The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Wacha wivu,AICC tuu hapo Iko full booked Kwa mikutano,value chain yake inawakuta wengi sana.Mji unakuzwa tu ila kiuhalisia ni wa wafugaji wa ng'ombe tu
π π πArusha ni wabaguzi ndio tatizo , mikoani wanaishi vizuri ndio maana unakuta mchaga wa kaskazini ni mbunge huku kibaha na anaishi vizuri sasa wewe nenda kwao uone kasheshe.Hili la kujuana usilipinge ,kwanza ukiwa kule baada ya salaamu kinachofuata ni AISEE WEWE NI MTU WA WAPI?
Hakuna mchaga anayenunua duka la chasaka ama asiye mchaga wewe usitake kudanganya watu.
Wale wa mama wa soko kuu mfano wa Kanda ya ziwa wanachangiwa na wateja wa Kanda ya ziwa , wa huko wananunua kwa wauzaji wa huko huko.
Arusha naipenda weather Ila sio mji kirafiki una ukabila Kama miji ya Kenya.
Mana Arusha wachaga ni wengi ndio wameshikilia nguvu kuu za kiuchumi.
Binafsi nilitaka kuweka empire huko nikawaza mji wangu wa Mwanza na wasukuma walivyo wakarimu hawabagui jamani nikaona Bora niishi Mwanza.
Hili la ubaguzi naweza nikatoa hela tukafanya research kwa wafanya biashara wa Kanda zingine walioko huko.
Kuna mmama mmoja mhaya nilimuuliza kitu ichi akaniambia nikinunua dukani.kwake deto.
Arusha ni wanajifanya wajuaji Kama wameru na waarusha.yaani Yale meno ya kashata za karanga wao wanaona Kama ni gold wamebeba mdomoni.
Ubaguzi upo hapa nitakupinga Kama vipi tutaingia field tufanye sample hata maduka mia moja tulete mean ,range, standard deviation, variance Mana number don't lie
Kuna jamaa tulisoma nae wa huko alihamishwa kimchongo baada ya kufeli la saba , alikuwa anatumia jina sio lake . Jamaa alikuwa mbaguzi sana baadae alikuwa HP shule yetu , tulimfanyia mengi mazuri kama mgeni ila ubinafsi kiwango cha juu .Wajinga sana halafu wanajifanya wajanja na meno yao machafu na rafudhi zao mbovu.
Wacha wivu,AICC tuu hapo Iko full booked Kwa mikutano,value chain yake inawakuta wengi sana.
Mama amefungua Nchi,badala ya kulia lia ujinga jikite kwenye biashara ambayo Iko related na Utalii na mikutano ππ
View: https://www.instagram.com/p/C7rwyY_tI26/?igsh=ZGRjem9yNHN6M3hy
Mji unalindwa na wadudu unategemea nini? ππππKuna jamaa tulisoma nae wa huko alihamishwa kimchongo baada ya kufeli la saba , alikuwa anatumia jina sio lake . Jamaa alikuwa mbaguzi sana baadae alikuwa HP shule yetu , tulimfanyia mengi mazuri kama mgeni ila ubinafsi kiwango cha juu .
Sitamsahau alikuja na midosho ya mitumba , tukampa nguo baadhi maana alikuwa anadai hao ndugu zake alipofikia walikuwa eti wanamnyima chakula , pesa hapewi ....Kipind cha Ramadhni alikuwa anafuturu kweny nyumba za wadigo ila alikuja kuongea dharau acha ....
Nilitemana nae kitambo sana kwa ushamba wake.
Uchumi haujashuka,completion imeongezekaUchumi umeshuka kote tuu mkuu
We una uvundo nenda kaharishe. Mshamba km ww huwezi kuijua jiji km Arusha. We bwege kaishi huko kajamba naniHili jiji la arusha ambalo linasifika kwa utalii na ambalo lina historia nzuri ya kutoa wasanii, waigizaji na watangazaji maarufu, sifa zake kwa nje ni nyingi na nzuri sana. Ila kwa uhalisia ukifika ndani ya jiji hilo ni shida tupu.
Biashara ndani ya jiji hilo ni ngumu sana, watu wanafanya biashara kwa kujuana sana. Kiufupi mzunguko ni mdogo sana si soko la kilombero wala soko kuu.
Ukipita mitaa ya makao mapya utakuta nyumba self contained ya vyumba 3 shs 150,000/= na wanataka kodi ya hata mwezi. Ukienda huko ngarenaro mitaa ya shauri moyo unakuta wali wa kuku 1000.
Mbaya zaidi hili jiji mitaa mingi ni michafu sana kama sekei, sombetini, mbauda na huko mianzini. Biashara kubwa katika hili jiji ni biashara ya shule, biashara ya nyama aina zote na biashara ya bia.
Japo wanachuga hupenda kulitetea hili jiji, ila kiuhalia arusha ilipaswa kuwa mji kama miji mingine. Yaani saivi hata kahama kuna mzunguko wa hela kuliko arusha.
Hili ndio jiji ambalo matajiri wake wote hawapo top 100 ya matajiri Tanzania.
Hili pia ndio jiji linaloongoza kwa kuvaa mitumba wazee wa krokon na memorio.
Hili ndio jiji ambalo wakazi wake wengi ni lialia wakija kwenye biashara yako watataka uwapunguzie hata kitu cha mia.
Hili ndilo jiji ambalo ukikaa mwaka mmoja unaweza wafahamu wakazi wote wa hapo. Hapo utapata picha udogo wa jiji.
Imagine jiji uwanja wa ndege hauna taa za kuongozea ndege usiku. View attachment 3004742
Wanabisha tu. Yaani watu wakishawajua nadhani watapata shida mno.π π πArusha ni wabaguzi ndio tatizo , mikoani wanaishi vizuri ndio maana unakuta mchaga wa kaskazini ni mbunge huku kibaha na anaishi vizuri sasa wewe nenda kwao uone kasheshe.
Mapto ya utalii na madini hayamfikii mwanachi wa chini hata hotels zile target ni watalii sio wezi hawa wadudu.
Nilifikiri utataja viwanda kama 30 hivi kumbe kelele zote ni mkutanoWacha wivu,AICC tuu hapo Iko full booked Kwa mikutano,value chain yake inawakuta wengi sana.
Mama amefungua Nchi,badala ya kulia lia ujinga jikite kwenye biashara ambayo Iko related na Utalii na mikutano ππ
View: https://www.instagram.com/p/C7rwyY_tI26/?igsh=ZGRjem9yNHN6M3hy
Cc Accumen Mo darcityHii thread mtoa mada angeifungua kipindi cha covid angekua sahihi kabisa
Ila kwa sasa hivi amebugi Big timeπ
Bad News kwa wasioipenda kaskazini awamu hii inasapoti utalii vibaya mno
Sio makosa yetu kuwekewa mlima mrefu zaidi Africa pale Kilimanjaro sio makosa yetu kuwekewa mlima meru, ngorongoro etc
Ni wivu tu π
View: https://www.instagram.com/reel/C3R7E3_N1G4/?igsh=MXF2cjE1YzJ2bHZlaA==
Hilo wanalikataa kinoma ila nenda Moshi tu hapo utashuhudia vibweka. Huku Dar wanajua wakileta ujinga wanapigwa tunguli chap na wazaramo so discpline inakuwepo.π π πArusha ni wabaguzi ndio tatizo , mikoani wanaishi vizuri ndio maana unakuta mchaga wa kaskazini ni mbunge huku kibaha na anaishi vizuri sasa wewe nenda kwao uone kasheshe.
Mapto ya utalii na madini hayamfikii mwanachi wa chini hata hotels zile target ni watalii sio wezi hawa wadudu.
We lofa Arusha unaijua kwl, umeshafika au ni chuki zako zilizojaa wivu? Arusha ndio mji wenye ustaarabu wa hali ya juu sn nchi. Ndio jiji la pili kimapato baada ya Dsm. Arusha ht harufu ya ukabila huwezi sikia. Arusha ndio ina mahoteli mengi kuliko ht Dsm. Uwanja wa ndege wa Arusha una miruko ya ndege zaidi ya 150 kwa siku. Una sehemu za starehe kuliko ht Dsm. Barabara za jiji la Arusha zaidi ya 90% ni lami. Hakuna uchafu kwa kiwango unasema we mzushi. Huo uchafu uko mitaa ipi ndani ya jiji? Acha husda, uzushi, upotoshaji, chuki ndani ya nchi ile ile moja, wivu wa kike. Arusha ni Geneva ya Afrika, umaarufu wake ni wa dunia nzima, acha wivu na chuki za kipumbavuHili jiji la arusha ambalo linasifika kwa utalii na ambalo lina historia nzuri ya kutoa wasanii, waigizaji na watangazaji maarufu, sifa zake kwa nje ni nyingi na nzuri sana. Ila kwa uhalisia ukifika ndani ya jiji hilo ni shida tupu.
Biashara ndani ya jiji hilo ni ngumu sana, watu wanafanya biashara kwa kujuana sana. Kiufupi mzunguko ni mdogo sana si soko la kilombero wala soko kuu.
Ukipita mitaa ya makao mapya utakuta nyumba self contained ya vyumba 3 shs 150,000/= na wanataka kodi ya hata mwezi. Ukienda huko ngarenaro mitaa ya shauri moyo unakuta wali wa kuku 1000.
Mbaya zaidi hili jiji mitaa mingi ni michafu sana kama sekei, sombetini, mbauda na huko mianzini. Biashara kubwa katika hili jiji ni biashara ya shule, biashara ya nyama aina zote na biashara ya bia.
Japo wanachuga hupenda kulitetea hili jiji, ila kiuhalia arusha ilipaswa kuwa mji kama miji mingine. Yaani saivi hata kahama kuna mzunguko wa hela kuliko arusha.
Hili ndio jiji ambalo matajiri wake wote hawapo top 100 ya matajiri Tanzania.
Hili pia ndio jiji linaloongoza kwa kuvaa mitumba wazee wa krokon na memorio.
Hili ndio jiji ambalo wakazi wake wengi ni lialia wakija kwenye biashara yako watataka uwapunguzie hata kitu cha mia.
Hili ndilo jiji ambalo ukikaa mwaka mmoja unaweza wafahamu wakazi wote wa hapo. Hapo utapata picha udogo wa jiji.
Imagine jiji uwanja wa ndege hauna taa za kuongozea ndege usiku. View attachment 3004742
Moshi naku-support ndio maana ule mji umedoda una wakazi 221,000 mpk leo ukiziwa na miji ya juzi tu km Geita n.k. Wachaga ni wabinafsi mno na wabaguzi. Arusha hawana ubavu ndio maana uongozi wa kisiasa kuupata ni vigumu.Hilo wanalikataa kinoma ila nenda Moshi tu hapo utashuhudia vibweka. Huku Dar wanajua wakileta ujinga wanapigwa tunguli chap na wazaramo so discpline inakuwepo.
Mchaga akiwa Dar hawez leta ujuaji wanakuwa wanabadilika kulingana na mfumo uliopo huku mjini ila wale ambao wanasalia makwao ni wabaguzi haswa. Biashara za kujuana juana.
Ni wewe tu mkuu Arusha hela zake sio chee kama miji mingine, uwe mpiganaji na mwenye akili nzuri za kibiashara, Arusha ni mahali pa kuwa tajiri. Ukija Arusha unategemea mzizi na ndagu hutaweza. Ona mapato ya Arusha ukilinganisha ni hiyo Kahama unayosema.Hili jiji la arusha ambalo linasifika kwa utalii na ambalo lina historia nzuri ya kutoa wasanii, waigizaji na watangazaji maarufu, sifa zake kwa nje ni nyingi na nzuri sana. Ila kwa uhalisia ukifika ndani ya jiji hilo ni shida tupu.
Biashara ndani ya jiji hilo ni ngumu sana, watu wanafanya biashara kwa kujuana sana. Kiufupi mzunguko ni mdogo sana si soko la kilombero wala soko kuu.
Ukipita mitaa ya makao mapya utakuta nyumba self contained ya vyumba 3 shs 150,000/= na wanataka kodi ya hata mwezi. Ukienda huko ngarenaro mitaa ya shauri moyo unakuta wali wa kuku 1000.
Mbaya zaidi hili jiji mitaa mingi ni michafu sana kama sekei, sombetini, mbauda na huko mianzini. Biashara kubwa katika hili jiji ni biashara ya shule, biashara ya nyama aina zote na biashara ya bia.
Japo wanachuga hupenda kulitetea hili jiji, ila kiuhalia arusha ilipaswa kuwa mji kama miji mingine. Yaani saivi hata kahama kuna mzunguko wa hela kuliko arusha.
Hili ndio jiji ambalo matajiri wake wote hawapo top 100 ya matajiri Tanzania.
Hili pia ndio jiji linaloongoza kwa kuvaa mitumba wazee wa krokon na memorio.
Hili ndio jiji ambalo wakazi wake wengi ni lialia wakija kwenye biashara yako watataka uwapunguzie hata kitu cha mia.
Hili ndilo jiji ambalo ukikaa mwaka mmoja unaweza wafahamu wakazi wote wa hapo. Hapo utapata picha udogo wa jiji.
Imagine jiji uwanja wa ndege hauna taa za kuongozea ndege usiku. View attachment 3004742
mhh geneva ya waduduWe lofa Arusha unaijua kwl, umeshafika au ni chuki zako zilizojaa wivu? Arusha ndio mji wenye ustaarabu wa hali ya juu sn nchi. Ndio jiji la pili kimapato baada ya Dsm. Arusha ht harufu ya ukabila huwezi sikia. Arusha ndio ina mahoteli mengi kuliko ht Dsm. Uwanja wa ndege wa Arusha una miruko ya ndege zaidi ya 150 kwa siku. Una sehemu za starehe kuliko ht Dsm. Barabara za jiji la Arusha zaidi ya 90% ni lami. Hakuna uchafu kwa kiwango unasema we mzushi. Huo uchafu uko mitaa ipi ndani ya jiji? Acha husda, uzushi, upotoshaji, chuki ndani ya nchi ile ile moja, wivu wa kike. Arusha ni Geneva ya Afrika, umaarufu wake ni wa dunia nzima, acha wivu na chuki za kipumbavu