Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

Kicheko kimerudi tena kwa wajasiriamali kawe
 
Mdee alikuwepo toka bunge la 9 akiwa viti maalum so hta akianguka atarudi bungeni tu by default sasa send off hiyo inatoka wapi?
Sasa Gwajima akianguka unadhani atateuliwa viti 10? Au ndio anaishi kwa aibu ya kuangushwa na binti mdogo.
Kwendraa kama kura ivi we mabinti wadogo unawajua kwel unaniletea pigo za kuwaita ajuza mabinti unafeli sana kwanza usibishane na mimi jifunze kwanza kutofautisha umri then urudi
Mbona kama Gwajima anawatetemesha sana kubalini tu kawe halima hatumtaki tena
 
Kwa kweli fedha za mfuko wa Jimbo hakuna mbunge anaeweza kutolea maelezo ya kueleweka..Bora hata wa Upinzani Kuna kiasi kinaenda kwa wananchi Ila jwa wabunge wa CCM wananchi hawaoni hata mia.

Wakijitahidi Sana wanachangia mifuko hamsini ya simenti biashara imeisha .

Hongera Halima Mdee kwa kujaribu kuonyesha kuwa fedha huwa zinawafikia wananchi wako.
 
Wewe kuku jike! account za kata kwani zimefichwa kama vote 20? Si zipo wazi mbona unahukumu bila kuthibitisha. Nakutuma kama unatafuta fisadi mfuatilie yule anayekwiba na kuficha mahesamu ikulu vote 20. Jizi unalo jumba jeupe haya sukamataaaa!!
 
Halima amezoea kulia lia ili wananchi wamuone huruma but siku hizi imekula kwake hakuna cha huruma ya wananchi wala nin tuonyeshe ulifanya nini kwanza bila uongo
 
Yaani umeandika kama bosi wako anavyoongea pumba mara ooh anataka suguliwe na Sugu!

Kwa sasa kipimo cha mwanaCCM halisi ni kutokuwa na akili!

HALIMA MDEE ATAENDELEA KUWA MWANASIASA hata iweje!
 
Mimi ni mwanakawe namtaka, na ninamkubali halima!
Simpendi tapeli Gwajima wala mwenyekiti wenu aliye mpitisha Gwajima kugombea kwa sababu ni kabila lake tu!
mhh unakaa kawe ya wapi ndugu mbona kama hoja za kawe huzijui!!!!! halima katutapeli sana Gwajima tumemchagua
 
Yaani umeandika kama bosi wako anavyoongea pumba mara ooh anataka suguliwe na Sugu!

Kwa sasa kipimo cha mwanaCCM halisi ni kutokuwa na akili!

HALIMA MDEE ATAENDELEA KUWA MWANASIASA hata iweje!
Sijakataa ila atakuwa ni mwanasiasa wa siasa za kilaghai
 
Kwani halima ndio anajenga?
Mbona mnakosa kabisa akili nyie ...
Haya mchagueni anaefufua walikufa, ili mbunge akifa amfufue!
Mmeishazoea kuishi bila vichwa
Babuuu una kichwa au boga?
Mbunge hajengi lakini ana ushawishi na anatakiwa kulobby kupata maendeleo ya jimbo laki.
Halima kutwa kuchwa ni kuingia selo ati anapambana na serikali!
Hatukuchagua mbunge aende kutuhadithi selo ulivyo!
Halima kichwa boga ka wewe ulivyo.
Halima MUST GO!
 
Mkuu
Danpol na Bujibuji hawa waleta Mada wote ni watu wa Gwajima km hawatoki Kanisani kwake basi ni yeye anawalipa, wameweka mada nyingi za uongo kumshambulia Halima Mdee wakati sio wapiga kura wa Kawe
angalia tarehe za kujiunga kwao JF ni kuanzia siku ya Kura za maoni ile July 2020
hizi Mada zao sasa zinachafua Jukwaa nasubiria mwezi huu bado siku 27
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…