Hali ya wananchi kiuchumi ni mbaya sana kupitiliza kuelekea Uchaguzi wa 2025

Hali ya wananchi kiuchumi ni mbaya sana kupitiliza kuelekea Uchaguzi wa 2025

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Watumishi wenye ajira na ujira ni miongoni vya vyanzo vikuu vya kusambaza fedha kwenye jamii wakati wanapofanya matumizi na manunuzi yao kwa kutumia mishahara yao wanayopata kila mwezi.. Kundi hili linalipwa mishahara isiyolingana na uhalisia wa upandaji wa Bei, hivyo kufanya ununuzi mdogo sana wa huduma na bidhaa, hali inayosababisha mzunguuko mdogo wa fedha ndani ya jamii na kusababisha Hali mbaya sana ndani ya familia na mtu mmojammoja kwenye taifa.

Kandarasi kubwa sekta ya ujenzi kupewa wageni. Eneo hili pia linasababisha mzunguuko wa fedha ndani ya nchi kuwa mdogo kwakuwa fedha nyingi zinavuka mipaka na vibarua wazawa kupewa ujira mdogo sana kwenye kandarasi hizi za wageni. Wageni wanaangalia serikali inawalipaje watu wake.

Kandarasi za wazawa kukopwa au kucheleweshewa malipo hii ndio mbaya kabisaaaaaa, maana wazawa wanashindwa kukuza mitaji na kusababisha kuwalipa fedha kidoogo sana vibarua wao.

Ukosefu wa masoko ya uhakika ya mazao ya kilimo, mifugo, uvuvi na uchimbaji. Idadi kubwa sana ya wakulima, wafugaji hawana uhakika wa masoko na Bei ya mazao yao. Serikali utaisikia inahangaika na ukanda fulani TU na mazao fulani TU kwenye Kanda fulani TU na kusahau kwamba nchi nzima watu wake wanategemea kilimo na ufugaji na uvuvi. Hii nayo inasababisha hali ngumu sana katikati Kila kaya na kila mtu, wakulima na wafugaji wanauza kwa hasara. Serikali inafurahia Hali hii kisiasa eti inapunguza mfumuko wa Bei kwakutumia jasho la wakulima na wafugaji maskini kabisa.

Matokeo ya haya yote ni kuwa na jamii inayohangaika na kutapatapa isijue nini cha kufanya. Jamii ambayo kama akitokea mtu wa kuwasemea haya mateso yao kwa uwazi mbele ya camera ataitwa mchochezi, anatumiwa na pengine kunyamazishwa kwa njia mbalimbali kuanzia kununuliwa hadi kuumizwa ili Hali iendelee hivihivi milele.

Hali imesababisha kuwa na jamii ambayo:
1. Ina wezi wengi wa muda na mali za mwajili na jirani. Kila mtu ni mwizi kwa kiwango chake.
2. Ina wategemezi wengi. 90% ya wanajamii wote ni tegemezi.
3. In waongo wengi, wasomi wanaongoza kwa woga.
4. Ina migogoro mingi sana ndani familia, jamii na makazini
5. Ina watu wajanjajanja wasiokuwa na morali ya kazi

Uchaguzi ujao tunataka kuchagua watu wanaokerwa na Hali hii katika ngazi zote za uongozi na uchaguzi bila kujali chama, jinsia, kabila Wala dini ya mtu. Wananchi wanahitaji mitaji, maji ya kumwagilia, pembejeo, maghala, masoko na Bei nzuri ya mazao yao. Wafanyakazi wanahitaji ujira utakaotosha kuwahudumia wenzao vizuri na bashasha. Mwajili afahamu mtumishi wake analala wapi, anasafirije kwenda na kurudi kazini, atakula nini akiwa kazini na atafanyaje kazi zake.
 
Watumishi wenye ajira na ujira ni miongoni vya vyanzo kikuu vya kusambaza fedha kwenye jamii wakati wanapofanya matumizi na manunuzi yao kwa kutumia mishahara yao wanayopata kila mwezi.. Kundi hili linalipwa mishahara isiyolingana na uhalisia wa upandaji wa Bei, hivyo kufanya ununuzi mdogo sana wa huduma na bidhaa, hali inayosababisha mzunguuko mdogo wa fedha ndani ya jamii na kusababisha Hali mbaya sana ndani ya familia na mtu mmojammoja.

Kandarasi kubwa sekta ya ujenzi kupewa wageni. Eneo hili pia linasababisha mzunguuko wa fedha ndani ya nchi kwakuwa fedha nyingi zinavuka mipaka na vibarua wazawa kupewa ujira mdogo sana kwenye kandarasi hizi za wageni.

Kandarasi za wazawa kukopwa au kucheleweshewa malipo hii ndio mbaya kabisaaaaaa, maana wazawa wanashindwa kukuza mitaji na kusababisha kuwalipa fedha kidoogo sana vibarua wao.

Ukosefu wa masoko ya uhakika ya mazao ya kilimo, mofugo, uvuvi na uchimbaji. Idadi kubwa sana ya wakulima, wafugaji hawana uhakika wa masoko na Bei ya mazao yao. Serikali utaisikia inahangaika na ukanda fulani TU na mazao fulani TU kwenye Kanda fulani TU na kusahau kwamba nchi nzima watu wake wanategemea kilimo na ufugaji na uvuvi. Hii nayo inasababisha hali ngumu sana katikati Kila kaya na kila mtu,

Matokeo ya haya yote ni kuwa na jamii inayohangaika na kutapatapa isijue nini cha kufanya. Jamii ambayo kama akitokea mtu wa kuwasema haya mateso kwa uwazi ataitwa mchochezi, anatumiwa na pengine kunyamazishwa kwa njia mbalimbali kuanzia kununuliwa hadi kuumizwa.

Hali imesababisha kuwa na jamii ambayo:
1. Ina wezi wengi wa muda na mali za mwajili na jirani.
2. Ina wategemezi wengi
3. In waongo wengi
4. Ina migogoro mingi sana ndani familia, jamii na makazini
5. Ina watu wajanjajanja wasiokuwa na morali ya kazi

Uchaguzi ujao tunataka kuchagua watu wanaokerwa na Hali hii katika ngazi zote za uongozi na uchaguzi bila kujali chama, jinsia, kabila Wala dini ya mtu.
Tatizo ni pesa ya Tanzania kushuka thaamani dhidi ya dola ya marekani, na mikopo kausha damu pia ni shida sana.
 
Ni kweli hali ngumu lakini mbona wananchi hawaoneshi kukerwa na uongozi mbovu ,rushwa, uuzwaji wa mali za nchi hii muda wote habari zinazotrend ni simba na yanga kuwatetea watanzania ni kazi ngumu sana
Wananchi wetu Bado wanazo options (njia mbadala) nyingi ndio maana kwasasa wanatumia njia laini za kupata vipato vya ziada. Mfano, utamkuta mhadhiri wa chuo kikuu analo Banda ya nguruwe pia, mwalimu anauza mayai darasani, mtumishi anachelewa au kuwahi kutoka kazini akafanye kitu kingine, mume kutelekeza familia, ndoa kupungua ndani ya jamii, wazazi kutoa mimba, kushindwa kulipa ada, kula rushwa, kuiba kifaa cha kazini, kuiba nyuma vya madaraja na mifuniko ya chemba za majitaka, kuiba mafuta ya transformers, kukwepa Kodi, kufanya biashara bila leseni, nk
 
Ni kweli hali ngumu lakini mbona wananchi hawaoneshi kukerwa na uongozi mbovu ,rushwa, uuzwaji wa mali za nchi hii muda wote habari zinazotrend ni simba na yanga kuwatetea watanzania ni kazi ngumu sana
Nafikiri kujibu swali lako ni kwamba "hali ngumu" iko humu Jamii Forums na kwenye mitandao mingine tu.

Wale walio nje wako busy kutafuta hela lakini kavulata na Gulio Tanzania wanataka wapate hela humu JF
 
Watumishi wenye ajira na ujira ni miongoni vya vyanzo kikuu vya kusambaza fedha kwenye jamii wakati wanapofanya matumizi na manunuzi yao kwa kutumia mishahara yao wanayopata kila mwezi.. Kundi hili linalipwa mishahara isiyolingana na uhalisia wa upandaji wa Bei, hivyo kufanya ununuzi mdogo sana wa huduma na bidhaa, hali inayosababisha mzunguuko mdogo wa fedha ndani ya jamii na kusababisha Hali mbaya sana ndani ya familia na mtu mmojammoja.

Kandarasi kubwa sekta ya ujenzi kupewa wageni. Eneo hili pia linasababisha mzunguuko wa fedha ndani ya nchi kwakuwa fedha nyingi zinavuka mipaka na vibarua wazawa kupewa ujira mdogo sana kwenye kandarasi hizi za wageni.

Kandarasi za wazawa kukopwa au kucheleweshewa malipo hii ndio mbaya kabisaaaaaa, maana wazawa wanashindwa kukuza mitaji na kusababisha kuwalipa fedha kidoogo sana vibarua wao.

Ukosefu wa masoko ya uhakika ya mazao ya kilimo, mofugo, uvuvi na uchimbaji. Idadi kubwa sana ya wakulima, wafugaji hawana uhakika wa masoko na Bei ya mazao yao. Serikali utaisikia inahangaika na ukanda fulani TU na mazao fulani TU kwenye Kanda fulani TU na kusahau kwamba nchi nzima watu wake wanategemea kilimo na ufugaji na uvuvi. Hii nayo inasababisha hali ngumu sana katikati Kila kaya na kila mtu,

Matokeo ya haya yote ni kuwa na jamii inayohangaika na kutapatapa isijue nini cha kufanya. Jamii ambayo kama akitokea mtu wa kuwasema haya mateso kwa uwazi ataitwa mchochezi, anatumiwa na pengine kunyamazishwa kwa njia mbalimbali kuanzia kununuliwa hadi kuumizwa.

Hali imesababisha kuwa na jamii ambayo:
1. Ina wezi wengi wa muda na mali za mwajili na jirani.
2. Ina wategemezi wengi
3. In waongo wengi
4. Ina migogoro mingi sana ndani familia, jamii na makazini
5. Ina watu wajanjajanja wasiokuwa na morali ya kazi

Uchaguzi ujao tunataka kuchagua watu wanaokerwa na Hali hii katika ngazi zote za uongozi na uchaguzi bila kujali chama, jinsia, kabila Wala dini ya mtu.
Huyo anaewasemea si awape masoko kwani anasubiria nini?
 
Ni kweli hali ngumu lakini mbona wananchi hawaoneshi kukerwa na uongozi mbovu ,rushwa, uuzwaji wa mali za nchi hii muda wote habari zinazotrend ni simba na yanga kuwatetea watanzania ni kazi ngumu sana
Wamekuomba uwatetee? Kwa mfano unampa DP World Bandari aboreshe Huduma,hapo Bandari imeuzwa?

Kwa hoja hizo za kijinga Kwa nini msidharauliwe?
 
Watumishi wenye ajira na ujira ni miongoni vya vyanzo kikuu vya kusambaza fedha kwenye jamii wakati wanapofanya matumizi na manunuzi yao kwa kutumia mishahara yao wanayopata kila mwezi.. Kundi hili linalipwa mishahara isiyolingana na uhalisia wa upandaji wa Bei, hivyo kufanya ununuzi mdogo sana wa huduma na bidhaa, hali inayosababisha mzunguuko mdogo wa fedha ndani ya jamii na kusababisha Hali mbaya sana ndani ya familia na mtu mmojammoja.

Kandarasi kubwa sekta ya ujenzi kupewa wageni. Eneo hili pia linasababisha mzunguuko wa fedha ndani ya nchi kwakuwa fedha nyingi zinavuka mipaka na vibarua wazawa kupewa ujira mdogo sana kwenye kandarasi hizi za wageni.

Kandarasi za wazawa kukopwa au kucheleweshewa malipo hii ndio mbaya kabisaaaaaa, maana wazawa wanashindwa kukuza mitaji na kusababisha kuwalipa fedha kidoogo sana vibarua wao.

Ukosefu wa masoko ya uhakika ya mazao ya kilimo, mofugo, uvuvi na uchimbaji. Idadi kubwa sana ya wakulima, wafugaji hawana uhakika wa masoko na Bei ya mazao yao. Serikali utaisikia inahangaika na ukanda fulani TU na mazao fulani TU kwenye Kanda fulani TU na kusahau kwamba nchi nzima watu wake wanategemea kilimo na ufugaji na uvuvi. Hii nayo inasababisha hali ngumu sana katikati Kila kaya na kila mtu,

Matokeo ya haya yote ni kuwa na jamii inayohangaika na kutapatapa isijue nini cha kufanya. Jamii ambayo kama akitokea mtu wa kuwasema haya mateso kwa uwazi ataitwa mchochezi, anatumiwa na pengine kunyamazishwa kwa njia mbalimbali kuanzia kununuliwa hadi kuumizwa.

Hali imesababisha kuwa na jamii ambayo:
1. Ina wezi wengi wa muda na mali za mwajili na jirani.
2. Ina wategemezi wengi
3. In waongo wengi
4. Ina migogoro mingi sana ndani familia, jamii na makazini
5. Ina watu wajanjajanja wasiokuwa na morali ya kazi

Uchaguzi ujao tunataka kuchagua watu wanaokerwa na Hali hii katika ngazi zote za uongozi na uchaguzi bila kujali chama, jinsia, kabila Wala dini ya mtu.
Adui wa Tanzania ni mmoja tu, ujinga.
 
Watumishi wenye ajira na ujira ni miongoni vya vyanzo kikuu vya kusambaza fedha kwenye jamii wakati wanapofanya matumizi na manunuzi yao kwa kutumia mishahara yao wanayopata kila mwezi.. Kundi hili linalipwa mishahara isiyolingana na uhalisia wa upandaji wa Bei, hivyo kufanya ununuzi mdogo sana wa huduma na bidhaa, hali inayosababisha mzunguuko mdogo wa fedha ndani ya jamii na kusababisha Hali mbaya sana ndani ya familia na mtu mmojammoja.

Kandarasi kubwa sekta ya ujenzi kupewa wageni. Eneo hili pia linasababisha mzunguuko wa fedha ndani ya nchi kwakuwa fedha nyingi zinavuka mipaka na vibarua wazawa kupewa ujira mdogo sana kwenye kandarasi hizi za wageni.

Kandarasi za wazawa kukopwa au kucheleweshewa malipo hii ndio mbaya kabisaaaaaa, maana wazawa wanashindwa kukuza mitaji na kusababisha kuwalipa fedha kidoogo sana vibarua wao.

Ukosefu wa masoko ya uhakika ya mazao ya kilimo, mofugo, uvuvi na uchimbaji. Idadi kubwa sana ya wakulima, wafugaji hawana uhakika wa masoko na Bei ya mazao yao. Serikali utaisikia inahangaika na ukanda fulani TU na mazao fulani TU kwenye Kanda fulani TU na kusahau kwamba nchi nzima watu wake wanategemea kilimo na ufugaji na uvuvi. Hii nayo inasababisha hali ngumu sana katikati Kila kaya na kila mtu,

Matokeo ya haya yote ni kuwa na jamii inayohangaika na kutapatapa isijue nini cha kufanya. Jamii ambayo kama akitokea mtu wa kuwasema haya mateso kwa uwazi ataitwa mchochezi, anatumiwa na pengine kunyamazishwa kwa njia mbalimbali kuanzia kununuliwa hadi kuumizwa.

Hali imesababisha kuwa na jamii ambayo:
1. Ina wezi wengi wa muda na mali za mwajili na jirani.
2. Ina wategemezi wengi
3. In waongo wengi
4. Ina migogoro mingi sana ndani familia, jamii na makazini
5. Ina watu wajanjajanja wasiokuwa na morali ya kazi

Uchaguzi ujao tunataka kuchagua watu wanaokerwa na Hali hii katika ngazi zote za uongozi na uchaguzi bila kujali chama, jinsia, kabila Wala dini ya mtu.
Njia pekee ni kuiondoa CCM madarakani vinginevyo hakuna kitakachobadilika sababu mateso yote haya yanasababishwa na hicho chama na sasa kimeajiri chawa wengi kwa ajili ya kusafisha njia zao.
 
kama namuona Lucas Mwashambwa akibubujikwa machozi huku anamshukia 😆
OIG4.jpeg
 
Ni kweli hali ngumu lakini mbona wananchi hawaoneshi kukerwa na uongozi mbovu ,rushwa, uuzwaji wa mali za nchi hii muda wote habari zinazotrend ni simba na yanga kuwatetea watanzania ni kazi ngumu sana
Umeshawahi kuona mgonjwa mahututi akihoji matibabu?

Kuna kitu kinaendelea bongo na Mungu anaingilia kati
 
Ni kweli hali ngumu lakini mbona wananchi hawaoneshi kukerwa na uongozi mbovu ,rushwa, uuzwaji wa mali za nchi hii muda wote habari zinazotrend ni simba na yanga kuwatetea watanzania ni kazi ngumu sana
Ukiona wananchi wengi hawakerekwi nasi ujue hali sio ngumu sanaaa kama imavyonadiwa na wanasiasa! Changamoto zipo na ofcourse wapo wenye hali ngumu kabisa lakini walau watu wakijichaganya wanarudi jioni wakiwana faraja kiasi!
 
Adui wa Tanzania ni mmoja tu, ujinga.
Yaani ujinga huu umeenda hadi kwa viongozi, mfano hii SGR badala ya kuanza kutumika kwa abiria ingeanzia kutumika kwa mizigo , tungekua tumetengeneza bandari kavu kubwa sana pale morogoro na tabora na chalinze ili mizigo yote ya bamdarini ipokelewe huko, ili kupunguza msongamano bandarini na jijini. SGR ingerudisha pesa zetu haraka kuliko kubeba watu wenye shangazikaja wanaowahi kwenda kufanya uziznzi morogoro na Dodoma. Wafanyakazi waliokuwa wameajiliwa kwenye makapuni ya Shabiby, Abood, BM , Elsaid nk wataenda wapi?
 
Back
Top Bottom