Pamoja na kipato kuwa kidogo,
Bungeni wabunge wanaoshauri Serikali kuongeza wigo wa kukusanya mapato Kwa hao hao wanapata 10,000 Kwa siku.
Tunapopaza sauti kudai mabadiliko kama Nchi na Katiba mpya na usishiriki ukidhani kufanya hivyo ni Siasa,
Hakipo kitachobadilika.
Amen
Bungeni wabunge wanaoshauri Serikali kuongeza wigo wa kukusanya mapato Kwa hao hao wanapata 10,000 Kwa siku.
Tunapopaza sauti kudai mabadiliko kama Nchi na Katiba mpya na usishiriki ukidhani kufanya hivyo ni Siasa,
Hakipo kitachobadilika.
Amen