Hakuna Timu ya Afrika Itakayoingia Hatua ya Mtoano Huko Qatar

Tatizo waafrika wenzetu WENYE VIPAJI wametusaliti na kuchezea ulaya na marekani... imagine Africa haina hata diaspora Mmoja mzungu anayekipiga Africa
Yupo mzungu wa Simba na wengine kibao pale singida big stars
 
Alibisha Sana [emoji1787]...
Unajua Hawa watoto wa 2000's hawalijui vizuri historia ya Senegal kombe la dunia laiti wangejua enzi za kina Tony silver diofu waulize France watakuambia
Hawajuu hao kina papa diop, henry camara, fadiga wakivokiwasha world cup 2002
 
Saudia je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…