Hakuna watu wenye roho mbaya kama watu kutoka Asia

Hakuna watu wenye roho mbaya kama watu kutoka Asia

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Japokuwa watu Usema kuwa wanzungu wana roho mbayaa za ubaguzi hasa kwa watu weusi huu ni uongo kabisa kwasisi ambao tunaishi katika nchi za wazungu tunaona tabia za mataifa mbali mbali.

Ukweli ni kwamba hakuna watu wabaguzi na wenye roho mbaya kama watu kutoka bara la Asia.

Hawa watu wana roho mbaya hasa hasa waarabu na ,wahindi, mpaka Sasa imefikia kipindi wameanza kubagua wenye nchi wenyewe.

Muhindi akiwa supervisor kazini tegemea asilimia kubwa ya wafanyakazi waapo watakuwa wahindi tu.

Na mwaarabu akiwa na kacheo fulani kazini anaweza kukutafutia sababu yeyote akufukuze ili achukuwe wa kwao
Na mzungu akiwa na cheo kazini.

Tegemea wafanyakazi wa mataifa mbali mbali watakuwepo hapo mzungu anachojali nacho kwa mtu ni experiance yake na juudi zake hana haweki utaifa mbele kama hawa wenzetu kutoka asia.

Mzungu ni muelewa sana pia ni mvumilivu hasa hasa wa Italiano na wafaransa hawa watu wana roho nzuri
Kwenye appartement za wahindi ukiona mtu mweusi labda awe na asili ya kwao
 
Dunia hii hakuna Kampuni zozote zile ambazo zina watu wenye diversity kushinda za Kiarabu.

Gusa kampuni yoyote ile unakuta CEO mzungu, ofisa fulani mhindi, Msaidizi wa Colombia, katibu mchina etc.

Mfano kampuni yenu ya Dp world angalia Exec wake hapa

Hata Hapa Tanzania Waarabu wengi kampuni zao zina diversity za maana.

Ni mpuuzi tu ndio anafkiri unaweza ukawa successfull level ya MO, ama Bakhresa kwa kuendekeza ubaguzi.

Mambo haya ya ubaguzi yapo huko serikalini ambapo unaweza ukawa mzembe miaka hata 10 hakuna wa kukugusa.
 
Wahindi,wakorea na wachina wanasifika kwenye maswala ya 'Cutting Costs'.

Kwenye kampuni nyingi za hawa jamaa au wao wakiwa ndio Top kwenye management basi sahau 'extra duty'😅

Mbaya zaidi ni watata hao balaa..

Akiamua anaweza kukufanyisha kazi masaa hata 14..😬
 
Wachungyze vizuri hai Watal8ano na Wafaransa qaluoondoka kwao qakaja kuishi ulip9kqendq wewe utakuta wwnq asioi za Kiatabu. Hilo ni 98%.

Wewe una prejudice zako tu kwa kuwa u kondoo uliojazwa ujinga ukakujaa.
Huko shuleni ulienda kusomea ujinga?.

Jifunze kuandika kabla haujaweka hoja yako hapa.
 
Back
Top Bottom