Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, mama usijidanganye

Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, mama usijidanganye

Kuna watu hapa wako nyuma ya keyboard kujifanya watakatifu wana mke mmoja na wametulia.

Huyo mwanaume HAYUPO na sijawahi muona tangu nizaliwe, labda uwe mgonjwa au una mapungufu fulani
Wacha niwakumbushe TU kuwa sex ni Kati ya mambo ambayo yanasimamiwa na mfumo wa fahamu unaofahamika kama autonomic nervous system (sympathetic na parasympathetic). Mfumo huu unajiendesha wenyewe. Unatumia reflexes na hormones ambazo huna namna yoyote unaweza ku control kwa utashi wako mambo yake kama vile kudisa, ku ejaculate,kupumua, kutoka jasho, kwenda haja ndogo, mapigo ya moyo, kujisikia baridi, hasira, kucheka, nk.

Sasa unapomsikia mtu anasema yeye anaweza kujizuia asidise hata akimuona mwanamke mzuri na mrembo lakini hawezi kuzuia asiende haja ndogo au mapigo yake ya moyo au asijisikie njaa basi mtu huyo ni muongo wa kutupwa au ni magonjwa wa kupindukia.
 
Mkuu, kama mimi mke wangu anasifa zote ninazozitaka ana vigezo vyote ninavyovitaka,
Je kuna ulazima wa kuwa na mchepuko?
Mwanamke wa hivyo labda umemtengeneza wewe mwenyewe maabara.
 
Mimi si muislam, lakini kwa mujibu wa uislam Allah alituumba wanadamu tumuabudu, kwa hiyo kuswali usiku na kufunga ni ibada ambazo humfurahisja Allah napo hutoa thawabu.
Basi kuoa wake wengi pia ni ibada ambayo Allah nae huipenda ndio maana hutoa thawabu.

Na wala hamchukii yule ambae hana wake wengi kwa sababu sio dhambi kutokuwa na wake wengi.
Mimi si muislam
Kwa nini unajibanza na hoja za uislamu alafu ukiulizwa unakuwa unasema wewe sio muislamu ?
 
thawabu ni zawadi na siku zote zawadi hutolewa kwa jambo ambalo ni zuri.
Hoja sio uzuri,sote tunakubaliana kwamba hilo jambo ni zuri.
.hoja sio uzuri hoja ni ulazima elewa shee hoja ni ulazima sio uzuri.
Bado hujanijibu swali mkuu, kwa sababu hujatoa sababu
Sababu kubwa nimekupa kwamba Allah kataka atoe thawabu kwenye jambo hilo.

Lakini oili kama ulivyojibu swala langu ni kuwa hii ni ibada ambayo Allah ameruhusu tuifanye ndio maana ukifanya unapata thawabu.

Kama ambavyo ukifanya ibada za sunna japo sio lazima na ni nzuri ibada hizo basi ukifanya unapata thawabu.
Mfano nakuuliza kwa nini binadamu tunakula , wewe unajibu tunakula kwa sababu tunakula, hapo hujajibu mkuu
Tatizo unauliza huku una majibu yako.

Kama sio muislamu usitumie hoja za uislamu kwa sababu utashindwa kujibu unayoulizwa.
 
Na vipi mimi kidume cha mbegu nikiamua kukaa tu bila kuoa??.
Mungu hajui kuoa, anachofahamu ni wewe kuweza ku sex basi. Kuoa ni mambo ya kijamii TU lakini sio takwa LA uumbaji wako. Ndiyo maana hata bila ndoa watu wanazaa watoto wenye afya na wazuri ambao wanaweza kuwa Marais, masheikh, na maaskofu. Kama kuoa kungekuwa Jambo la msingi basi watoto wote wangezaliwa kwenye ndoa TU, lakini Mungu anafanya uumbaji hata kwa wasio na ndoa kuonyesha kuwa ndoa sio agizo la Mungu.
 
Lwngo la mifano hiyo ni kukufahamisha wewe ndugu ili upate kuelewa kwamba sio kila kilicho muhimu basi ni lazima.

Lakini bado hujanifahamu ila utafahamu kwa uwezo wa mungu kisha juhudi zako.

Kujisikia njaa hupangi huwa inatokea tu,sasa hapa duniani sio kwamba spte tunajisikia njaa pamoja.

Kuna watu wakila asubuhi wao kujisikia njaa mpaka usiku ndo walw tena.

Kuna watu kila wakila wao kujisikia njaa baada ya masaa manne.

Usihukumu kwamba kujisikia njaa ni kila baada ya masaa manne kwa kumuangalia huyu anayepatwa na njaa mara kwa mara,lazima kila mtu umpe hukmu yake.

Usitake kuniambia kwamba hapa duniani watu wote tunakula sawa milo mitatu,kuna watu wanakula mlo mmoja tena kwa kuridhika.

Kuna watu wanakula milo mitatu,wengi milo minne.

Haya yote ni kwa sababu ya metabloci activities zao katika mwili.
Hivyo suala sio kusikia njaa bali suala unasikia mara ngapi.

Ndio hivyo hivyo katika wake.

Suala sio kupata hamu unaweza kupata hamu mara tatu kwa siku ukamalizana na mkeo mmoja

Hapa suala ni kwamba lazima watu wote wawe na wake wengi ati kkwa kuwa matamanio yao hayawezi kukidhiwa na mke mmoja ?

Jawabu sio lazima kila mtu awe na wake wengi ili matamanio yake yakidhiwe barabbara.

Unaweza kuwa na mke mmoja tu na ukaishi nae huyo huyo kama amnavyo kuna ambao wanaweza kula mlo mmoja tu wakasavaivu siku nzima.

Pia katika kukojoa kuna watu wanakojoa mara tano kwa siku.

Kuna ambao wanakojoa mara mbili tu kwa siku.

Usitake kulazimisha kwamba kila mmoja lazima akojoe mara tano kwa siku na ukamhukumu huyu anaekojoa mara mbili ni mgonjwa,kila mtu ana metabolic activities zake mwilini.

Usitake kulazimisha kila mwanaume normal weight yake iwe kilo 60 wakati kuna wengine ni warefu wana mifupa migumu sana na minene.

Kila mmoja atakuwa na weight kama ambavyo kila mmoja atakuwa na matamanio,lakini kila mmoja atakuwa na weight yake sio kwamba binadamu owte tutakuwa na weoght sawa.


Wakikutana na wewe bila hsaka utawaambia hawako normal kama wanaume wenzao.


Hata katika kimo kila mtu ana kimo chake usitake kulazimisha kwamba wanaume wote lazima tuwe na urefu wa futi sita.

Kila mmoja atakuwa na urefu kama ambavyo kila mmoja atakuwa na matamanio lakini haina maana matamanio au urefu utakuwa sawa kwa wote.
Binadamu na wanyama wote Wana viwango vyao vya tabia, na viwango hivi vinaathiriwa na aina ya kiumbe, afya ya kiumbe, kazi anayofanya kiumbe na hali ya hewa ya mazingira yake. Unaofahamika kuwa kiasi Cha chakula anachokula mtu kinategemea na afya yake, kazi anayofanya na hali ya hewa. Huwezi kuwa mcheza mpira au boxer halafu unakula mara moja kwa siku. Huwezi kuwa mwanaume mahiri kitandani kama unakula mara moja na unakula chai na maandazi 2. Wewe unaesema Mke mmoja anakutosha usikatae kuwa una kasoro Fulani mahali. Inawezekana kuwa huli vizuri, hufanyi mazoezi, au unashida kwenye hormone na nerves zako, tumbo au maradhi mengine.

Mwanaume wa kweli lazima awe na makandokando kwenye sex.
 
Binadamu na wanyama wote Wana viwango vyao vya tabia, na viwango hivi vinaathiriwa na aina ya kiumbe, afya ya kiumbe, kazi anayofanya kiumbe na hali ya hewa ya
Huwezi kuwa mcheza mpira au boxer halafu unakula mara moja
Sasa usilazimishe mtu wa ofisini ale mara tatu kama mcheza boxer wakati yeye mwili wake hauhitaji kula hivyo.
Wewe unalazimisha hata asiyekuwa mcheza boxer ale mara tatu kwa siku.
kwa siku.
siku. Huwezi kuwa mwanaume mahiri kitandani kama unakula mara moja na unakula chai na maandazi 2.
Kuna watu ambao sio wacheza boxer hao mlo mmoja kwa siku inawatosha sana.

Sasa unaposema kwamba mwanaume timamu lazima ale mara tatu unalazimisha hata hawa ambao hawafanyi kazi za nguvu kutumia physical effort manake unataka azimishe wale mara nyingi kwa siku ili wakuridhoshe wewe tu.

Kwa mujibu wa marejeo gani unayasema haya maneno kwamba laazima mwanaume kami ale mara tatu kwa siku ?

Wewe unaesema Mke mmoja anakutosha usikatae kuwa una kasoro Fulani mahali
Hujaweka marejeo ya madai yako yoyote yale bado unazidi kuweka madai tu.
Inawezekana kuwa huli vizuri,
Bado una hisi tu mradi usikose sababu ya kukusapoti kwenye msimamo wako.
 
Sasa akma ambavyo unakataa kwamba issue sio ovulation maana yake unakubalk kwamba sio wanawake wote wako hivyo.

Sasa ndo ujue kwamba hata haya maneno yako unayosema hapa sio wanaume wote wako hivyo unavyotaka wewe iwe.

Naaam kwani nani naakataa.

Shida sio kusisimiwa shida ni namna gani na kiwango gani mtu anasisimuliwa.

Kuna wanaume wakisikia sauti watasisimuka lakini hawasimamishi,wengine sauti hiyo hiyo watasimamisha kabisa.

Labda umaanishe vingine unaposema "kusisimka"

Hapa hatuzungumzi kusisimuka tunazungumzia ulazima wa mwanaume kuwa na wake wengi.

Mimi naweza kusisimka nikisikia sauti ya mwanadada lakoni sauti hiyo isinipe hamasa yoyote ya kuwa na mke mwingine.

Naweza kuona tako la dada fulani lakini tako hilo lisinipe hamasa ya kuongeza mke.

Haya yote mwanamke nae pia huyapata endapo akiyapata na kufanyiwa.

Sasa hoja sio kupata hoja ni kwamba kuna ulazima gani wa kuwa na mtu zaidi ya mmoja kwa kupata kwake mambo hayo.

Na kwa nini huo ulazima uuoime kwa watu wote na sio mtu huyo aliyepatwa na hayo mambo tu.
MwenyeziMungu Hakutengeneza mbegu za kiume za kumwaga TU kwa mkeo kama starehe, mbegu zile ni kwaajili ya uzazi TU baaasi. Zipeleke shambani zinakohitajika na sio kummwagia mkeo asiyezihitaji kwa wakati huo. Kama Yuko mwanamke anatafuta mbegu hazipati wewe mbegu hizo unazimwaga kwa mwenamke aliyejifungua miezi 3 iliyopita ni upuuuzi na ujinga wa kiwango cha juu sana, hujui kwanini Mungu alikuumba mwanaume, hi heri angekuumba mwanamke. Maana hata beberu anampanda yule TU mwenye uhitaji wa mbegu.
 
Sasa usilazimishe mtu wa ofisini ale mara tatu kama mcheza boxer wakati yeye mwili wake hauhitaji kula hivyo.
Wewe unalazimisha hata asiyekuwa mcheza boxer ale mara tatu kwa siku.

Kuna watu ambao sio wacheza boxer hao mlo mmoja kwa siku inawatosha sana.

Sasa unaposema kwamba mwanaume timamu lazima ale mara tatu unalazimisha hata hawa ambao hawafanyi kazi za nguvu kutumia physical effort manake unataka azimishe wale mara nyingi kwa siku ili wakuridhoshe wewe tu.

Kwa mujibu wa marejeo gani unayasema haya maneno kwamba laazima mwanaume kami ale mara tatu kwa siku ?


Hujaweka marejeo ya madai yako yoyote yale bado unazidi kuweka madai tu.

Bado una hisi tu mradi usikose sababu ya kukusapoti kwenye msimamo wako.
Wewe unaweza hayo kwakuwa chakula chako ni chips mayai, kacholi, ice cream ndo maana hata apite mbele yako Mke Yuko uchi hushituki. Shababi hawezi kula mlo mmoja akamudu kuwa mume.
 
Usije ukajisifu mbele ya watu kuwa Mke/mume wako hachepuki, utakujapata aibu ya mwaka
Nilishaacha kukili udhaifu and it does work for me.Sometimes tunampaga sifa za kijinga sana shetani.
 
MwenyeziMungu Hakutengeneza mbegu za kiume za kumwaga TU kwa mkeo kama starehe, mbegu zile ni kwaajili ya uzazi TU baaasi. Zipeleke shambani zinakohitajika na sio kummwagia mkeo asiyezihitaji kwa wakati huo. Kama Yuko mwanamke anatafuta mbegu hazipati wewe mbegu hizo unazimwaga kwa mwenamke aliyejifungua miezi 3 iliyopita ni upuuuzi na ujinga wa kiwango cha juu sana, hujui kwanini Mungu alikuumba mwanaume, hi heri angekuumba mwanamke. Maana hata beberu anampanda yule TU mwenye uhitaji wa mbegu.
Sawa boss.

Naona maneno mengi

Endelea kuongea,ukianza kujenga hoja nitakuja.
 
Wewe unaweza hayo kwakuwa chakula chako ni chips mayai, kacholi, ice cream ndo maana hata apite mbele yako Mke Yuko uchi hushituki. Shababi hawezi kula mlo mmoja akamudu kuwa mume.
Sawa.

Ukianza kujenga hoja nnitakuja,sasa hivi sijaona hoja zaidi ya mipasho tu mkuu,na mimi najidili hoja sio mipasho
 
Sasa usilazimishe mtu wa ofisini ale mara tatu kama mcheza boxer wakati yeye mwili wake hauhitaji kula hivyo.
Wewe unalazimisha hata asiyekuwa mcheza boxer ale mara tatu kwa siku.

Kuna watu ambao sio wacheza boxer hao mlo mmoja kwa siku inawatosha sana.

Sasa unaposema kwamba mwanaume timamu lazima ale mara tatu unalazimisha hata hawa ambao hawafanyi kazi za nguvu kutumia physical effort manake unataka azimishe wale mara nyingi kwa siku ili wakuridhoshe wewe tu.

Kwa mujibu wa marejeo gani unayasema haya maneno kwamba laazima mwanaume kami ale mara tatu kwa siku ?


Hujaweka marejeo ya madai yako yoyote yale bado unazidi kuweka madai tu.

Bado una hisi tu mradi usikose sababu ya kukusapoti kwenye msimamo wako.
Sex sio kazi rahisi ya chips mayai kaka, sex inataka nguvu nyingi sana, nguvu inayopotea kwenye mshindo mmoja TU unaweza kuitumia kutembea miles 11 kwa miguu. Hivyo huwezi kuwa effective kitandani kama hujashiba.
 
Sex sio kazi rahisi ya chips mayai kaka, sex inataka nguvu nyingi sana, nguvu inayopotea kwenye mshindo mmoja TU unaweza kuitumia kutembea miles 11 kwa miguu. Hivyo huwezi kuwa effective kitandani kama hujashiba.
Sawaa mkuu
 
Mwanamke wa hivyo labda umemtengeneza wewe mwenyewe maabara.
Una umri wa miaka mingapi?
Umeoa?
Una familia?

naomba unijibu hayo maswali kwanza kisha tuendelee isije kua nasumbuana na mvulana
Pia nikwambie tu tunatofautiana tabia, mazingira ya kazi, tunayoishi

binafsi maeneo yangu ya kazi na mazingira ninayofanyia kazi huwa nakutana na wanawake wa aina tofauti, umri nilionao na maisha niliyopitia sioni kipya kwa wanawake

hivyo mimi kupata mwanamke asilimia 90 ya sifa ninazozitaka ni jambo rahisi sana

hatufanani mkuu
 
Basi kuoa wake wengi pia ni ibada ambayo Allah nae huipenda ndio maana hutoa thawabu.

Na wala hamchukii yule ambae hana wake wengi kwa sababu sio dhambi kutokuwa na wake wengi.

Kwa nini unajibanza na hoja za uislamu alafu ukiulizwa unakuwa unasema wewe sio muislamu ?
Kinachonichanganya ni kwa nini atoe thawabu kwa wake wengi na asitoe kwa mke mmoja?

Na tukirejea kwenye maana ya thawabu ni zawadi.

Umeshindwa kunijibu hapa ndugu safuher nikakuelewa vizuri.

Jibu lako la kwamba antoa thawabu kwa sababu anatoa thawabu halitoshi mkuu.
 
Kinachonichanganya ni kwa nini atoe thawabu kwa wake wengi na asitoe kwa mke mmoja?
Nani kakuambia kwamba ukioa mke mmoja hupati thawabu ?

Ukioa mke mmoja unapata thawabu,anayeoa wake wengi anazidi kupata thawabu kama ambavyo ukifunga siku moja una thawabu lakini ukifunga siku nyingi na thawabu zinazidi.

Kwa hiyo unatakiwa uelewe kwamba mwenye mke mmoja naye anapata thawabu sio kwqmba hapati.
Umeshindwa kunijibu hapa ndugu @safuher nikakuelewa vizuri.
Sasa hivi ndo umeweka swala lako vizuri.

Jawabu ni kuwa hata mwenye mke mmoja thawabu(zawadi) anapata usidhani kwamba mwenye mke mmoja hapati thawabu,anapata.

Katika uislamu chukua msingi huu "UNAPOZIDI KUFANYA IBADA BASI THAWABU ZINAZIDI".

Hivyo ukifunga siku moja thawabu unapata,ukifunga siku nyingi na thawabu zinaziidi.
Jibu lako la kwamba antoa thawabu kwa sababu anatoa thawabu halitoshi mkuu
Nilishakujibu huko juu kwamba hayo ni maamuzi yake kutoa,lakini pia ni ibada hiyo ndio maana anatoa thawabu.
 
Back
Top Bottom