Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

Uchaguzi 2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

Miaka 10 wewe uko ubunge na haujakamilisha kitu hata kimoja kila jambo unasema linaendelea so utaendelea mpaka Yesu arudi na atakukuta haujakamilisha lakin mwaka huu pumzika tu Gwajima akusaidie kutimiza yale ambayo haujakamilisha
 
Katika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.

Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.

Wananchi hao wa Jimbo la kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma ajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muakilishi kwetu wa Maendeleo

Pia wananchi wa kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
Halima ni tapeli na muongo hatufai
 
Pimbi wewe umeanza kupiga kura mwaka huu nini unajua wakubwa zako Halima alivyotuchijia baharini baada ya kufika mjengoni
Tujihadhari na mtu mchafu, mwenye matusi, kawatukana viongozi wote wakubwa wa dini kama Mwadhama Kardinali Pengo, Mufti na wengine. Kuna picha chafu sana zimesambaa akiwa gesti na malaya. Kila mtu aliona jinsi Gwajima alivyosambaza ujumbe kwa lugha ya kisukuma akiwataka wasukuma wote wamsapoti magu, huu ni ukabila mkubwa na hatari kabisa kwa mshikamano wa nchi yetu. Yapo mengi mno pamoja na "askofu" huyu kuhusianishwa na waabudu shetani. Ni mtu hatari kwa kifupi wana Kawe kaeni mbali kabisa na mtu huyu.
 
Katika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.

Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.

Wananchi hao wa Jimbo la kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma ajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muakilishi kwetu wa Maendeleo

Pia wananchi wa kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
Gwajima oyeeeeeee kawe mpya yenye maendeleo ndio tunayo itaka sisi
 
Katika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.

Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.

Wananchi hao wa Jimbo la kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma ajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muakilishi kwetu wa Maendeleo

Pia wananchi wa kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
Twenzetu na Gwajima, kawe mpya inakuja
 
Tulipoona n mwanamke tuliamua kumuamin na kumpa kura zetu kwa mapenzi lakin amevunja imani yetu baada ya kukaa miaka 10 bila hata kutetea jimbo lake Halima hastahili kabsa kupewa kura hata moja aende tu akapumzike
 
Katika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.

Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.

Wananchi hao wa Jimbo la kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma ajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muakilishi kwetu wa Maendeleo

Pia wananchi wa kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
Halima mdee unafaa kuuza vitumbua vya miamia
 
Wanakawe tujiulize kama alikaa miaka 10 na hajatimiza hii miaka 5 atafanya nin ilikutimiza au atakuja na mbinu gan mpya za kutimiza yale ambayo hakutimiza kwa miaka 10 kama sio utapeli
 
Katika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.

Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.

Wananchi hao wa Jimbo la Kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma hajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muwakilishi kwetu wa Maendeleo

Pia wananchi wa Kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.

Hahahaha Juma Juma a.k.a Gwajima
Kaka acha kupambana na mwanamke kwa kiasi hicho ni aibu Sana duh

Kila siku lazima uje na uzi wa Mdee aaaaah Kaka too much Sasa,
 
Katika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.

Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.

Wananchi hao wa Jimbo la Kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma hajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muwakilishi kwetu wa Maendeleo

Pia wananchi wa Kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
yani huyu Halima anajiaibisha tuu kwa sbabu akuna alichokifanya kwa wana kawe sasa anaenda kwa sura ipi na wana kawe si wajingi kiasi kwamba wampokee vizuri lazma yamkute yakumkuta na asipo jiangalia ataumizwa maana ana kera watu kwa hoja zake za uongooo
 
Huyo porn star hapana
Alafu gwajima ana chuki za kiimani. Ni mtu hatari sana awezi kuongoza watu ambao sio wafuasi wa imani yake. Kuna videos nyingi sana anawakashifu waIslam na waKristu ambao sio wafuasi wake hasa waKatoliki. Mtu asiye heshimu imani za watu wengine kama Gwajima hafai kuwa kiongozi. Alafu pia ni mzinzi tena asiye na aibu anajirekodi na kujiweka wazi mbele ya jamii. Kama kwa wenzetu kuonekana tu hata unaangalia picha za ngono inatosha mtu kujiudhuru uongozi, iweje huku kwetu mtu anayejirekodi na kujitangaza akifanya ngono achaguliwe kuwa mbunge - mwakilishi wa watu. Hapana hii sio sawa - itakuwa ni kuwadhalilisha watu wa kawe kuwakilishwa na mtu asiyemwadilifu na mwenye kukashifu imani za watu wengine.
 
Katika wakati huu wa heka heka za kampeni katika majimbo mbali mbali NCHINI Tanzania bara na Zanzibar kumekuwa kunaibuka kauli na Sera mbali mbali zinazoonyesha nini unataka kuwafanyia wananchi wa Jimbo lako au kata yako kwa kutegemea ngazi ya uongozi unayogombea.

Hali hiyo imekuwa tofauti kwa HALIMA MDEE alipokuwa akijitokeza katika kampeni kwenye kata mbalimbali ambapo imepelekea nyakati tofauti jeshi la polisi kumsaidi ili asipate kipigo au ZOMEAZOMEA ya wananchi wenye hasira Kali JUU take JUU ya kushindwa kutekeleza Yale aliyowahaidi wakati wa uchaguzi wa 2015 kushindwa kuyatekeleza kwa asilimia 100.

Wananchi hao wa Jimbo la Kawe kwa nyakati tofauti wamedai anakujaje na Sera mpya wakati zile za nyuma hajazitekeleza si anatuona sisi watoto wadogo sana kila wakati wa kampeni anakuja kutudanganya kwa maneno ya kijinga. Mwaka huu HATUTAMCHAGUA maana si muwakilishi kwetu wa Maendeleo

Pia wananchi wa Kawe wanashindwa kumuelewa Halima Mdee kwa siasa anazozifanya za uvunjifu wa AMANI maana anatumia lugha za kukashifu watu na viongozi wenzie hii inaonyesha kupoteza kwa mgombea ndio maana Ananadi matusi badala ya Sera.
Kweli kabisa halima ameshindwa kutekeleza aliyotuahidi
Na sasa kura zetu hatumpi tena
 
Alafu gwajima ana chuki za kiimani. Ni mtu hatari sana awezi kuongoza watu ambao sio wafuasi wa imani yake. Kuna videos nyingi sana anawakashifu waIslam na waKristu ambao sio wafuasi wake hasa waKatoliki. Mtu asiye heshimu imani za watu wengine kama Gwajima hafai kuwa kiongozi. Alafu pia ni mzinzi tena asiye na aibu anajirekodi na kujiweka wazi mbele ya jamii. Kama kwa wenzetu kuonekana tu hata unaangalia picha za ngono inatosha mtu kujiudhuru uongozi, iweje huku kwetu mtu anayejirekodi na kujitangaza akifanya ngono achaguliwe kuwa mbunge - mwakilishi wa watu. Hapana hii sio sawa - itakuwa ni kuwadhalilisha watu wa kawe kuwakilishwa na mtu asiyemwadilifu na mwenye kukashifu imani za watu wengine.
Alijirekodi na wewe acha ushabiki wa maandazi wewe
 
Hawa wanaosema wanamtaka Halima huenda hawaishi hata Kawe na hawajui kbs changamoto tunazipitia yani kwakweli imetosha!!

Sasa tunaenda na Gwajima[emoji818][emoji106]

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom