Hali ya maisha ya Mtanzania ni ngumu sana. Rais asipochukua hatua sasa hali itaendelea kuwa mbaya zaidi

Hali ya maisha ya Mtanzania ni ngumu sana. Rais asipochukua hatua sasa hali itaendelea kuwa mbaya zaidi

Pamoja na kipato kuwa kidogo,

Bungeni wabunge wanaoshauri Serikali kuongeza wigo wa kukusanya mapato Kwa hao hao wanapata 10,000 Kwa siku.

Tunapopaza sauti kudai mabadiliko kama Nchi na Katiba mpya na usishiriki ukidhani kufanya hivyo ni Siasa,

Hakipo kitachobadilika.

Amen
 
Hakuna kilicho na hasara kikakosa faida. Huo ugumu wa maisha unaotajwa iwe ni wakeup call, kuwa tunatakiwa:

1) kuwa na mipango ya kuamua juu ya ukubwa wa familia
2) kuwa na mikakati ya kuingia kwenye uzalishaji utakaotuhakikishia vipato vinavyoendana na mahitaji ya familia
3) tuache kukimbilia kazi nyepesi za kubangaiza. Kazi nyepesi, na mapato yatakuwa mepesi.
Haya uliyoandika hapa yangekuwa yamekamilika kama ungeonesha role ya serikali, na vipi serikali imetimiza wajibu wake kufanikisha hilo. Nakuona unaendelea kuficha madhaifu ya serikali kwenye hili suala, naamini sababu inayokufanya uwe hivyo ni ile ile asali.

Kuwaambia watu waache kukimbilia kazi nyepesi za kubangaiza, wakati ndizo zilizopo, kwasababu serikali imeshindwa kuwapa wahitimu wa vyuo kazi nzito unazotaka wafanye, ni kuwaonea wapambanaji, show some respect!.

Serikali inayojielewa, ikishatambua changamoto wanazopitia raia wake, lazima itafute namna ya kuwapunguzia maumivu, mfano, serikali ikishajua raia wake wengi wanafanya kazi nyepesi, zinazowapa kipato kidogo, ni lazima ifanye iwezalo kupunguza mfumuko wa bei, hawa wapambanaji hawawezi control hilo.

Zaidi, unaposema watu watazame family planning, hapa napo unatengeneza tatizo jingine mbele ya safari, tunaona kwenye baadhi ya nchi zilizoendelea, hata kama teknolojia inayowarahisishia kufanya kazi zao, usiyatazame haya mambo kwa jicho la upande mmoja.
 
Ee Mungu nipe hekima yako niweze kuandika kitu kitakacho weza kuwapa uwelewa viongozi wenu juu ya Hali ilivyo mbaya kwa wananchi wake [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Awali ya yote Samia mama naomba elewa Hali za Watanzania ni mbaya Sana na inatisha kweli kweli [emoji24][emoji24][emoji24]

Tujiulize sisi kama taifa tumemkosea wapi Mungu na je viongozi wetu hamuoni jinsi wananchi wanavyo teseka

Ukitaka kujuwa udhaifu wa mtu mtese usimpe chakula nyie kama viongozi juu ya hili mmeliweza wananchi hawana chakula kabisa

Swali la kujiuliza mama hivi kweli shilling 10000 haitoshi kabisa Kwa bajeti ya siku kwa familia mfano mdogo tuu nikuonyeshe mama

Familia yenye watu 5 tu baba mama na watoto 3

Asubuhi baba aache 10000

Asubuhi wanunue vitafungwa tu 2000
Watoto wapewe nauli za shule 1000×3=3000 hii ni nauli pamoja na hela ya kula shuleni
Mchana mama haha chochote labla mama amejikaza kanunuwa mihogo ya 1000 na bibi nyingi Akala

Mfukoni imebaki 4000 je hii hela itatosha kwa chochote kile ila waweze kula jioni

Mchele kilo ni 3500
Mafutaa pishi ni 500
Mkaa 2000
Mboga za majani 1000
Nyanya +karoti + kitunguu 2000

Je swali kwenye Ile 10000 baba alio acha asubuhi imebaki shingapi

Naomba ujue kitu kimoja mama watu wanao umia juu ya huu mfumuko wa bei ya chakula ni wananchi wa chini sio wa juu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Je wewe kama RAIS una waza juu ya hili just imagine wewe unatumia shingapi kwa siku juu ya chakula jaribu kuchukuwa 10000 alafu ujaribu kuibajetia kama itatosha kwa chochote kwanzia asubuhi Hadi jioni

Ushauri wangu huu ni Muda muafaka wa serikali kusitisha kuuza nafaka nje mama naomba achana na Bashe kabisa huyu ni mfanyabishara mkubwa wa mahindi Kenya na wewe unalijuwa Hilo

Tueni Yale mazao yaliyopo kwenye ghala la taifa yauzeni kwa bei nafuu maana Hali ni mbaya mtaani huku

Wekeni mikakati ya kuboresha sekta ya kilimo kwa kuwapa vijana mikopo wakalime ili kukabiliana na hili tatizo la njaa siku za mbeleni huko

Ukiendele kufubaza shingo juu ya hili nililo kuambia tutakumbana na baa la njaa ifikapo mwezi wa 6 mwaka huu

Pia angalia mishahara ya watanzania sio rafiki kabisa na Hali ya uchumi ilivyo

Una mlipa mtu 300000 kwa mwezi huyu mtu kulingana na hesabu ya siku anapokea 10000 hapo bado hajalipa Kodi, NSSF anabakiwa na shingapi hapo lakimbili na nusu je hiyo laki mbili na nusu itatosha kumwendesha maisha kwa mwezi mzima embu fikirieni juu ya hili

Boresheni mishahara kwa sector zote private sector hawajaongezewa hela Hadi saa hizi Ina maana Hawa sio Watanzania je gharama za maisha zimepanda kwa wafanyakazi wa serikali tuu

Mnakwenda kutengeneza kizazi ambacho ni hatari sana Kwa hili taifa

Hakuna ajira Kwa vijana na wanao hitumu ni wengi je Nini kinaenda kutokea Hadi ifikapo 2035

Sina mengi ya kuyasema zaidi ya hayo kwa unyenyekevu mkubwa na shukuru mwenyezi Mungu kwa kunifungulia haya na kuyaona na kukueleza mama nimekuwa mnyenyekevu kwako kwaajili ya watanzania wote [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Kingine japo sio Cha mwisho angalia mama swala la vifurushi vimekuwa ni hatari sana

Shilingi elfu Moja unapata MB 490 mama hii sio Haki kabisa nape ni kidonda katika hii wizara haiwezeka kuwa hivi mnawanyosha Sana wananchi wa chini SEMA neno Moja juu ya hili swala na hakika utarejesha matumaini kwa wananchi wa Hali ya chini

[emoji120][emoji120][emoji120]
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa, wahenga walisema. Tuombe tu Mungu, mvua za masika zinyeshe maskini tuweze kujipatia chakula chetu.

Pia kumbuka damu ni nzito kuliko maji, huyo bwashee hawezi kufunga mipaka wakati ndugu zake hawana chakula. Sana Sana atawahimiza waje wakati wa mavuno, waingie mpaka huko vijijini ndani ndani wakusanye shehena ya kutosha na wasafirishe makwao.
Msemo mzuri
 
Hazina ukweli wowote, maisha ni yaleyale tu na kila uchwao yanazidi kubadilika kua mazuri sema na sisi wananchi tunazaliana hovyo kiasi kwamba serikali inazidiwa kutuhudumia.
[emoji1320]
 
Gharama za maisha zimepanda ni matarajio yangu serikali ingekua imeshapeleka muswada wa kuongeza mishahara ya wafanyakazi. Na ni mategemeo yangu bajeti mpya itakwenda kuongeza mishahara na kima cha chini
[emoji1320]
 
Wenzetu, kwenye mambo ya msingi, wote wanaungana. Na wanaungana katika ukweli, siyo kwenye ushabiki.

Fikiria Tanzania ni kati ya nchi 5 DUNIANI katika kuzaliana. Wanadanganywa waendelee kufyatua watoto, wanashangilia, bila ya kujiuliza wana uwezo wa kujilisha, kuwasomesha, kuwatibu na kuwavisha? Ushabiki, hata kwenye mambo ya kijinga, unatuumiza Watanzania.

Hata bei za chakula zingekuwa chini, bado baadhi ya familia zitaendelea kuwa duni kutokana na ukubwa wa familia usioendana na kipato. Na kibaya zaidi, maskini ndio wanaoongoza kuzaliana kuliko wale walio na kipato.

Fikiria nchi ambayo watoto (ambao siyo wazalishaji), ni wengi maradufu ya watu wazima (wazalishaji). Kwa kuwa wazalushaji ni wachache sana, hata kunapotokea tatizo la inflation kama ilivyo sasa, uwezo wa Serikali hata kutoa ruzuku, unakuwa haupo kwa sababu na kuwa na watu wengi wasioendana na uzalishaji. Kama spidi ya kuzaliana, itaendelea kama ilivyo sasa, hakuna siku hata moja familia zote zitakuja kuwa na maisha bora.
Bams, mapendekezo yako hayawezi kuondoa "njaa" waliyonayo Watanzania. Njaa tunayopata leo inatokana kwa namna moja au nyingine kwa mikakati mibovu. Serikali nyingi za Afrika zimekuwa zinajali uwepo wa Serikali na Nchi. Sovereign State. Wanajali kukusanya mapato ili Serikali iweze kujiendesha, kiuhalisia wanakuwa wanafanya trial and err. Kuna Wachumi kama Ludwig Erhard, katika umahiri wake aliandika kwenye kitabu cha Mafanikio ya Uchumi "Economics of Success" alizungumzia hatma ya Urusi, alizungumzia mienendo pamoja na matatizo matatizo tunayoyapata leo Tanzania....kama livyokuwa urusi.... ....itakayowakabili....aliandika....

"Masharti ya matumizi mazuri ya kanuni ya upangaji tu hayapo duniani."

Naona mantiki unayotumia ni kuwa tunajiendea tu bila mpangilio. Ukumbuke tupo kwenye mpito kichumi..... Bwana Ludwig aliongeza....


"...Katika nyakati za kisasa zilizopangwa kuingilia kati(yaani copy and paste) kumevuruga uchumi. Wapangaji wako katika nafasi dhaifu kimantiki lakini zenye nguvu kimbinu." nafikiri bado tunahitaji muda....rome was not built overnight!



"Isipokuwa ukweli kwamba mfumo wa fedha uliokatishwa tamaa hufanya uchumi wa soko huria usifanye kazi bila mfumuko wa bei"

Tuna mfumuko wa bei na Ndio inayofanya Njaa iongezeke....yaani mateso yanayotokana na kuingia uchumi wa kati na wakibepari bila au kabla hatujawaandaa Wananchi.


Unaweza pitia huyu Raisi wa Senegal LS. Senghor akizungumzia haya.

Tuna kazi ndio, but its not as if one size fits all
 
Ee Mungu nipe hekima yako niweze kuandika kitu kitakacho weza kuwapa uwelewa viongozi wenu juu ya Hali ilivyo mbaya kwa wananchi wake 🙏🙏🙏🙏

Awali ya yote Samia mama naomba elewa Hali za Watanzania ni mbaya Sana na inatisha kweli kweli 😭😭😭

Tujiulize sisi kama taifa tumemkosea wapi Mungu na je viongozi wetu hamuoni jinsi wananchi wanavyo teseka

Ukitaka kujuwa udhaifu wa mtu mtese usimpe chakula nyie kama viongozi juu ya hili mmeliweza wananchi hawana chakula kabisa

Swali la kujiuliza mama hivi kweli shilling 10000 haitoshi kabisa Kwa bajeti ya siku kwa familia mfano mdogo tuu nikuonyeshe mama

Familia yenye watu 5 tu baba mama na watoto 3

Asubuhi baba aache 10000

Asubuhi wanunue vitafungwa tu 2000
Watoto wapewe nauli za shule 1000×3=3000 hii ni nauli pamoja na hela ya kula shuleni
Mchana mama haha chochote labla mama amejikaza kanunuwa mihogo ya 1000 na bibi nyingi Akala

Mfukoni imebaki 4000 je hii hela itatosha kwa chochote kile ila waweze kula jioni

Mchele kilo ni 3500
Mafutaa pishi ni 500
Mkaa 2000
Mboga za majani 1000
Nyanya +karoti + kitunguu 2000

Je swali kwenye Ile 10000 baba alio acha asubuhi imebaki shingapi

Naomba ujue kitu kimoja mama watu wanao umia juu ya huu mfumuko wa bei ya chakula ni wananchi wa chini sio wa juu 😭😭😭😭

Je wewe kama RAIS una waza juu ya hili just imagine wewe unatumia shingapi kwa siku juu ya chakula jaribu kuchukuwa 10000 alafu ujaribu kuibajetia kama itatosha kwa chochote kwanzia asubuhi Hadi jioni

Ushauri wangu huu ni Muda muafaka wa serikali kusitisha kuuza nafaka nje mama naomba achana na Bashe kabisa huyu ni mfanyabishara mkubwa wa mahindi Kenya na wewe unalijuwa Hilo

Tueni Yale mazao yaliyopo kwenye ghala la taifa yauzeni kwa bei nafuu maana Hali ni mbaya mtaani huku

Wekeni mikakati ya kuboresha sekta ya kilimo kwa kuwapa vijana mikopo wakalime ili kukabiliana na hili tatizo la njaa siku za mbeleni huko

Ukiendele kufubaza shingo juu ya hili nililo kuambia tutakumbana na baa la njaa ifikapo mwezi wa 6 mwaka huu

Pia angalia mishahara ya watanzania sio rafiki kabisa na Hali ya uchumi ilivyo

Una mlipa mtu 300000 kwa mwezi huyu mtu kulingana na hesabu ya siku anapokea 10000 hapo bado hajalipa Kodi, NSSF anabakiwa na shingapi hapo lakimbili na nusu je hiyo laki mbili na nusu itatosha kumwendesha maisha kwa mwezi mzima embu fikirieni juu ya hili

Boresheni mishahara kwa sector zote private sector hawajaongezewa hela Hadi saa hizi Ina maana Hawa sio Watanzania je gharama za maisha zimepanda kwa wafanyakazi wa serikali tuu

Mnakwenda kutengeneza kizazi ambacho ni hatari sana Kwa hili taifa

Hakuna ajira Kwa vijana na wanao hitumu ni wengi je Nini kinaenda kutokea Hadi ifikapo 2035

Sina mengi ya kuyasema zaidi ya hayo kwa unyenyekevu mkubwa na shukuru mwenyezi Mungu kwa kunifungulia haya na kuyaona na kukueleza mama nimekuwa mnyenyekevu kwako kwaajili ya watanzania wote 🙏🙏🙏🙏🙏

Kingine japo sio Cha mwisho angalia mama swala la vifurushi vimekuwa ni hatari sana

Shilingi elfu Moja unapata MB 490 mama hii sio Haki kabisa nape ni kidonda katika hii wizara haiwezeka kuwa hivi mnawanyosha Sana wananchi wa chini SEMA neno Moja juu ya hili swala na hakika utarejesha matumaini kwa wananchi wa Hali ya chini

🙏🙏🙏
Viongozi wa juu Serikalini wananufaika na Ugumu wa maisha wa Raia.

1. Unapolipa vat kwenye bidhaa madukani, Serikali inapata pesa za kununua mafuta kwenye V8 za viongozi.

2. Unaponunua Mchele 3,500 Kwa kilo, jua Basha anatunisha mfuko kwenye Kampuni zake za kuuza nafaka Kenya na somalia.

3. Unapolipa 55,000 nauli ya Dar Mwanza, Kuna kampuni ya mwigu na wenzie kupitia Mama Esther wanatajirika kupindukia.

4. Unaponunua maji 500 Kwa ndoo moja, uwe na HAKIKA Wizara ya maji wanatumia mwanya huo kuomba pesa hazina kutatua changamoto hiyo, na pesa zikitoka ZINAPIGWA.

5. Unaponunua bundle la internate Bei juu, Pena anapata posho Kutoka makampuni hayo, ananufaika na Bei ya vifurushi kuwa juu.

6. Unaponunua mafuta ya kupikia Lita Tano Kwa 30,000 uwe na HAKIKA Kuna TOZO na Kodi zaidi ya 5000 Kwa Kila dumu imeingia Serikalini na inatoka Kwa matumizi ya kawaida ya viongozi.

Serikali haiwezi kupunguza mzigo wanaoubeba raia, sababu kwao sisi ni chanzo Cha mapato Yao.

Tuungane kudai KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA Ili kuondoa mifumo kandamizi inayoumiza wengi kuhudumia Wachache.

Amen
 
Hapo Kuna cost tele hujaeka
Mchele 1kg 3500
Unga nusu 1000 mchana
Mboga walai 2000
Nyanya 500
Kitunguu 100
Mafuta 500
Mkaa 1000
Sukari 400

Maji 500
Umeme 700
Vifafunwana 1000
Nauli ya watu 4 @4000
Beki tTu 3000 per day
Matunda wanahimi,a tule 2000
Buku ya mwalimu 1000
Mboga join 4000
Pango 3000 per day
Dawa ya viatu 200 daily
Mswakin200
Mafuta ya kujipaka 100


Sabini 400 daily hapa unapata 29000*30=
870000
Halafu mtu salary haifiki hat 400000
Kama unapokea 400,000 na matumizi ni 870,000 Kwa mwezi, na huachi KAZI na unaishi, ni dhahiri unaiibia Serikali, au mwajiri ukipata mwanya lazima unapiga.

Serikali inawafundisha watu WIZI wa bila kukusudia.
 
Ee Mungu nipe hekima yako niweze kuandika kitu kitakacho weza kuwapa uwelewa viongozi wenu juu ya Hali ilivyo mbaya kwa wananchi wake [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Awali ya yote Samia mama naomba elewa Hali za Watanzania ni mbaya Sana na inatisha kweli kweli [emoji24][emoji24][emoji24]

Tujiulize sisi kama taifa tumemkosea wapi Mungu na je viongozi wetu hamuoni jinsi wananchi wanavyo teseka

Ukitaka kujuwa udhaifu wa mtu mtese usimpe chakula nyie kama viongozi juu ya hili mmeliweza wananchi hawana chakula kabisa

Swali la kujiuliza mama hivi kweli shilling 10000 haitoshi kabisa Kwa bajeti ya siku kwa familia mfano mdogo tuu nikuonyeshe mama

Familia yenye watu 5 tu baba mama na watoto 3

Asubuhi baba aache 10000

Asubuhi wanunue vitafungwa tu 2000
Watoto wapewe nauli za shule 1000×3=3000 hii ni nauli pamoja na hela ya kula shuleni
Mchana mama haha chochote labla mama amejikaza kanunuwa mihogo ya 1000 na bibi nyingi Akala

Mfukoni imebaki 4000 je hii hela itatosha kwa chochote kile ila waweze kula jioni

Mchele kilo ni 3500
Mafutaa pishi ni 500
Mkaa 2000
Mboga za majani 1000
Nyanya +karoti + kitunguu 2000

Je swali kwenye Ile 10000 baba alio acha asubuhi imebaki shingapi

Naomba ujue kitu kimoja mama watu wanao umia juu ya huu mfumuko wa bei ya chakula ni wananchi wa chini sio wa juu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Je wewe kama RAIS una waza juu ya hili just imagine wewe unatumia shingapi kwa siku juu ya chakula jaribu kuchukuwa 10000 alafu ujaribu kuibajetia kama itatosha kwa chochote kwanzia asubuhi Hadi jioni

Ushauri wangu huu ni Muda muafaka wa serikali kusitisha kuuza nafaka nje mama naomba achana na Bashe kabisa huyu ni mfanyabishara mkubwa wa mahindi Kenya na wewe unalijuwa Hilo

Tueni Yale mazao yaliyopo kwenye ghala la taifa yauzeni kwa bei nafuu maana Hali ni mbaya mtaani huku

Wekeni mikakati ya kuboresha sekta ya kilimo kwa kuwapa vijana mikopo wakalime ili kukabiliana na hili tatizo la njaa siku za mbeleni huko

Ukiendele kufubaza shingo juu ya hili nililo kuambia tutakumbana na baa la njaa ifikapo mwezi wa 6 mwaka huu

Pia angalia mishahara ya watanzania sio rafiki kabisa na Hali ya uchumi ilivyo

Una mlipa mtu 300000 kwa mwezi huyu mtu kulingana na hesabu ya siku anapokea 10000 hapo bado hajalipa Kodi, NSSF anabakiwa na shingapi hapo lakimbili na nusu je hiyo laki mbili na nusu itatosha kumwendesha maisha kwa mwezi mzima embu fikirieni juu ya hili

Boresheni mishahara kwa sector zote private sector hawajaongezewa hela Hadi saa hizi Ina maana Hawa sio Watanzania je gharama za maisha zimepanda kwa wafanyakazi wa serikali tuu

Mnakwenda kutengeneza kizazi ambacho ni hatari sana Kwa hili taifa

Hakuna ajira Kwa vijana na wanao hitumu ni wengi je Nini kinaenda kutokea Hadi ifikapo 2035

Sina mengi ya kuyasema zaidi ya hayo kwa unyenyekevu mkubwa na shukuru mwenyezi Mungu kwa kunifungulia haya na kuyaona na kukueleza mama nimekuwa mnyenyekevu kwako kwaajili ya watanzania wote [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Kingine japo sio Cha mwisho angalia mama swala la vifurushi vimekuwa ni hatari sana

Shilingi elfu Moja unapata MB 490 mama hii sio Haki kabisa nape ni kidonda katika hii wizara haiwezeka kuwa hivi mnawanyosha Sana wananchi wa chini SEMA neno Moja juu ya hili swala na hakika utarejesha matumaini kwa wananchi wa Hali ya chini

[emoji120][emoji120][emoji120]
Huo mfano wako sio maisha ya Watzn wengi,so chapa kazi acha ulalamishi usio na msingi au wewe hujamsikia Ndugai?

Mwisho unataka Rais achukue hatua zipi labda?
 
Nadhani auwajui Watanzania, hii inabaki tu kama hadithi uliyoisimulia siku ya leo.

Na bi samia na ccm yake wala hawajali na hawana hofu kwani wanatujua hatuna mpango wa kudai haki zetu dhidi ya haya maumivu.

Umeibaini standard ya hiyo elimu watoto wanayoifuata?? Ni uchafu mtupu, ndio huo unaotupa div4 na zero kwa 80%, na km hatuko tayari kutoka nje kuwaeleza watawala juu ya matendo na uovu wao dhidi yetu basi tutulie makalio yakiwa juu ili sindano zituingie haswaaa.

Overrr
Ukisema hawajali basi una matatizo makubwa haifai hata kukuelezea zaidi
 
Zinaukweli au hazina??
Maisha ni individuals cases na ndio maana huwezi Kuta maeneo ya starehe hakuna watu,sadaka kupungua,fundi cherehani kuacha kushona nguo,magari yakipungua barabarani Wala sherehe so usilete neno Jumuishi ndio maana Huwa zinkawa kelele no one cares Kwa sababu hazina ukweli
 
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa, wahenga walisema. Tuombe tu Mungu, mvua za masika zinyeshe maskini tuweze kujipatia chakula chetu.

Pia kumbuka damu ni nzito kuliko maji, huyo bwashee hawezi kufunga mipaka wakati ndugu zake hawana chakula. Sana Sana atawahimiza waje wakati wa mavuno, waingie mpaka huko vijijini ndani ndani wakusanye shehena ya kutosha na wasafirishe makwao.
Ndugu yangu panda mazao mvua ziko Katikati ya msimu Sasa,sijui wewe unazungumzia mvua zipi
 
Gharama za maisha zimepanda ni matarajio yangu serikali ingekua imeshapeleka muswada wa kuongeza mishahara ya wafanyakazi. Na ni mategemeo yangu bajeti mpya itakwenda kuongeza mishahara na kima cha chini
Wasio wafanyakazi na ambao Wana toil zaidi inakuaje?
 
Bro unapigia mbuzi gitaa una hoja nzuri sana.

Hapa tegemea kejeli na shombo za kuambiwa mfumuko wa bei ulaya ni mkubwa kuliko TZ..

Kiufupi Samia alifail from day one japo kuna watu hawataki kuamini ni Raisi asiyekuwa na msimamo wala Dira.
Tusichoshane hamia ambako maisha ni nafuu,ulaya ni mbali hapa hapa Afrika
 
Sasa yule mama Samia kweli unadhani hata anaelewa mfumuko wa bei ni nini? Yani kiongozi mkubwa wa nchi watu wamemuokota okota tu huko majalalani ndio autoe umma wa watanzania kwenye umasikini? Mipango endelevu ya taifa husukwa na watu smart sio hawa wakina babu tale, msukuma, shangazi, na wakina Amos Makala
 
Hakuna mtawala wa kiafrica anaeweza mletea maendeleo mwafrika, ongezeni tu ubunifu wa kupambana
Hata Kwa wazungu hakuna mtawala anayekuletea wewe maisha.

Mumeambiwa ombeni fursa za Kilimo tena Kwa kubebwa na Serikali hamtaki,Sasa mnataka muwe Mawaziri au? Mnaambiwa nendeni Halmashauri mpewe mikopo isiyo na riba hamtaki, sehemu zingine wananunuliwa Vitendea kazi kama magari,bajaji,mashine za matofali ila hamtaki Sasa msaidiwaje?

Chadema watawasaidia?
 
Lakini kwenye mfumo wa kibepari hakuna anaelala njaa.
Ulaya kula sio ishu.
Ni uhakika sababu kwenye ubepari ajira tele
Hizo Ajira tele ziko wapi? Husikii wakilalama maisha magumu Hadi Wanaandamana?
 
Back
Top Bottom