Hakuna mwanaume anayeridhika na mwanamke mmoja kimwili

Tulishafanya yote hayo mkuu...kila shimo na utam wake
Huyu wa nyumbani vigezo vyake sio shimo tu..akili ya kuendesha familia,uwezo wa kupambanua mambo...
 
Mtumishi point Yako haina unafiki
 
Afu unakuta wanasema oh mwanaume haridhiki na mwanamke mmoja.. yuko na kibamia chake kazi kujidhalilisha anavyokichungulisha kwa watu mbalimbali 🤣🤣🤭
😂😂Dharau nyengine wanaume huwa wanajitakia wenyewe tu.

jitu linataka kila mwanamke alale naye yaani hata ukipita mtaani umevaa nguo, hao ulolala nao wanakuona uko uchi....sijui ni ulimbukeni au😹😹😹
 
Ndio hivyo, tunanafikiana tu eti mke mmoja! Uongo mtupu pisi zikikatiza udenda chini na kujikaza tu. Hii shughuli ni pevu mnooo.
Ndo ukwel huu, Mwanaume lazima uzipo jiheshimu, kujiwekea class flan ivi kila tako unageuka utafika mbenguni umechoka sana
 
Nikiwa kwenye ground state hua sinaga mawazo ya kucheat bibi yangu, sema nikikutana na mdada na akanionesha signal ndo nakengeuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…