Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

Alafu gwajima ana chuki za kiimani. Ni mtu hatari sana awezi kuongoza watu ambao sio wafuasi wa imani yake. Kuna videos nyingi sana anawakashifu waIslam na waKristu ambao sio wafuasi wake hasa waKatoliki. Mtu asiye heshimu imani za watu wengine kama Gwajima hafai kuwa kiongozi. Alafu pia ni mzinzi tena asiye na aibu anajirekodi na kujiweka wazi mbele ya jamii. Kama kwa wenzetu kuonekana tu hata unaangalia picha za ngono inatosha mtu kujiudhuru uongozi, iweje huku kwetu mtu anayejirekodi na kujitangaza akifanya ngono achaguliwe kuwa mbunge - mwakilishi wa watu. Hapana hii sio sawa - itakuwa ni kuwadhalilisha watu wa kawe kuwakilishwa na mtu asiyemwadilifu na mwenye kukashifu imani za watu wengine.
Kunatofauti ya kukashifu na kuongea I mean kufundisha angetaka kufanya hivyo angewaita waandishi wa habari ila wapotoshaji wanaochukua vipande vifupivifupi kawe wewe wanaipotosha jamii .kwa kuvichukua kwenye account zake za mafundisho na kuvisambaza kama haviwahusu hasira za nini kwenu.
 
Alafu gwajima ana chuki za kiimani. Ni mtu hatari sana awezi kuongoza watu ambao sio wafuasi wa imani yake. Kuna videos nyingi sana anawakashifu waIslam na waKristu ambao sio wafuasi wake hasa waKatoliki. Mtu asiye heshimu imani za watu wengine kama Gwajima hafai kuwa kiongozi. Alafu pia ni mzinzi tena asiye na aibu anajirekodi na kujiweka wazi mbele ya jamii. Kama kwa wenzetu kuonekana tu hata unaangalia picha za ngono inatosha mtu kujiudhuru uongozi, iweje huku kwetu mtu anayejirekodi na kujitangaza akifanya ngono achaguliwe kuwa mbunge - mwakilishi wa watu. Hapana hii sio sawa - itakuwa ni kuwadhalilisha watu wa kawe kuwakilishwa na mtu asiyemwadilifu na mwenye kukashifu imani za watu wengine.
Gwajima juu.kiongozi ambaye akitetea haki za wanyonge haangalii chama,mabavu wala umaarufu wa mtu
 
Kunatofauti ya kukashifu na kuongea I mean kufundisha angetaka kufanya hivyo angewaita waandishi wa habari ila wapotoshaji wanaochukua vipande vifupivifupi kawe wewe wanaipotosha jamii .kwa kuvichukua kwenye account zake za mafundisho na kuvisambaza kama haviwahusu hasira za nini kwenu.
Gwajima safiiiiiiiiiii
 
Katika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.

Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.

Wananchi hao wa Jimbo la Kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma hajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muwakilishi kwetu wa Maendeleo

Pia wananchi wa Kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
pUMBAV.
 
Katika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.

Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.

Wananchi hao wa Jimbo la Kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma hajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muwakilishi kwetu wa Maendeleo

Pia wananchi wa Kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
Huku kwenye kata yetu tunamsubiri alete hizo pua zake tumuonyeshe kama wana Kawe tumemchoka na hatumuhotaji kwenye jimbo letu.
 
Gwajima juu.kiongozi ambaye akitetea haki za wanyonge haangalii chama,mabavu wala umaarufu wa mtu
AKILI ZA MISUKULE HIZI. NI LINI GWAJIMA ALIWAHI KUTETEA HAKI YA WANYONGE? WANYONGE GANI? HEBU THIBITISHA HAPA WE MBUGILA MBUGILA!
 
Huku kwenye kata yetu tunamsubiri alete hizo pua zake tumuonyeshe kama wana Kawe tumemchoka na hatumuhotaji kwenye jimbo letu.
PUMBAV. MBONA UNALETA MAMBO YA KISHAMBA HAPA. MBUNGE HUONDOLEWA KWA KURA SIO MNALEWEHSWA GONGO KUFANYIA FUJO WAGOMBEA. pUMBAV KABISA
 
Katika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.

Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.

Wananchi hao wa Jimbo la Kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma hajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muwakilishi kwetu wa Maendeleo

Pia wananchi wa Kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
Halima ameishiwa sera sasa hivi anatanga tanga kama chokoraa asiye na makazi maalum.
 
Katika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.

Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.

Wananchi hao wa Jimbo la Kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma hajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muwakilishi kwetu wa Maendeleo

Pia wananchi wa Kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
Kwa bahati nzuri au mbaya kwako ni kwamba, Kawe nzima uko peke yako unayeponda na kuhangaika na Mdee lakini ujuwe wanakawe wote tuko nyuma yake! Endelea wewe kuhangaika na Gwajima , Lodilofa wa mali na akili! Mtu aliye wahi kusema anamiliki helikopta, mara anataka kununua treni ya umeme, eti leo na yeye anakimbilia bungeni kwenda kusugua viti vya bunge kufukuzia posho ya 200,000/=??? Shame on you! Huu kama sio utapeli ni nini??
 
Katika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.

Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.

Wananchi hao wa Jimbo la Kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma hajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muwakilishi kwetu wa Maendeleo

Pia wananchi wa Kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
Unajua ukifikisha umri wa kuolewa na ujaolewa lazima akili icheze kidogo kwa halima dishi limeyumba ni mwendo wa chenga chenga tu.
 
Tujihadhari na mtu mchafu, mwenye matusi, kawatukana viongozi wote wakubwa wa dini kama Mwadhama Kardinali Pengo, Mufti na wengine. Kuna picha chafu sana zimesambaa akiwa gesti na malaya. Kila mtu aliona jinsi Gwajima alivyosambaza ujumbe kwa lugha ya kisukuma akiwataka wasukuma wote wamsapoti magu, huu ni ukabila mkubwa na hatari kabisa kwa mshikamano wa nchi yetu. Yapo mengi mno pamoja na "askofu" huyu kuhusianishwa na waabudu shetani. Ni mtu hatari kwa kifupi wana Kawe kaeni mbali kabisa na mtu huyu.
Ndiyo Fazili umesema kweli. Maneno na matendo yote ya gwajima yanaonyesha wazi atakuwa anaabudu mashetani. Hakuna mtu yeyote anayemwabudu Mungu anayekashifu na kudhalilisha imani za watu wengine tena mbele ya kile anachokiita madhabahu ya kanisa lake. Sasa kama kafanya hivyo madhabahuni kwake, mbele ya waumini wake, akipewa huo ubunge itakuwaje? si ndio matusi, kiburi na jeuri vitaongezeka? Gwajima hafai kuwa kiongozi wa watu, tumukatae kwa nguvu zote ili akaendelee kutukana huko kwenye vikanisa vyake vya uongo uongo.
 
Back
Top Bottom