Halima Mdee bado una nafasi ya kutubu, Heshima na tamaa havikai pamoja

Halima Mdee bado una nafasi ya kutubu, Heshima na tamaa havikai pamoja

Wangeanza kutubu wale ndugu zangu walionajisi uchaguzi na kupelekea yote haya. Usimbebeshe mmojawapo wa waathirika wa uchafuzi huu na ukawaacha wahusika. Nadhani wao kwenda bungeni wameonyesha ukomavu kisiasa. Acha maisha yaendelee mkuu.

Ukomavu gani kwenda kushirikiana na wezi was kura wao sasa wanatofauti gani na wezi, tena wote mnaowaterea ndo wezi wenyewe wa kura mliosababisha kufika hapa tulipo.

Hata Halima lazima ajiulize mbana wale waliotumia nguvu kubwa asiende bungeni ndo wanaomtetea sana sasa hivi. Kwanza hivi mbunge akiwa wa viti maalum mi naona anaongeza idadi bungeni hakuna mtu anayemtete maana Tanzania imegawanywa katika majimbo ambayo yote yana wawakilishi wake. Hakuna chochote wanakwenda kufanya huko hao wanawake si wanaishi majimboni wanawakilishwa na wabunge wa majimbo. Hivyo viti ni vya kufuta kabisa badala yake kila jimbo liwe na wagombea wawili mwanamke na mwanamme basi tutakuwa tumemaloza tatizo la usawa wankijinsia.
 
Kukacha kwenda BUNGENI Ni kukacha RUZUKU YA CHAMA...

Chadema Hawa ambao WAMEKUWA WAKIPITISHA BAKULI kuomba KUCHANGIWA sasa wanataka waendelee KUWAKAMUA WATANZANIA kipindi hichi cha "uchumi huu wa kati"?!!!

Chama cha Siasa hakiwezi kutegemea ruzuku ya seriakali ya CCM hata siku moja kinatakiwa kutegemea michango ya wanachama na wahisani
 
wee mdanganye tuu, hukumu ya snitcher ni kupigwa risasi ya kichwaa tuu au kunyongwa hadharan na hili halina mjadala na walla si vinginevyo, na wanao mtetea vile vile rissasi za kichwa bila hurumaa…….ova!
 
Nafasi ya Mdee Chadema imekwishajazwa , yeye asubiri unaibu waziri wa ccm
 
Waombe msamaha.

Waeleze Nani amewashawishi Hadi kufikia hapo.

wajivue nyazifa zote walizonazo za Bawacha.

Kama chama kitaona inafaa iwape baraka waendele kuwa wabunge au wajiuzulu ubunge ili chama kifanye uteuzi upya.

Wakifanya hivyo wasamehewe
 
Nawapongeza Chadema kwa kuwabariki wabunge wateule kwenda kula kiapo, mlifanya uamuzi wa busara.

Umoja na mshikamano ndio nguvu ya Taifa hili.

Hongereni Chadema,
Hongereni Watanzania tuendelee kuwa wamoja na tuchape kazi, anayehubiri utengano awe adui yetu namba moja.
 
Mabibi na mabwana na hasa wale walio wazalendo. Ni ukweli ulio wazi kuwa maji yakishamwagika huwa hayazoleki. Hata hivyo tunaweza kuganga yajayo.

Ni ukweli usiopingika kuwa, Bi. Halima ni mmoja kati ya makamanda shupavu kabisa walioipigania CDM kwa uaminifu mkubwa, licha ya kupitia katika changamoto nyingi.

Wandugu, kujikwaa si kuanguka na kosa moja halifukuzishi mke!

Siyo siri kuwa, tukio hili lililopelekea mtafaruku huu, limetusikitisha na kutusononesha mno. Kwa hakika itakuwa vyema sana kama tutashirikiana sote kulimaliza suala hili kistaarabu kwa mustakabala mwema wa chama chetu.

Ni furaha iliyo je mbinguni, mwenye dhambi mmoja akitubu?

Msingi wa hoja kama chama ni kutokutambua haramu ya uchaguzi 2020 na yote yatokanayo nao.

"Hapa pana namna ambayo suala hili Bi. Halima, litakwisha na adui yetu akatepeta na kulegea vilivyo:

1.Ombeni radhi kwa dhati kabisa mkijutia yote yaliyotokea.
2. Wekeni wazi bila kuficha kama ni Hadaa, ghiliba, ahadi, vitisho, nk na mkiwaweka wazi wote waliohusika na sarakasi hii. Koleo na likaitwe kwa jina lake.
3. Tuunganeni sote kumshambulia na kumwaibisha mbaya wetu.
4. Mengine kama yatakavyo shauriwa na waungwana wengine."

Sote tu wakosaji, shuruti tuwe tayari kusamehe 7x70.

Hayupo aliyepanga kukufukuzeni. Chonde chonde uamuzi wa kutofika huko mnao pia mikononi mwenu.

Ashindwe mbaya wetu na washirika wake wote.

Washindwe na walegee!
Halima na wenzake wote wako under surveillance ya tiss , kila wanachokifanya wanakifanya kwa maelekezo ya Mhutu na tiss yake . Hata kuja kwenye kamati kesho mpaka waruhusiwe , inategemea Jiwe atakuwa kaamkaje iyo kesho umeelewa ?
 
Waombe msamaha.

Waeleze Nani amewashawishi Hadi kufikia hapo.

wajivue nyazifa zote walizonazo za Bawacha.

Kama chama kitaona inafaa iwape baraka waendele kuwa wabunge au wajiuzulu ubunge ili chama kifanye uteuzi upya.

Wakifanya hivyo wasamehewe

Ubunge hawawezi kuendelea nao:

"Msingi wa hoja kama chama ni kutokutambua haramu ya uchaguzi 2020 na yote yatokanayo nao. Huu haupingiki aliye na hoja tofauti na atushawishi kwa hoja. Hiyo ndiyo demokrasia."

Ubunge huu unatokana na haramu ya uchaguzi 2020. Huu hauwezi kuwa halali.
 
Kuna wakati unatakiwa kuchukua maamuzi ya kuifurahisha jamii hata kama yanakuumiza wewe na familia yako.
Na wakati mwingine unatakiwa kufanya mambo kwa ajili ya familia yako bila kujali jamii itakuweka kundi gani.
Yote haya hayatahusu mambo uliyowekea nadhiri au kiapo.

Nadhani H. Mdee ameamua kufanya hilo la pili ingawa hilo la kwanza ameshalitimiza pia.

Bahati mbaya sana ni kwamba kuna upande unafurahia ingawa hana utambulisho(ID) wao, na walio wenzake wanaumia kimtindo.

Siasa bila hujuma ni siasa zilizokosa changamoto. Ingawa mambo haya yanadumaza demokrasia, lakini yanatupa fundisho sote, kuanzia wanasiasa hadi wafuasi na wapiga KURA
Muhimu hapa ni kuchukua uamuzi sahihi kwa wakati sahihi
 
Halima kwasasa sio levo ya nyumbu wa Ufipa.atabaki kama alivyo na akuna wakumpangia.
Kaeni mtulie,mambo yamepangwa yakapangika.
Chadema wangekuwa na intelijensia makini ya kunasa mambo,basi maamuzi ya kuwafukuza wangefanya mapema sana kabla ya kuapishwa.
Lakini kwa sasa mmeshachelewa mbali sana.
Msitoke mishipa ya shingo kwa watu wenye kuangalia maslahi yao binafsi na familia zao.
 
mie nahisi ma ccm yatakuwa yamemloga kamanda mdee sio bure, ktk wanawake huyu ndiye alikuwa kamanda kwelikweli (kivitendo)...anafuatiwa kwa mbali na mama wa morogoro jina nani sijui alikuwa mbunge wa mlimba
 
Chadema haijawahi kuwa na nafasi kwa wasaliti wapuuzi , ccm inazo nafasi nyingi za uongozi , waache waende wakale bata , nafasi zao chadema zimekwishajazwa .
 
Kuna wakati unatakiwa kuchukua maamuzi ya kuifurahisha jamii hata kama yanakuumiza wewe na familia yako.
Na wakati mwingine unatakiwa kufanya mambo kwa ajili ya familia yako bila kujali jamii itakuweka kundi gani.
Yote haya hayatahusu mambo uliyowekea nadhiri au kiapo.

Nadhani H. Mdee ameamua kufanya hilo la pili ingawa hilo la kwanza ameshalitimiza pia.

Bahati mbaya sana ni kwamba kuna upande unafurahia ingawa hana utambulisho(ID) wao, na walio wenzake wanaumia kimtindo.

Siasa bila hujuma ni siasa zilizokosa changamoto. Ingawa mambo haya yanadumaza demokrasia, lakini yanatupa fundisho sote, kuanzia wanasiasa hadi wafuasi na wapiga KURA
Muhimu hapa ni kuchukua uamuzi sahihi kwa wakati sahihi

Mkuu pamoja na kuwa unasomeka hata hivyo bado kama:

1. Kauli za Prof. Kabudi kabla na hizi za baada ya kuteuliwa kuwa waziri zinatoka kwa mtu yule yule,
2. Kauli za Pole pole wa tume ya Warioba na za Pole pole huyu wa leo zinatoka kwa mtu yule yule,
3. Kauli za Dr. Bashiru Ally wa UDSM na kauli za huyu katibu mkuu wa chama mboga mboga leo ni kauli za mtu yule yule,
4. Nk, nk.

Hiyo wala si siasa tena bali hiyo ni njaa iliyopitiliza!

Ifahamike kuwa CDM unayoiona ambayo inapiganiwa na wengi ikiwamo hata kwa kujitolea tu, si salama kwa wanasiasa opportunists, labda huko mboga mboga!
 
wee mdanganye tuu, hukumu ya snitcher ni kupigwa risasi ya kichwaa tuu au kunyongwa hadharan na hili halina mjadala na walla si vinginevyo, na wanao mtetea vile vile rissasi za kichwa bila hurumaa…….ova!
Sawa mwisho wa yote utamkuta mbowe bora tu hili wapunguze mihemko ya mitandao busara inahitajika zaidi achana na danadana za uchaguzi lakini hii mitandao imechangia zaidi kukiumiza chadema
 
ndio maana wafuasi wa chadema tuliambiwa mtaumia nyinyi mashabiki maandazi wakati viongozi wao wanakula maisha,
hii inatufundisha kuwa tusithubutu kuwa mashabiki wa siasa hadi tukajengeana chuki au tukatoana ngeu wakati wanao faidi wao
 
Back
Top Bottom