Hali ni mbaya, Watanzania wengi wamekuwa masikini zaidi awamu hii ya sita

Hatuwezi kuwa jamii ya wakukima pekee, lakini mfumuko wa bei na utitiri wa kodi unawaumiza hata wakulima.
Toaufumbuzi unalalamika ukumbuke mudahuo unahitajihiduma mm kwaupande wangu naamini ukizalisha vizuri autahofia tozo kwani tozo nikitu kidogo sana kama utazalisha vizuri
 
Toaufumbuzi unalalamika ukumbuke mudahuo unahitajihiduma mm kwaupande wangu naamini ukizalisha vizuri autahofia tozo kwani tozo nikitu kidogo sana kama utazalisha vizuri
Tuseme wewe ni mwalimu, utazalisha vizuri kivipi, uibe muda wa mwajiri ukafanye mambo yako?
 
Tuseme wewe ni mwalimu, utazalisha vizuri kivipi, uibe muda wa mwajiri ukafanye mambo yako?
Ukiona ugumu wamaisha unaingia ujuwe mwalim nawanyakazi wengine wamezembea au mkulima kaingiza uvivu kazi yaserekali nikukumbusha kilammoja atimize wajibu wake naona serekali wanaifanya vizuri hakuna serekali itakuwekea noti mfukoni
 
Tuseme wewe ni mwalimu, utazalisha vizuri kivipi, uibe muda wa mwajiri ukafanye mambo yako?
Tusijifichie kwa waalim haohao nawaona ikifika saa 10 wapo bar nawengine wapokwenye maduka yao wanaendelea vizuri ilawewe ndio naona bado hujajuwa ufanye nini kama utaona nafaa kukushauri nipo tayari
 
Huwamiaka ishirini ijayo kama hatuja
Huwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…