milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Kilichomkimbiza BBC ni kuja kuoa akiwa mzee😳
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akimaliza anakuua na kurithi mali zakoMwanaume bwana maana mke anakuja kuongeza ukoo na kupanua jina lenu.
Mi sikubaliani na hili la DUME kupiga goti!Mwanaume anapiga goti dah kweli dunia yaenda kasi
Another contractAkimaliza anakuua na kurithi mali zako
Unamfahamu huyo mwanamke?Sawa lakini sisi wanawake tuna kaunafki flani hv yaani mtu sio mara ya kwanza kumvisha mwanamke pete alfu eti mkono mdomoni kama vile anashangaa ni surprise kama vile ndio wa kwanza mpyaaa[emoji2960]
Si wanasema ni miss Tanzania??
Kweli mkuuFursa ya kuwa Mwanaume hiyo "I will marry when I want"
Mwanaume unaweza Kuoa ukiwa na miaka 23 ama 70, muhimu kuchanga karata zako vizuri
amempata wakumsaidia kula pensheniTayari another man downView attachment 3163537
Hongera sana kikeke.Tayari another man downView attachment 3163537
Machoko ndo anather man down. Jamaa anaoñesha urijali kwa kuçhukua chombo unaleta ukataa ndoa hapa.Tayari another man downView attachment 3163537
Kwa kadiri siku zinavyoenda uanaume unapungua kwa kasi sana na uanamke unazidi kuchukua nafasi huu ni ushetani kabisa na ndiyo maana siku za leo kuna wanaume wanakaa ndani mwanamke ndo anatafuta hela. yaani mwanaume anamilikiwa na mwanamke.
Khee alikua hajaoa? Wanaume wa hivi sio wa kuwaaminiKikongwe Salim Amezeeka sana.
Humo ndani bado MAINI yanafanya kazi kweli?
Au ndo yale mambo ya PEPEA ITASIMAMA?
"Pepea na gazeti baby itasimama ndani kwa ndani"
Cc: Mbaga Jr Poor Brain Demi Kalpana binti kiziwi
Nipe location nije unichokonoe mmmmmae zako kima mjane wewe!!Machoko ndo anather man down. Jamaa anaoñesha urijali kwa kuçhukua chombo unaleta ukataa ndoa hapa.
Ukifa je unazani wote tutafikia 50?Safi sasa kijana mdg unakimbilia kuoa haraka araka
Wewe ndo umekuja na hoja ya msingiOna pozi la Mwizi anajifanya Yuko very surprised......
#Stay Hard.
#Stay Putinized.
Na unga mkono hoja. Huwa na enjoy sana kula mijusiHuyo bibie nguo imembana mno,anashindwa kuhema jaman🤦
Wewe unaesema mandown...hivi unajua raha ya kusex na wanawake wembamba? Hakuna inapokwama!
Ila gubu ndiyo ananyoka nalo
Mwanaume unaweza Kuoa ukiwa na miaka 70 na bado ukaendelea kuzalisha hasa ukipata Mke wa miaka 28 hadi 33 hapoKweli mkuu