Una point Mkuu! Utafika mbaliiiOne woman is enough, what should change is the venue and style.
Ila akipinga pingaMimi natulia na mmoja kama tu anafuata sheria zangu na kunipa mchezo vizuri bila kupingapinga. Hapo natuliaaaaaa
Udenda hua unakutoka na wewe eehSiungi mkono hoja na sipingi vile vile
Usinigombanishe 😂Udenda hua unakutoka na wewe eeh
Kwani yupo humu?😂Usinigombanishe 😂
Tafadhali
😂 kwamba hujui auKwani yupo humu?😂
Nimesahau😂😂 kwamba hujui au
Unasahauje ila kama ni kugeuka nageuka mpaka shingo inauma 😂Nimesahau😂
Baada ya hapo unaenda anakukanda shingo 😅Unasahauje ila kama ni kugeuka nageuka mpaka shingo inauma 😂
Nani sasa akanikande😅Baada ya hapo unaenda anakukanda shingo 😅
Bana eeh msalimieNani sasa akanikande😅
Shikamoo 😅Bana eeh msalimie
🤣🤣Shikamoo 😅
Mkuu mwenyewe 😅😥🤣🤣
Marahaba mkuu
Kuna mwanamke aliniambia,hata wao wanatamani sana wanavutiwa sana na wanaume tofauti tofauti,ila hawana namna,nilimshangaa sana naye akawa ananishangaa.Akaniambia ukimuona mwanaume mwenye mvuto zaidi ya uliyenaye lazima umtamani ,hata sisi tunapenda kubadilisha ladha.Ndio hivyo, tunanafikiana tu eti mke mmoja! Uongo mtupu pisi zikikatiza udenda chini na kujikaza tu. Hii shughuli ni pevu mnooo.
ImekugusaMbona kwa ukali sna
Ukachomwe moto kwa vimichepuko vitano ndugu yangu, tutakuheshimu ukiwa na 20😂😂Mwanaume angalau uwe nao watatu kwa uchache na ukiweza hta 5 fresh