Hakuna mwenye akili timamu atakayemuamini Mbowe na Chadema kuchangia hela? Kwanini hazindui ujenzi Arusha au Moshi?

Hakuna mwenye akili timamu atakayemuamini Mbowe na Chadema kuchangia hela? Kwanini hazindui ujenzi Arusha au Moshi?

Status
Not open for further replies.

πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ Ahsante sana Mkuu.
Magufuli alikuwa ni rais wa nchi, ambaye automatic alikuwa mkuu wa nchi, amiri jeshi mkuu na mwenyekiti wa CCM Taifa. Kwa vyeo vyake na matendo ya serikali yake huwezi kukwepa kumzungumza. Ikumbukwe utawala wa awamu ya sita unavina saba na utawala wa awamu ya Tano.
Magufuli alikuwa ni raia namba moja, hivyo ni lazima asemwe kwa mazuri na mabaya, hakuwa Mungu bali alikuwa binadamu ingawa alijitofautisha na sifa za kibinadamu.
Magufuli kwa kuwa mwanadamu ana mabaya yake, katika mazuri yake alikuwa anatimiza majukumu yake ya urais.
Hata Yesu Kristo pamoja na kuwapa mikate wafuasi wake pamoja na kila walichotaka. lakini walimsema na wapo waliomsaliti na kumkataa.
 
Akili za Mbowe ndiyo akili za Chadema wote, na ni vigumu kutenganisha Chadema na Mbowe yeye ni mwenyekiti wa maisha, na Mbowe sera yake ya sasa ni mapambano na maiti tu sasa ukisema hawa ni nyumbu unatukanwa kama nini.
Akubali ukuzima uchungu, Chuma kishaenda, Chuma kilimkalisha na kumfanyia mambo, ajikaze, kusahau, mbona yupo salama mengine ni siri yake, sasa anapo pambana sana na maiti au marehemu atatufanya tuanze kujiuliza maswali na kujua ya ndani sisi hatutaki. Sijui chuma kilimfanya nini maana kilikuwa na kama kauhuni hivi.
 
Hakuna kosa lolote kisheria kumsema marehemu iwe vibaya au vizuri, ndio maana akina Nyerere, mitume kama Yesu Muhammad nk wanasemwa vizuri na vibaya.
Mbowe kaumizwa sana na utawala wa mwendazake mwacheni apumue apate ahueni, kwa upande mwingine anasaidia kueleza ubaya wa mwendazake amabao ulifunikwa na propaganda za uongo na kuonya utawala uliopo kutorudia makosa yaliyopita.

Tunatambua wafuasi wa Magufuli ampendi kuona magufuli akisemwa vibaya na watu makini Kama mbowe, kwa hiyo nyinyi fanyeni mambo yenu na mbowe muacheni na mambo yake, kwani akiaribikiwa yanawahusu nini?.
Kama ana hasira aende akapambane na kaburi la magufuli, ili hasira ziishe lakini kwa huku ni uzushi tu.
 
Nimemsikia Freeman Mbowe Mara kadhaa katika ziara zake amejikita sana katika kukosoa utawala wa Mwendazake Magufuli kuliko kujikita katika current issue za sasa.

Mbowe ameenda mbali zaidi kiasi cha kutetea ukanda flani huku akijua vyema hizo ajenda zinamshushia alama za kiongozi mwenye focus na umoja wa kitaifa na mahikamano.

Vyovyote Magufuli alivyokua kwa hadhi ya Mbowe hakupaswa kuzunguka kuyasema madhaifu yake kwani kwa cheo chake Marehemu si ajenda tena, Magufuli hawezi kurudi na hata kwa aliyoyafanya umma hauwezi kumwadhibu maana hana ijara tena katika ulimwengu huu.

Mbowe kazi ya kusema mambo ya hayati tuachie sisi watu wa mitandaoni kwa nafasi yako hayatakusaidia. Njoo na mikakati mipya na ajenda mpya za sasa kama chama ili wananchi tutembee nazo.
Wacha awaeleze watanzania madhira waliyo pambana nayo wakati wa utawala wa mwendazake.

Historia ni mwalimu mzuri sana maishani na ndiyo maana mwendazake aliamua somo hilo kuingizwa kwenye mitaala.
 
Logic watu tunataka katiba, tume huru, utawala wa sheria , uchumi wa watu na mapandano dhidi ya rushwa na ufisadi.

Bado hakuna rais mwenye nia ya dhati hiyo mbowe anatakiwa kufocus kwenye mambo yanayokuja sio kudeal na past event

Hakuna ambaye aelewi kwamba aliteseka ila yamepita

Mbowe anafanya kosa la kiufundi kumsema mtu ambaye hayupo hai tena kujitetea
Huwezi kuanza kufundisha hesabu bila kuanza na moja.
Mbowe anajua nini anafanya maana msingi wa hayo mambo yote uliyotaja lazima uanze na chimbuko.
 
Upendo huonya. Safi!
Nimemsikia Freeman Mbowe Mara kadhaa katika ziara zake amejikita sana katika kukosoa utawala wa Mwendazake Magufuli kuliko kujikita katika current issue za sasa.

Mbowe ameenda mbali zaidi kiasi cha kutetea ukanda flani huku akijua vyema hizo ajenda zinamshushia alama za kiongozi mwenye focus na umoja wa kitaifa na mahikamano.

Vyovyote Magufuli alivyokua kwa hadhi ya Mbowe hakupaswa kuzunguka kuyasema madhaifu yake kwani kwa cheo chake Marehemu si ajenda tena, Magufuli hawezi kurudi na hata kwa aliyoyafanya umma hauwezi kumwadhibu maana hana ijara tena katika ulimwengu huu.

Mbowe kazi ya kusema mambo ya hayati tuachie sisi watu wa mitandaoni kwa nafasi yako hayatakusaidia. Njoo na mikakati mipya na ajenda mpya za sasa kama chama ili wananchi tutembee nazo.
 
Sure, sure kabisa... Mbowe jikite sasa katika current issues... Achana na mwendazake... Kwanini upo bize sana kupigana na marehemu?
 
Logic watu tunataka katiba, tume huru, utawala wa sheria , uchumi wa watu na mapandano dhidi ya rushwa na ufisadi.

Bado hakuna rais mwenye nia ya dhati hiyo mbowe anatakiwa kufocus kwenye mambo yanayokuja sio kudeal na past event

Hakuna ambaye aelewi kwamba aliteseka ila yamepita

Mbowe anafanya kosa la kiufundi kumsema mtu ambaye hayupo hai tena kujitetea
mwanangu ungebelance vina vya mwisho ningetoa bonge la track kwa vina vyako
hahahahhha.......................... maaana inaonyesha kuwa mwenyekiti wa kutoka rombo anademka
 
Ndugu zangu,

Maajabu hayaishi,miaka michache iliyopita Mbowe alinifaika na ongezeko kubwa la ruzuku kila aliposhauriwa ajenge ofisi yeye na wasaidizi wake walitoa maneno makali eti "chama cha siasa sio jengo au nyumba bali ni imani".

Makamanda badala ya kuhoji walishangilia kwa furaha wakijinasibu kuwa "siasa kwao si ofisi bali ni imani.Pia ikumbukwe shilingi milioni 200 zilizotolewa na Mzee Sabodo kujenga ofisi ziliyeyuka bila maelezo.Nani atawaamini tena Chadema?

Siku za karibuni amezindua kadi zenye hadhi tofauti huku ile ya hadhi ya juu ikiwa na thamani ya shilingi 200,000 huku akijinasibu kuwa makamanda hawana mshahara kwa miezi sita nani ataweza kuchangia?ikumbukwe EL ndiye alikuja na wafuasi waliokuwa na uwezo angalau kuchanga chochote lakini sio makamanda hawa tunawajua.

Halafu Mbowe alivyomjanja haya mambo ya kuchangia chama au ujenzi wa ofisi anazungumza akiwa Shinyanga anajua akizunguza haya maneno Moshi au Arusha ataambulia vitasa.

Nimalize kwa kusema "ajizi nyumba ya njaa".
Haya ni mapambano ya mageuzi, Wilaya zetu Kilimanjaro tume changia kwa miaka 27 taktibani sasa, kwa hiyo tupunzike kidogo Same Mwanga, Vunjo, Rombo, waliya ya Moshi, Hai na Siha wacha tupumzike, na hata kura zilionyesha hivyo.
Tutaona uchaguzi ujao.
 
Nimemsikia Freeman Mbowe Mara kadhaa katika ziara zake amejikita sana katika kukosoa utawala wa Mwendazake Magufuli kuliko kujikita katika current issue za sasa.

Mbowe ameenda mbali zaidi kiasi cha kutetea ukanda flani huku akijua vyema hizo ajenda zinamshushia alama za kiongozi mwenye focus na umoja wa kitaifa na mahikamano.

Vyovyote Magufuli alivyokua kwa hadhi ya Mbowe hakupaswa kuzunguka kuyasema madhaifu yake kwani kwa cheo chake Marehemu si ajenda tena, Magufuli hawezi kurudi na hata kwa aliyoyafanya umma hauwezi kumwadhibu maana hana ijara tena katika ulimwengu huu.

Mbowe kazi ya kusema mambo ya hayati tuachie sisi watu wa mitandaoni kwa nafasi yako hayatakusaidia. Njoo na mikakati mipya na ajenda mpya za sasa kama chama ili wananchi tutembee nazo.
Ndiyo kazi aliyopewa na wazungu na wana CCM MASILAHI hawezi kuacha kutaja hilo jina
 
Kwanza ninaamini Hana ushahidi wa anachokisema,

Pili, amekuwa na siasa za chuki na kichochezi zisizovumilka kwa kila mtanzania mwenye akili timamu na mwenye kupenda amani na utulivu

Tatu, mpeni miezi mitatu tu Mbele, tayari itajidhihirisha kwamba dishi lilishaanza kuyumba kitambo tu, si bure hapo alipo

Na kama JPM kama anavyodai bwana Mbowe kwamba alikuwa na agenda ya Siri kuhakikisha kwamba Sisi wachaga hatupati ajira serikalini, na wakati Mimi nimepata ajira yangu miaka mitatu tu nyuma Kwa serikali hiyo anayosema wachaga hawakutakiwa kupewa ajira na serikali ya JPM, huo ni uwongo, Kwa vile yeye anadai serikali ya JPM ilikuwa na agenda mbaya Kwa wachaga tena Ni kwa Siri, ameshindwa nini naye kulifanya Jambo hilo kuwa ni la Siri Kwa sababu Kwa kufanya hivyo, litatuweka kwenye Amani Yetu na kudhihirisha hekima ya bwana Mbowe na kama mkongwe wa siasa za kimageuzi nchini??

Kwa nini yeye atamke waziwazi Mbele ya kada mnasi na wakati huohuo akijua aliyekuwa akifanya Jambo Hilo tayari hatuko naye duniani, amejiuliza taharuki inayoweza kutokea ambapo hata mwenye chuki na wachaga hayuko duniani,

Bwana Mbowe atapata faida ipi Sisi wachaga Tulianza kunununiana na wasukuma ili Hali mgombanishi wetu hayupo?

Kwa nini hakutaja kulimeza Hilo Jambo ambalo Kwanza ninauhakika πŸ’―% sio Kweli Bali chuki zake tu zilizosababishwa na ukwepaji Kodi wake?

Ogopa Sana mwanasiasa anapoelekea mwisho wa umarufu wake na mwisho wa kukubalika kisiasa, huamua hata kuchonganisha jamii ili ajipatie umarufu wa kijinga na kipumbavu kama anavyotaka kufanya huyu mkongwe wa siasa za upinzani aliyejizolea umaarufu kipindi cha JK.

Mbowe anaelekea kubaya, mpeni miazi yake mitatu tu muone anavyovurugikiwa kichwani!!

Mbowe hawezi kuongoza watu wa Kada mbalimbali kutoka pande za Tanzania, Isipokuwa Uongozi wake inafaa aongoze watu wa kanda yake

Anasema maneno magumu Mbele ya wasukuma ambao nao wamo ndani ya Chama chake??

Hao wasukuma waliomo chamani kwake wanajisikiaje kusikia eti utawala uliokuwepo wachaga pekee hawakupewa ajira, Wakati kina mnyika mpaka Leo hii hata mishahara hawalipwi na chadema Kwa muda sasa, Magufuli kama msukuma, alishindwa nini kumfuata mnyika ili ampe hata ukurugenzi Kwa kuwa ni msukuma?

Mambo ya kipuuzi Sana haya
 
Ila Mbowe ipo siku atasababisha watu kujinyonga, chadema ni imani pamoja na KADI za viwango tofauti wapo pia wanachama watapenda changia mpaka mamilion,na tegemea hizo KADI za laki mbili kuchukuliwa Sana kuliko zingine
Tumehubiriwa bila matokeo kwa miaka 32 sasa na hata wengine tuli fukuza chuo mwaka 1994 na UDSM kufungwa wote kufukuzwa.

Kuchelewa kupata matokeo na mabadiliko yemefanya munkari wa mageuzi upungue nguvu sana. Na sasa hivi mtu yeyote akwambiae Chadema ina nguvu Kilimanjaro kama ilivyokuwa zamani anakudanganya.
 
Kwa heshima aliyonayo ,mh.Mbowe AJITOKEZE kutuomba msamaha watanzania....

Kama Mzalendo Kiukweli maneno aliyoyasema YAMETUUMIZA KUPITA MAELEZO....

Mh.Mbowe AMEJIFEDHEHESHA MNO...na kwa heshima yake ni bora tu akakubali amekosea.....

#KaziIendelee
 
Wasiliana na ndugu zako wa karibu, waulize wanakuonaje.

Nina hakika unakotakiwa kuwa ni hospitalini. Na sijui kama tuna hospitali nyingine zaidi ya ile Milembe Dodoma.
Kule awali nilionya kuwataka wenye akili timamu wamsusie huyo anayeelekea mwisho wa siasa zake, sikulenga wewe na wote wenye akili ndogo kama zako, hivyo wewe endelea
 
Huyu Mwenyekiti "mfalme" anajishushia sana heshima.

Hivi si huyu ambaye alimuombea msamaha yule ndugu aliyemsema hayati Mzee Mengi?

Leo hii anayarudia yaleyale.

Hivi kwa heshima yake aliyojijengea ndio KUMFANYIA KEDI ,DHIHAKA na KUMSEMA mwendazake JPM?

Hivi hili anadhania ni DOGO?!!

Muda UTAONGEA.....

#KaziIendelee
Wacha amseme kamuumiza sana kibiashara kafungia gazeti lake, kavunja hoteli bill, kaharibu shamba la maua, kampora ubunge, kafungia account zake pamoja na kuchukua fedha kiinua mgongo, wew ufanyiwe yote hayo usiseme yeye ni mwanadamu pia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom