Hali ya kiuchumi Arusha inazidi kushuka kila uchwao

Haihitaji kufanya biashara Bali inahitaji kutembea na ku shop Mikoa tofauti
Nmeenda dodoma na mwanza customer care very poor hata hotel nyingi za hiyo mikoa inabidi waajiri watu wa arusha mosh ili atleast wasaidie hali
Hata kama umeshasafiri nje utakubali Tanzania customer care iko very poor
Arusha wanajua biashara chief 🔥
 
Hivi mkuu uko serious ?
Yaani kiwanja cha ndege Arusha kizidiwe miruko na Dodoma ?
Embu google uangalie vizuri
 
Ndugu yangu Dar inabebwa na vitu viwili tu.
1. Bandari
2. Wingi wa watu.

Kumbuka tu, 35% ya pato la taifa linatokana na Bandari, na 10% ya watanzania wako Dar na kati yao 90% wanaishi mjini. Penye watu, penye mji, pana shughuli na pana pesa. Huwezi kulazimisha Arusha iwe na shughuli nyingi wakati watu ni wachache, tena wengi hawaishi mjini, wamesambaa mkoa mzima. Shughuli nyingine zozote ndogo ndogo ni matokeo ya shughuli moja kubwa yenye kumwaga pesa nyingi kwa mara moja.

Utalii wa Arusha una mnyororo mrefu sana. Huwezi kugundua hilo vizuri unless uje ufanye kazi za kitalii ndio utaelewa. Na kumbuka, takwimu za muda mrefu zinaonyesha utalii unachangia chini ya 18% ya pato la taifa na katika hilo Arusha inachangia chini ya nusu.
 
Ngozi nyeusi ni ni mikosi, kule Zanzibar Mtanganyika ana baguliwa kwa kuitwa kafiri na Ukiwa mkristo wanakuchukia, lakini wazungu wanapendwa na wana hudumiwa kwa kunyenyekewa na Wazungu ni Wakristo kama ilivyo wa Tanganyika.
 
Mitaa unayoitaja yote ni mikongwe... Nyie ndio mnasemaga Arusha ndogo (yani Arusha kati, levolosi, kaloleni na sekei)..Nimetoka chuga juzi kati, aisee kumbe siku hizi ni kubwa.. inafaa kuwa na manispaa mbili basi tu meru wamegoma kuungwa na jiji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…