Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Hakuna mwenda kanisan hapaHuku kwetu haukatiki 😂
Huu ndo muda wankuingia misa ya kwanza
Yet you still here🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mwenda kanisan hapaHuku kwetu haukatiki 😂
Huo udenda naenda kuumalizia Kwa wangu nyumbani. Binadamu sio hayawani.Ndio hivyo, tunanafikiana tu eti mke mmoja! Uongo mtupu pisi zikikatiza udenda chini na kujikaza tu. Hii shughuli ni pevu mnooo.
HahaHakuna mwenda kanisan hapa
Huu ndo muda wankuingia misa ya kwanza
Yet you still here🤣🤣
Huendi🤣🤣Haha
Ninapokaa na Kanisani dk 3 tu
Misa inaanza 12:30 ðŸ¤
Usiseme basi kwa nguvu 😂😂Huendi🤣🤣
Mie Niko msiban wanajiandaa kwenda misa ya kwanza Ila mie siendi
AsanteUsiseme basi kwa nguvu 😂😂
Kwanini huendi na uko na kampani?
Poleni kwa msiba dear.
Binadamu hawezi kuridhika kwa chochote si wanawake tu, Ukilijua hili, hakuna kitu kutakupa shida.Ndio hivyo, tunanafikiana tu eti mke mmoja! Uongo mtupu pisi zikikatiza udenda chini na kujikaza tu. Hii shughuli ni pevu mnooo.
😂😂 si ungejishoneaAsante
Wameninyima sare
So waache wafu wazike wafu wao
NAKAZIANilikuwa mkaidi sana, ila naunga mkono hoja kwa 100%, papa moja inakuzeesha chap sana.
Kumbuka,hata walioko kwenye ndoa,wengi wao huo ugwadu umewakumbatia kwa nguvuKwa hii ratio ya me vs ke ukitaka kila me awe na ke mmoja utafanya ke wengi wafe kwa ugwadu.
Me au Ke?Kumbuka,hata walioko kwenye ndoa,wengi wao huo ugwadu umewakumbatia kwa nguvu
🤣🤣Ilikuwa ghafla😂😂 si ungejishonea
Mbona kwa ukali snaHalafu mkome kuwa mnajilinganisha na mfalme Solomony, alikuwa mfalme nyie sio wafalme, nguvu za kiume za kuridhisha wake 1000 hapa hamtoboi, hekima, ndie binadamu tajiri zaidi kuwahi kutokea nyie ni kina apeche alolo ni km leo eti mwanamke ajifananishe na bikira Maria,