Hakuna mwenye akili timamu atakayemuamini Mbowe na Chadema kuchangia hela? Kwanini hazindui ujenzi Arusha au Moshi?

Hakuna mwenye akili timamu atakayemuamini Mbowe na Chadema kuchangia hela? Kwanini hazindui ujenzi Arusha au Moshi?

Status
Not open for further replies.
Wapumbavu wana

Wapumbavu sana ambao wanajifanya hawaioni agenda ovu ya mwendazake...
Mentality hizi ndio anazotaka mbowe. Hapa japo hujulikani lakini kuna zaidi 90% wewe ni mchaga. Usimsikilize Mbowe, nchi hii ukabila ukipewa nafasi kwa kuutamka wazi hivyo tena kwa kiongozi mkubwa kama mbowe, mbegu hiyo haiozi ikafa. Itamea ubaguzi huo utaanzia ndani ya chama na utatafuna kote na kufika mbali hata kusikotarajiwa, Kwenye ngazi ya familia.

Chuki ya ubaguzi kikabila au kidini ni hatari sana. Chukua mfano wachaga walioko usukumani kanda ya ziwa ni wangapi? Wale wasukuma wakianza kuwabagua wachaga kule itakuwaje? Maana huko uchagani idadi ya wasukuma sio sawa na wachaga walio kanda ya ziwa. Mnataka yafike huko kwa kumsikiliza mbowe?

Sio lazima uwe na elimu ya chuo kikuu kulasni upambavu huu. Na ni upumbavu zaidi kusema kuhusu mtu aliyetangulia mbele za haki, unakuwa unamgombeza au kumfokea nani?
 
Mbowe ulitutumia wasukuma kama daraja la kisiasa tulikuonya kuwa staafu siasa hukusikia unaona unavyojiabisha.

Madhara ya kauli yako ni makubwa mnoo hayo mambo yanaonyesha kuwa uko unfit tena kuwa kiongozi umepoteza credibility ya kuwa kiongozi unatakiwa kujiuzuru mara moja unaaanza kuwananga wasukuma wamekukosea nn hata kama una chuki binafsi na wasukuma hukutakiwa kuanza kuwadhalilisha kiasi hicho wasukuma umekosea sana.

Matunda ya hizo kauli zako utayavuna muda si mrefu mm ninakuambia umekosa legitimacy ya kuwa kiongozi wa kitaifa hata kama ulikwepa kodi ukaadabishwa na serikali ya mwenda zake lkn nikuambie ukweli tutakulipa kulingana na matendo yako
 
Mwenye uzi huu ni nzi wa kijani wale wanaojiita makada, kila siku pdf zinatoka ila hawa huwa hatuwaoni, walamba matako hawa huwa hawawezi kujenga hoja na kusimamia ukweli, kikubwa wao ni kuropoka na kulamba matako ya mabwana zao.

Kama mwendazake aliboronga maeneo kibao na bado mkataka kumuongezea muda, Mbowe ni nani hadi apoteze legitimacy ya uongozi??

1. Meko alizingua kwenye korosho, alizuia wahindi kununua korosho, akadai serikali itanunua kwa bei kubwa, akapeleka jeshi kukusanya korosho, hatma yake mpaka leo kuna wananchi wameshatangulia mbele za haki na bado hawajalipwa

2. Meko alikataa barakoa na watu hata wanaomzunguka wakawa hawavai hadi mzigo ukamchukua, na hamkutamka haya.

3. Meko aivuruga demokrasia ya nchi hii ikiwa ni pamoja na kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka juzi na uchaguzi mkuu mwaka jana lakini bado mkaendelea kumshangilia na kumwita shujaa.

3. Akajenga uwanja wa ndege kwao, akanunua midege kiholela, tena taslimu, watu wakamwambia mzee unazingua, akashupaza shingo. CAG katoa maelezo nini likampuni lenu la ndege limepata. Nonesense.

4. Akafukuza watu kazi eti vyeti feki, athari yake imekua kubwa mpaka sasa. Serikali inatangaza nafasi za kazi za waalu elfu sita, watu wanaojitokeza ni laki moja, uone ukubwa wa matatizo aloyatengeneza bwana Meko.

Sasa linatokea jinga moja wahead ndo linakuja eti mavi mavi, nzi wa kijani bhana
 
wewe hata ccm chama chako hujawahi changia unaaona cdm wanataka kuchangia unaanza vijembe kwa vyovyote vile fani yako ni kupiga chabo na huwa unakata viuno na akta wanaobweda ni wengine, haitakusaidia kitu hiyo, tutachangia CDM kwani ndilo pumziko la mioyo yetu
 
Acha nongwa wewe mtapambana na mzimu wa Magufuli hautawwaaacha sala
Mwenye uzi huu ni nzi wa kijani wale wanaojiita makada, kila siku pdf zinatoka ila hawa huwa hatuwaoni, walamba matako hawa huwa hawawezi kujenga hoja na kusimamia ukweli, kikubwa wao ni kuropoka na kulamba matako ya mabwana zao...
Mzimu wa Magufuli unamtokea kila siku Mbowe kila akilala anamuwaza Magufuli mtu mwenye akili timamu utapambana na mtu aliyekufa?

Huoni kwamba ni uwendawazimu wa hali ya juu yaani kila uchao huyu Mr Konyagi anamuongelea Magufuli what is it? ila hii Clip tutaisambaza kila sehemu tumeshajua agenda iliyoko nyuma ya Mbowe tutajilinda
 
UPUUZI MTUPU!
expand...
Mzimu wa Magufuli unamtokea kila siku Mbowe kila akilala anamuwaza Magufuli mtu mwenye akili timamu utapambana na mtu aliyekufa? huoni kwamba ni uwendawazimu wa hali ya juu yaani kila uchao huyu Mr Konyagi anamuongelea Magufuli what is it? ila hii Clip tutaisambaza kila sehemu tumeshajua agenda iliyoko nyuma ya Mbowe tutajilinda
 
Tunaomba Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ajiuzuru mara moja kwenye nyadhifa yake ya uenyekiti wa Chadema na tunaziomba mamlaka za dola zimuite Mbowe zimhoji kwa kina kuhusu kauli yake ya uchonganishi

Tunazisihi mamlaka za dola nchini Tanzania zisiwe na kigugumizi juu ya kuchukua hatua kali za kisheria kwa mtu yeyote bila kujali cheo chake na hadhi yake aliyonayo kijamii pale aonekanapo kuvuka msitari mwekundu wa kuharibu umoja Amani na mshikamano wa Watanzania

Vyombo vya dola visimuonee mtu haya kwenye masuala yanayolinda Tunu za Taifa letu

inapotokea kiongozi aliyekoswa sera na hoja za mantiki za kuwaletea maendeleo watanzania na akaamua kutumia udini au ukabila kuchonganisha watanzania Mtu huyu hatufai hata kidogo kwa hiyo vyombo vya dola ziyachukulie kwa uzito wake haya maneno

Mauwaji halaiki ya Rwanda yaliletwa na wanasiasa wenye tabia ya kutumia ukabila kuchonganisha watu Mbowe ana mtukana Marehemu ambaye ni baba wa familia aliye na ndugu zake anatumia lugha chafu ya kuudhi hali hii inachochea uhasama mkubwa tunamtaka Mbowe ajiuzuru mara moja na hatua kali za kisheria zichukuliwe juu yake chuki anayoihubiri Italeta taharuki kubwa ndani ya jamii ya Watanzania
 
Siasa za jpm zilizochochea chuki ktk taifa msizilete kwa mama mkatia doa utawala wake
 
Mbona wapo wengi tu waliteuliwa na Magu acha uongo yule alikuwa RC wa Tabora ni mchaga wakuu wa wilaya kibao, mkuu wa Takwimu nk. Lakini sisi wasukuma wala hatupati taabu sisi tunawatani wengi sana ambao wako upande wetu pia dada wakichaga wanatupenda sana tu sisi kwetu tumeoa Marangu labda yeye atabaki na Wamachame wenzake sisi hatuwaachi Wamarangu.
Mbowe nilisema amefilisika kisiasa. Anataka kutuambia wachaga walizoea kubebwa na serikali na kujiona bora kuanzia Kwa Mkapa.au anataka waonewe huruma ya vyeo na mama. Kauli yake ni chonganishi. Wasukuma wahame chama chake kwa vile ameoyesha chuki nao.
 
Mbowe tayari amechafuka hana credibility ya kuongea chochote cha maana mbele za watu anamdharau mama ndio maana anaweza kuongea lolote
 
UPUUZI MTUPU! Huyo dhalimu asiongelewe yeye nani? Dhuluma na udhalimu aliofanya nchini ikiwemo mauaji ya Watanzania chungu nzima ni sababu tosha kabisa ya kuanika uovu wake kila siku ambao bado unaendelea pia kaicha nchi katika hali mbaya sana kwenye kila sekta kutokana na udikteta wake.
Mzimu wa Magufuli unamtokea kila siku Mbowe kila akilala anamuwaza Magufuli mtu mwenye akili timamu utapambana na mtu aliyekufa? huoni kwamba ni uwendawazimu wa hali ya juu yaani kila uchao huyu Mr Konyagi anamuongelea Magufuli what is it? ila hii Clip tutaisambaza kila sehemu tumeshajua agenda iliyoko nyuma ya Mbowe tutajilinda
 
Mataga wafu mmeona mama kawatosa sasa mnatengeneza snema la kiki kupitia mbowe mmefeli.

Naona kuna vinyuzi vimeibuka ghafla juu ya mbowe tunajua mbowe ni giant kisiasa hivyo kumgusa kwenu ni mtaji kisiasa.

MMEFELI
 

Mzimu wa Magufuli unamtokea kila siku Mbowe kila akilala anamuwaza Magufuli mtu mwenye akili timamu utapambana na mtu aliyekufa? huoni kwamba ni uwendawazimu wa hali ya juu yaani kila uchao huyu Mr Konyagi anamuongelea Magufuli what is it? ila hii Clip tutaisambaza kila sehemu tumeshajua agenda iliyoko nyuma ya Mbowe tutajilinda
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom