Ila bro ulistahili kuitwa daktari.Kwani kwa mfano kwenye Historia tukataja WasukumaWatakuwa Wanatokea nchi ya wasukuma..?
Au tukataja Kabila Langu la Asili kama Kojani Kutakuwa Kuna Nchi ya Kojani Mahali?
Mkuu Hoja Yako Ni dhaifu Sana.π π
Ni akheri usitumie Biblia kama unataka kusema hakukuwa na taifa la Israeli. Maana kuna mistari lukuki inayoonesha utaifa wa Israeli.Soma biblia kijana. Hawakuwa na nchi au sehemu yao maalum.
Wengine walikuwa wanaharamu wa Tamar ambae eti alizaa na baba mkwe wake alipofanya ukahaba, akaja kusingiziwa ndiyo kizazi cha Yesu.
PointHoja zingine ni za kijinga,kwani kabla ya 1961 kulikuwa na Taifa linaitwa Tanganyika?
Ila kulikuwa na watu katika eneo hilo ambapo badaye walikuja kupata uhuru na kuunda Taifa la Tanganyika.
Haiwezekani ukusanye watu kutoka eneo A uwapeleke eneo B kisha hao watu waunde Taifa,huku watu waliokiwepo hapo toka awali wakataliwe kuunda Taifa.
Kwa hiyo tukusikilize wewe unayesoma Historia na sio huyo Nyerere ambaye ambaye alikuwepo wakati huo?Nyerere siyo Mungu kuna mambo alipuyanga tu hivo kwa Palestina yeye alifuata mkumbo wa East tu
Miaka yote hiyo uliyoitaja ya enzi hizo hakukuwa na taifa lililoitwa Tanzania, leo bila haya mnadai ni nchi yenu na mtailinda kwa udi na uvumba.HALIJAWAI KUWAPO TAIFA LINALOITWA PALESTINA! NI HAKI YA WA ISRAEL KUKOMBOA ARDHI YAO! Kama hujapita shule au kufuatilia historia huwezi Jua haya
1. Kabla ya Taifa Kuundwa Upya na kuitwa Israel (1948) Lilikuwapo Taifa linaitwa British mandate yaan eneo Lilikuwa chini ya Uingereza 1920-1948 wala siyo Taifa liitwalo Palestina.
2. Kabla ya British Mandate, sehemu Hiyo ilikuwa ni Ottoman Empire (himaya ya Ottoman) (1517-1917), wala si Taifa la Palestinian.
3. Kabla ya Ottoman Empire,ilikuwapo himaya ya Misri yaan Islamic Mamluk Sultanate of Egypt (1250-1517), siyo Taifa la Palestinian.
4. Kabla ya Islamic Mamluk Sultanate of Egypt, lilikuwapo himaya ya Ayyubid Dynasty (1171-1260), wala si Palestina. Godfrey wa Bouillon alilivamia eneo mwaka 1099.
5. Kabla ya Ayyubid Dynasty, ilikuwapo himaya ya kikristo ya Yerusalemu (Christian Kingdom of Jerusalem 1099-1291), wala si Taifa la Palestina.
6.Kabla ya utawala wa kikristo yaan Christian Kingdom of Jerusalem, alikuwapo Fatimid Caliphate (909-1171), siyo la Palestina.
7. Kabla ya Fatimid Caliphate, ilikuwapo himaya ya Byzantine (the Byzantine Empire 330-636), wala si Taifa la Palestina.
8. Kabla ya Byzantine Empire, ilikuwapo tawala ya Rumi, yaan Roman Empire (27 BCE - 476 CE), siyo Palestina.
9. Kabla ya warumi yaan Roman Empire, walikuwapo Hasmonean Dynasty (140-37 BCE), siyo Palestina.
10. Kabla Hasmonean Dynasty,walikuwapo waselekudi yaan Seleucid Empire (312-63 BCE), siyo Palestina state.
11. Kabla ya Seleucid Empire,eneo lilikuwa chini ya Alexander yaan Empire of Alexander the Great (334-323 BCE), wala si Palestina.
12. Kabla ya Alexander the Great, walikuwapo wa pesian the Persian Empire (c. 550-330 BCE), wala si Palestina.
13. Kabla ya hao wa habeshi yaan Persian Empire, walikuwa wa Babylonian Empire (c. 1894-539 BCE),wala si Palestina.
14. Kabla ya Babylonian Empire, eneo lilikuwa chini ya Yusa wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea (c. 1050-586 BCE), siyo Palestina.
15.Kabla ya Yuda wa Israel yaan Kingdoms of Israel and Judea, eneo lilikuwa himaya ya Israel yaan the Kingdom of Israel (c. 1040-722 BCE), siyo Palestina.
16. Kabla ya Utawala wa Israle yaan kingdom of Israel, yalikuwa makabila 12 ya wa Israel yaan the theocracy of the Twelve Tribes of Israel (c. 1400-1050 BCE), wala si Palestina.
17. Kabla ya Makabila 12 ya Israle yaan theocracy of the Twelve Tribes of Israel, eneo lilikuwa chini ya kanani yaan individual state of Canaan (c. 3000-1200 BCE), wala si Palestina.
Kwa kifupi hakuna Taifa linaloitwa Palestina na halijawai kutokea.
View attachment 3139944
Anaandika TAT kule Twitter (X)
Samahani Mkuu!Wasamaria
Katika mataifa pia ilitakiwa waisrael wawafukuze kipindi waisrael wanarudi kanaani walikuwa ni wasamaria(palestina ya sasa)
Wao kwa makusudi wakaamua kuwaacha na Mungu aliawaonya kuhusu hilo.
Kwa mujibu wa kitabu biblia.
Japo sihalalishi huo ugomvi wa sasa ila huo ni ukweli.
Tanzania Umeenda Mbali sana Taifa Linaloitwa Tanganyika tu halikuwepo π€£π€£Miaka yote hiyo uliyoitaja ya enzi hizo hakukuwa na taifa lililoitwa Tabzania, leo bila haya mnadai ni nchi yenu na mtailinda kwa udi na uvumba.
Si-support Palestine wala Israel lakini kwa sasa wote wana territories zao na wanastahili haki ya kuishi kwa uhuru.
Musa alikuwa muislam aaahaahaaa uislam huu wa juz juz hapa ambao muhamad muanzilish aliwakuta hata nduguze wakiwa wakristo aahaah huu huu unaoenezwa kwa mtutu wa bunduki au mwngneKuna surah kabisa inaitwa banii israail/wana wa israel,ahadi iliambatana na masharti ambayo hayakutimizwa ukisoma hizo aya,najua umegugo ukakopi tu,halafu Quran Inasema musa alikua muislam si myahudi
Wavaa kobazi bhanaNdiyo msemaji wa uislam?
Musa hakuwa Muislam na Jina lake halikuwa MusaMusa alikuwa muislam aaahaahaaa uislam huu wa juz juz hapa ambao muhamad muanzilish aliwakuta hata nduguze wakiwa wakristo aahaah huu huu unaoenezwa kwa mtutu wa bunduki au mwngne
Musa hakuwa Muislam na Jina lake halikuwa Musa wala Moses..
MUSA jina lake Ni Moshe hayo majina mengine ni Yaliyotoholewa..
Musa alikuwa Muisrael aliyefundishwa kwenye Dini ya Misri na kulelewa kama Mwana mfalme..
Na baadae Musa alikuwa ni Miongoni mwa Wakombozi wa BaniIsra..
Ila kama anamaanisha Musa alikuwa Ni Mu'Islam ni kweli Maana Islam maana Yake Ni Mnyenyekevu au Kunyenyekea Ni kweli Musa alikuwa Mnyenyekevu Mbele ya Mungu ila hakuwahi kuwa Muislm kama Dini
Sijakuelewa?Samahani Mkuu!
Unamaanisha Kuwa Wasamaria na Pelishit (Wafilisti) au Wapalestine ni Taifa Moja???
Kama Ni hivyo hauko Sahihi Kulikuwa na Wasamaria na Pia Kulikuw na wafilisti..
Wasamaria walikuwa jamii ya zamani ya Kiyahudi yenye imani zao na mila zao tofauti, na waliishi hasa katika mji wa Samaria na maeneo ya karibu katika Ufalme wa Kaskazini wa Israeli. Na wao Wanaamini Agano la Kale kama sehemu ya maandiko yao, lakini wanatofautiana na Wayahudi wengine katika mambo kadhaa ya kidini, ibada, kama vile wao kuamini kuwa Mlima Gerizimu ni mlima mtakatifu.
Missile of the NationNani alikwambia Musa alikuwa akiitwa Moshe?. Hujui kuwa Musa alikuwa na jina la kale la Wamisri?.
KWanini unasema Ilibidi wafukuzwe π πSijakuelewa?
Kulikuwa na mataifa mengi tu ambayo yote ilipaswa yafukuzwe. Hata ukigoogle now.Palestine ya sasa ndio samaria ya zamani.
Ila Nina wasiwasi.You're right.