Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

Gwajima hoyeeee wakati wako sasa kawe

mdee lamba udongo si kweli umetuibia si kweli wewe ni jambazi si kweli wewe ni muongo
 
Nyie wajinga humuwezi kushika nchi hata iweje yan chadema wawe watawala mtaendelea kuota tu ndotoni urais ila kushinda kamwe hamuwezi kushinda aki vile kwanza mmelaaniwa mnajidai watetea haki kumbe ndo waondoa amani kwa taifa
 
Chadema siku zote tunawatambua kuwa hamna jema mko kama mashetani kila kitu kwenu n kibali
 
hivi unalipwa ngapi hasa na huyo Mlokole unayesema ana mke mmoja?
hakuma mwanaKawe atakayempa Gwajima kura labda walokole wenzake wanaomfichia maufuska yake
hapo mnajichosha kushabikia Ukabila, wasio Wasukuma sasa hawatawapa
Uaskofu wasio walokole hawatawapa kwani ni askofu uchwara mmwenye PHD ya kutunga
Ukristo na hasa waislamu mliowadhihaki kuwa mtageuza madrasa
wakatoliki hawatawapa kwani aliwadharau Askofu Pengo
Gwajima angejiachia tu Ubunge akarudi madhabahuni
 
Naona Gwajima kaona namna pekee ya kupita ni kumshambulia Halima badala ya kuelezea sera zake!
Gwajyboy Anajitia dole halafu anajinusa..Yaani kajifungulia mi account kibao ya Jf anaanzisha Uzi nakujijibu mwenyewe.Yaani kila Uzi unaomponda Halima ukiangalia wanao changia kwakukosoa nihaohao misekule wake aliowafufua.
 
Na wewe endelea kumtetea Huyo dume jike lako haujakatazwa
Wewe wasema sasa kama unalijua hlo kelele za nin si ukae kimya
mihemuko ni ya nini sasa unaleta malumbano?
ninyi mmekuha Jukwaa hili kuchafua tu na mnalipwa
utajiungaje september 2020 kuja kumtetea Askofu malaya?
bora tuongozwe na dume jike hata nyinyi wanawake walokole mtashughulikiwa na kibwana chenu Askofu
hadanganyiki mtu hapo
 
Gwajima njia nyeupee , halima hajafanya kitu chochote kawe.
 
Rubbish
 
Tena mchafuaji wa imani za wengine?huyu askofu fake hafai hata kuendesha misa za mashetani watamkimbia tu kutokana na unafiki wake,leo kawaanza waislam kesho kawafata wakatoliki je kesho kunywa akipata hayo madaraka si atabadiliisha kweli hizo madras's?Hatumtaki
 

Hii Ni id nyingine ya siku mbili zilizopita, huu ndio muda wa kupiga hizo hela za huyo boya bila jasho. Zipo id nyingi zilizoanza july kwa ajili ya kumpamba Gwajima. Kuleni hela za bwege hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…