Karibu...unipende mie na wananguπππ€Ngoja nijipange vizuri kumbe uko single.
Nakukubali sana
πππSina hiyanaNawewe unanishauri hivyo?
π mimi ni nani nikatae ushauri wakoπππSina hiyana
Wanasema ukipenda ua, penda na maboga yake.Karibu...unipende mie na wananguπππ€
Wee,kumbe wewe nitakupenda mpaka useme pooWanasema ukipenda ua, penda na maboga yake.
πSo goodπ mimi ni nani nikatae ushauri wako
Ninyi mtakuwa na sura za Babu wa baba zenuNa sio wenye sura mbaya na hatujaolewa na tuna 30 mnatuanbiaje
So niceπSo good
Ngoja nijipange sasa.Wee,kumbe wewe nitakupenda mpaka useme poo
Nakusubiri Kwa hamuNgoja nijipange sasa.
Dada mkubwa Aaliyyah nakuomba unielezee hapa πππMsichana aliyeumbika na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.
Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.
Nataka kusema nn? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.
Nimemaliza!
Sisi mashangazi halituhusu hahaaa π πHaya wasichana warembo mkuje huku mpambane na liuzi lenu.
Imekugusa kunako ππWewe mwehu nini!
Duh! Huku mbali sasa[emoji23][emoji23][emoji23]Usithubutu kuoa mdada mwenye 25+ utanikumbuka!
ππππSisi mashangazi halituhusu hahaaa π π
Siyo kwamba ukiandika hoja kwa kiingilishi ndiyo inakuwa bora sana. Ulichokiandika hakina mantiki yoyote.Hizi tafiti zenu uwa mnafanyia wap?
Put data on the table......?
Without statistical Data...........This thread will sound ridiculous.