu wanahitaji serious consultation, just imagine mtu anakua mkali kwa hela ambayo hajashiriki kuitafuta wala hamdai chochote mwenzake
Nawashangaa sana wanataka wapate benefit anazopata malaya maana malaya ndio huwa tunawalipa kwa ajili ya huduma ya ngono, lakini hawa ukiwaambia tupatane per night anaona unawadhalilisha.

ephen_ Kapeace
 
Hujakutana na mimi...kula chuma hicho.
 

Attachments

  • Kuachwa.mp4
    2 MB
Eti jamani, kweli pesa ni kitu cha kumnyima babe wako!! Acheni uchoyo.
 
Hela?

Mmh, acha uzushi, wewe mbona kuna wanawake kibao umewanyima hela?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…