Hakuna Taifa linaloitwa Palestina liliwahi exists tangu dunia iumbwe kumbe

Kwa hiyo Hawa Wazayuni, Wayahudi, au ' Waua YESU KRISTO, hawataki kuishi na hao Waarabu/Wapalestina?!
 
Uzi Unaukweli kwa 100%

Na wala hauna Hisia Za Upande wowote Nimeupenda Sana...

Mleta Mada Hongera Sana
Uzi una mkanganyiko daktari.
Kwa asiyeweza kuchambua anaweza kudhani himaya zote alizotaja mleta mada zilitokea sehemu moja ambayo inadaiwa kuitwa Palestina.
 
Halafu sarafu imeandikwa kiyahudi na kiarabu.
Kabla waarabu na wayahudi walikua wakiishi poa sana bila tabu yeyote.
Hii zionism movement ndio imekuja kuleta balaa pale mashariki ya kati.
 
Sawa hilo kutokea nchi gani sasa twambie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…