Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Yaani we acha tu.....Sio siri ameongea vitu vya kufedhehesha sana km Kiongozi
Hata Kama ni kweli....alifanya kwa chuki ya UKABILA ?!!!Wacha amseme kamuumiza sana kibiashara kafungia gazeti lake, kavunja hoteli bill, kaharibu shamba la maua, kampora ubunge, kafungia account zake pamoja na kuchukua fedha kiinua mgongo, wew ufanyiwe yote hayo usiseme yeye ni mwanadamu pia.
Alikuwa mkabila sana wapwa zake Dotto James alimpa kazi gani,heri james, waziri wa madini, waziri wa nishati, waziri wa ulinzi, mkuu wa majeshi hao wachache tuuHata Kama ni kweli....alifanya kwa chuki ya UKABILA ?!!!
Jibu si KWELI....kwani hayati JPM hakuwa MKABILA bali alikuwa mkweli wa kuwasema WAJANJAWAJANJA ambao wako ndani ya makabila yote.....
Kunywa soda nakuja kulipa mkuu,Anasema kile wafuasi mnapenda kusikia. Anawapa mkipendacho kwa sababu ndio kariba yenu ilipoishia. Mi naomba aendelee hivyohivyo hadi mtakapotosheka.
You are seriously missing the point here! Historia ni somo muhimu sana katika maisha na maendeleo ya binadamu, inatufundisha tulikotoka, tulipo na kutusaidia kuamua twende mbele vipi?! Ndio maana tuna Kigoda cha Mwalimu, na SUA juzi wamefanya kongamano la kumbukizi ya Edward Sokoine! The past informs the present and helps to chat the way forward! Labda kama agenda yako ni kufifisha mjadala kuhusu maovu ya John mwendazake! Na hatuko tayari kufunga mjadala huo! Hadi leo hii Hitler bado ni mjadala kule ujerumani kwa sababu wanataka kuwakumbusha wajerumani kutokubali kurudi katika dark age hiyo katika historia ya nchi yao, sembuse sisi Tanzania. Watu kama John mwendazake Never, Ever again!Nimemsikia Freeman Mbowe Mara kadhaa katika ziara zake amejikita sana katika kukosoa utawala wa Mwendazake Magufuli kuliko kujikita katika current issue za sasa.
Mbowe ameenda mbali zaidi kiasi cha kutetea ukanda flani huku akijua vyema hizo ajenda zinamshushia alama za kiongozi mwenye focus na umoja wa kitaifa na mahikamano.
Vyovyote Magufuli alivyokua kwa hadhi ya Mbowe hakupaswa kuzunguka kuyasema madhaifu yake kwani kwa cheo chake Marehemu si ajenda tena, Magufuli hawezi kurudi na hata kwa aliyoyafanya umma hauwezi kumwadhibu maana hana ijara tena katika ulimwengu huu.
Mbowe kazi ya kusema mambo ya hayati tuachie sisi watu wa mitandaoni kwa nafasi yako hayatakusaidia. Njoo na mikakati mipya na ajenda mpya za sasa kama chama ili wananchi tutembee nazo.
mwache aseme kwa mazuri yake na mabaya yake ili kupitia hiyo, sote tujifunze na tujue kutendeana kwa haki.Nimemsikia Freeman Mbowe Mara kadhaa katika ziara zake amejikita sana katika kukosoa utawala wa Mwendazake Magufuli kuliko kujikita katika current issue za sasa.
Mbowe ameenda mbali zaidi kiasi cha kutetea ukanda flani huku akijua vyema hizo ajenda zinamshushia alama za kiongozi mwenye focus na umoja wa kitaifa na mahikamano.
Vyovyote Magufuli alivyokua kwa hadhi ya Mbowe hakupaswa kuzunguka kuyasema madhaifu yake kwani kwa cheo chake Marehemu si ajenda tena, Magufuli hawezi kurudi na hata kwa aliyoyafanya umma hauwezi kumwadhibu maana hana ijara tena katika ulimwengu huu.
Mbowe kazi ya kusema mambo ya hayati tuachie sisi watu wa mitandaoni kwa nafasi yako hayatakusaidia. Njoo na mikakati mipya na ajenda mpya za sasa kama chama ili wananchi tutembee nazo.
Ndiyo kazi aliyopewa na wazungu na wana CCM MASILAHI hawezi kuacha kutaja hilo jina
Wanatamani kufifisha mjadala wa uovu wake, legacy ya John ni aibu kubwa, wanaona aibu!Amesemwa Nyerere atakuwa Magufuli...
Magufuli alikuwa mtu mwovu na genge lake bado lipo, asiposema litatokea jinamizi linguine hatari kuliko Magufuli, acha aseme..
Mfano Suala la Chato kuwa Jiji lilizungumzwa sana na wapiga vigelele wa genge lake sasa ivi hayo mambo yana surface, namshukuru Tibaijuka kasema Ukwel bila hiyana... eti tumnyamazie.. ili iweje na mipango yake 60% ilikuwa imeanza kukamilika... acha akemee bhana
Issue ya Kanda ya kaskazini kuonewa ni valid na haiwez kunyamaziwa ikapita hivi hivi.. siasa za chuki dhidi ya kabila nyingine ni mbaya kuliko hata chama cha siasa kushika Dola.
Mkuu ni makosa makubwa sana kufumbia macho maovu yalitendwa kwa kisingizio cha aliyeyafanya hayupo kwahiyo haitasaidia kitu!.Kwa mtu makini ni lazima yasemwe ili iwe fundisho yasije kurudiwa tena..hii ni muhimu sana. Hili la hayati kuwa na chuki kubwa na watu wa kaskazini mbona lilikuwa wazi sana?..huwa sielewi haswa sababu ilikuwa niniNimemsikia Freeman Mbowe Mara kadhaa katika ziara zake amejikita sana katika kukosoa utawala wa Mwendazake Magufuli kuliko kujikita katika current issue za sasa.
Mbowe ameenda mbali zaidi kiasi cha kutetea ukanda flani huku akijua vyema hizo ajenda zinamshushia alama za kiongozi mwenye focus na umoja wa kitaifa na mahikamano.
Vyovyote Magufuli alivyokua kwa hadhi ya Mbowe hakupaswa kuzunguka kuyasema madhaifu yake kwani kwa cheo chake Marehemu si ajenda tena, Magufuli hawezi kurudi na hata kwa aliyoyafanya umma hauwezi kumwadhibu maana hana ijara tena katika ulimwengu huu.
Mbowe kazi ya kusema mambo ya hayati tuachie sisi watu wa mitandaoni kwa nafasi yako hayatakusaidia. Njoo na mikakati mipya na ajenda mpya za sasa kama chama ili wananchi tutembee nazo.
Ingawa hatuwezi kufikia huko, Ila huyu mwanasiasa wa kanda moja ni wa kupuuzwa na kukemewaWachaga wenzako huko Mwanza wameanza kulia. Subiri kidogo tu utasikia mayowe na tumedhamiria kweli kweli. Wewe endelea kubeba mabox huko kwa mabeberu.