Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

Mtoto wako wa Kwanza Ana umri gani?
Punguza kujitetea.
 
Hii inabid uifungulie uzi kabsa mkuu
 
Umeongea kitu cha kawaida sana mkuu,nilidhan umekuja na kigezo kipya cha wanawake kuolewa,apo mwisho ungemalizia unless yeye mwnyw hatak kuolewa ama lesbian

Km mm chupi kali yenye afya njema me naweka ndan,tabia tainyoosha umo umo ndan

Ww sio muhoaji
 
Kilichokufanya usiolewe mpk miaka 33 ni Nini kama siyo uzinzi? Unaolewa miaka 33 ili update nn zaidi ya kusumbua mkaka wa watu kukupeleka tiba mbadala ili update mimba?

Ninyi ndiyo mnazaa mtoto mmoja tu tena mwenye mtindio wa ubongo. Maana mifuko ya uzazi ishaharibiwa na midonge ya kutoa mimba tangu ukiwa na miaka 13 mpaka 33 umetoa mimba zaidi ya 20.

Na huyo aliyekuoa naye atakuwa hamnazo au labda ni mbabu wa miaka 80. Mwanamke miaka 33 unampeleka wapi? Na wa nn?
 
Wasichana wazuri wenye tabia njema waliisha tokea 1968...
 
Kwasababu gani inakuwa no kwa mwanamke Sexless ?
Mwanamke by nature anakua haraka Sana. Ndiyo maana Kuna nchi mwanamke anaolewa akibalehe tu (miaka 14). Lkn ushasikia wapi mtoto wa kiume miaka 14 kaoa?

Tuje kisayansi sasa. Menopause (kukoma kwa siku za mwanamke ie menstruation cycle) ni miaka 45. Kwahiyo mwanamke anapaswa kuzaa kabla ya miaka 45.

Tafsiri yake mwanamke akifika 45 ni mzee ama ukipenda bibi kizee. Sasa huyu wa miaka 33 si hatazamiki!
 
Nimekuelewa Sexless na mwanaume wa miaka 45, yeye ni mzee au kijana bado? Daa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…