Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Uislam ni unyenyekevu kwa Mungu mmoja muumba wa kila kitu na kuamini akhera,dini ya kiyahudi haiamini akhera na ilikuja baada ya musa kuondoka
 
Musa alikuwa muislam aaahaahaaa uislam huu wa juz juz hapa ambao muhamad muanzilish aliwakuta hata nduguze wakiwa wakristo aahaah huu huu unaoenezwa kwa mtutu wa bunduki au mwngne
Musa hakuwa myahudi, uyahudi ulianzishwa baada ya yeye kuondoka, unaelewa uislam ni nini?
 
Hilo kabila orijin yake ni wapi? Walikuwa wanaishi wapi?
o
 
Naona neno CHRIST linawakera sana bwana britanicca siku hiz nyie ma atheists ndio maana mmeacha kutumia BC (Before christ) mmehania kwenye BCE (Before Common Erra).
Bado itabaki ukwel ule ule, kuzaliwa kwa Christ ndio game changer kwenye time refference na kuhesabu miaka.
 
Wazungu wameachana na Mungu mtu,CE-current erra
 
Punguza ujinga wako. Musa was a Levite..
A pure jewish blood, descendant of Levi son of Jacob and grandson of Ibrahim
Ibrahim na jacob hawakuwa wayahudi,jacob alikua ndiye israel baada ya kumpigapiga ngwala Mungu aliposhuka duniani,dini ya kiyahudi ilianzishwa baada ya musa kuondoka, ibrahim hakuwa muisrael bali muiraq wa Ur huko ukaldayo
 
Uislam ni unyenyekevu kwa Mungu mmoja muumba wa kila kitu na kuamini akhera,dini ya kiyahudi haiamini akhera na ilikuja baada ya musa kuondoka
Dini ya Kiyahudi Haiamini Akhera wala Siku ya Hukumu wala Siku ambayo watu watasimamishwa..

Imani hiyi ipo kwenye dini Mbili peke yake Ukristo na Uislamu peke yake..

Unajua kwanini??

Kwa sababu hakuna Maandiko Yanayosuport Uwepo Wa Kiama
 
Ibrahim na jacob hawakuwa wayahudi,jacob alikua ndiye israel baada ya kumpigapiga ngwala Mungu aliposhuka duniani,dini ya kiyahudi ilianzishwa baada ya musa kuondoka, ibrahim hakuwa muisrael bali muiraq wa Ur huko ukaldayo
U r very right about Ibrahim na umenifanya nifungue jicho nikatafit zaidi. But i agree with you about Ibrahim. He was from Ur migrated to Canaan and started his lineage of Jewish people. Thank you. I need to study more about this
 
Bado haiondoi ukwel, utabak pale pale, Christ alipozaliwa tu, changed everything wakubali wakate.
Changed everything ipi?..wayahudi wanna kalenda yao haihusiani na yesu, kadhalika wahindi na wachina,kalenda ya Gregory ni miaka mingi baada ya yesu,kwenye kalenda katumika kama historical figure,yaani kama uanzishe kalenda baada ya el nini au kufa kwa nyerere, nothing special
 
But Mkuu Yesu Amezaliwa 6-4 BCE..

Nilitegemea Labda Angezaliwa Kwenye 1 AD ingesound Not Fabre/Fabricated

Na aliyeanzisha Hizi Naming system alikuwa anaitwa Father Dionysius Exiguus kwenye 6th century hapo yaani Kati ya Miaka 501 mpaka 600..

Kwanza alikuwa Padre/Kiongozi wa Kanisa pili Haikuwa Naming maarufu mpaka pale Rumi walipoona Inafaa na Kuipitisha Rasmi Kisiasa..
Ajabu ni kwamba Israel,China,Wahindi haitumiki kabisa
 
Umemaliza kila kitu
 
Historia ya kubuni Ili mradi tu palestina adhulumiwe ardhi yake, Mungu yupo pamoja nao anawatambua ndio maana pamoja na kuchangiwa na nchi tatu kubwa duniani lakini wameendelea kuwa tishio kwa israel!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…