Halima na wenzake lazima watoboe. Msijidanganye kama watoto. Ukweli utajulikana nani alipeleka barua NEC

Halima na wenzake lazima watoboe. Msijidanganye kama watoto. Ukweli utajulikana nani alipeleka barua NEC

Uanachama wa chama cha siasa ingawasio unajiunga kwa uhuru na kuondoka kwa uhuru, ila sio kama mapenzi mkipendana mnaoana, mkichokana mnaachana.

Ukimchoka mpenzi unamtimua utakavyo na ukimchoka mke unamtaliki as you wish, lakini mwanachama wa chama cha siasa, huwezi kumtimua tuu unapojisikia au bila kosa lolote, na kukitokea makosa, katiba za vyama zimeweka taratibu za kufuatwa hata katiba ya Chadema imeweka, kwanini hawakufuata katiba yao?.
P
Mm siyo mwana sheria. Kwa manufaa ya watu wengi hapa jamvini naomba wewe utuambie chadema hawakufuata sheria wapi? Na je mpaka leo wapo bungeni mpaka leo kwa makosa ya chadema?
Vinginevyo tutakuwa tuna tweza sana elimu zetu kwa kujadili mambo ya hovyo kama haya
 
..Kikao cha kamati kuu ya Cdm hakikuketi baada ya uchaguzi mkuu kuteua wanachama 19 kwa ajili ya viti maalum.
Uteuzi wa majina ya viti maalum hufanywa 30 days kabla ya uchaguzi na kuwasishwa NEC.
Kwa msingi huo nakubaliana na wewe kuna UHUNI umefanyika ktk uteuzi wa kina Halima.

..NEC for 2 yrs wameshindwa kuthibitisha kwa kuonyesha barua ya forgery iliyowateua my conclusion ni kuwa hakuna kitu kama hicho.
Sheria ya uthibitisho dunia nzima ni he who alleges must prove. Hivyo mwenye jukumu la kuuthibisha forgery ni aliye fojiwa. NEC baada ya kupokea barua ya uteuzi kutoka Chadema hawawezi kujua kama ni forgery mpaka Chadema wenyewe waseme wamehojiwa. Na kwanye criminal liabilities the burden of proof lies with the prosecution.
Hivyo kwa mtizamo wangu UHUNI uliofanyika ni kina Halima kuwezeshwa kwenda moja kwa moja bungeni na kuapa.
Kama kweli kuna forgery yoyote, then ni barua toka Chadema kwenda NEC, lakini kutoka NEC kwenda Bungeni ni authentic bonafide genuine certificates, cheti cha uteuzi.
Barua toka Cdm kwenda bungeni haipo.
Hakuna barua yoyote kutoka chama chocolate kwenda Bungeni kuwateua wabunge wake. Uteuzi unafanywa na NEC na sio vyama.

Na hili la huu ubalitili wa uteuzi, mimi ndio nauvalia njuga.


P
 
Uteuzi wa majina ya viti maalum hufanywa 30 days kabla ya uchaguzi na kuwasishwa NEC.

Sheria ya uthibitisho dunia nzima ni he who alleges must prove. Hivyo mwenye jukumu la kuuthibisha forgery ni aliye fojiwa. NEC baada ya kupokea barua ya uteuzi kutoka Chadema hawawezi kujua kama ni forgery mpaka Chadema wenyewe waseme wamehojiwa. Na kwanye criminal liabilities the burden of proof lies with the prosecution.

Kama kweli kuna forgery yoyote, then ni barua toka Chadema kwenda NEC, lakini kutoka NEC kwenda Bungeni ni authentic bonafide genuine certificates, cheti cha uteuzi.

Hakuna barua yoyote kutoka chama chocolate kwenda Bungeni kuwateua wabunge wake. Uteuzi unafanywa na NEC na sio vyama.

Na hili la huu ubalitili wa uteuzi, mimi ndio nauvalia njuga.


P
Ufafanuzi mzuri sana.
 
Kitu muhimu kinacho matter kwenye any official confirmations ni authentication of the office bearers, as long as barua ni official letter yenye letter head ya Chadema, sio fake letter, sio forgery bali ni authentic bonafide genuine letter from Chadema to NEC, hata kama haijasainiwa na KM, ni barua authentic bonafide genuine na halali.
Pole sana ndugu,
Sasa ndio wazidi kujifunua na kutia HURUMA.
Kwa jinsi akina Mdee wanavyohangaika na vijikesi ndio inazidi kutoa picha kuwa hakuna kati yenu mwenye barua /documents zozote zilizo HALALI. Isipokuwa ulichofanikiwa ni kudhirisha ushabiki/chuki uliyonayo dhidi ya CHADEMA. Mwisho we, akina Mdee ndio watakao athirika zaidi. Mwisho huo u karibu sana kwani yule Dikteta wenu hayupo tena.
 
Mm siyo mwana sheria. Kwa manufaa ya watu wengi hapa jamvini naomba wewe utuambie chadema hawakufuata sheria wapi? Na je mpaka leo wapo bungeni mpaka leo kwa makosa ya chadema?
Vinginevyo tutakuwa tuna tweza sana elimu zetu kwa kujadili mambo ya hovyo kama haya
Mkuu Kinoamiguu , sio kila kitu ni mpaka kuwa Mwanasheria.
nimelisema sana hapa A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?
P
 
Uteuzi wa majina ya viti maalum hufanywa 30 days kabla ya uchaguzi na kuwasishwa NEC.

Sheria ya uthibitisho dunia nzima ni he who alleges must prove. Hivyo mwenye jukumu la kuuthibisha forgery ni aliye fojiwa. NEC baada ya kupokea barua ya uteuzi kutoka Chadema hawawezi kujua kama ni forgery mpaka Chadema wenyewe waseme wamehojiwa. Na kwanye criminal liabilities the burden of proof lies with the prosecution.

Kama kweli kuna forgery yoyote, then ni barua toka Chadema kwenda NEC, lakini kutoka NEC kwenda Bungeni ni authentic bonafide genuine certificates, cheti cha uteuzi.

Hakuna barua yoyote kutoka chama chocolate kwenda Bungeni kuwateua wabunge wake. Uteuzi unafanywa na NEC na sio vyama.

Na hili la huu ubalitili wa uteuzi, mimi ndio nauvalia njuga.


P

..Unapotosha.

..Na unapotosha kwa kuchomekea hiyo habari ya majina kutumwa siku 30 kabla ya uchaguzi.

..Viti Maalum huthibitishwa na vyama vyao BAADA ya uchaguzi kutokana na hizo orodha zinazotumwa 30 days before general elections.

..KAMATI KUU ya Cdm haikuketi na kuthibitisha wanachama 19 kuwa wabunge wa viti maalum.

..Mchezo unatakiwa uishie hapo. Kwamba kina Halima hawakuteuliwa na chama chao.

..Yeyote anayeendelea kuwatambua hawa na kudai kwamba ni wabunge halali anadharau uwezo wetu wa kufikiri.
 
Mkuu Pascal kinachofanyika hapa ni kachelewesha tu utaratibu na kututukanisha sie watu weusi. Haya yanafanyika kwasababu ccm wanahitaji wabunge hawa kina mdee..chadema ni chama kina utaratibu wake kimeufuata mwanzo hadi mwisho siku ya kwenda kuhojiwa wao hawajaenda. Wamehojiwa na baraza hawakujibu kitu
Yule speaker baada ya uamuzi wa chadema alitamka kwamba anasubir uamuzi wa mahakama hata kabla watu hawajaenda mahakamani mahakama yameamua bado sarakasi
Mm siajsoma sheria lakini mtu kushindwa au kutojibu kitu anapewa nafasi ya kujitetea na hatua zikachukuliwa dhidi yake ndiyo kangaroo huo?
 
..Unapotosha.

..Na unapotosha kwa kuchomekea hiyo habari ya majina kutumwa siku 30 kabla ya uchaguzi.

..Viti Maalum huthibitishwa na vyama vyao BAADA ya uchaguzi kutokana na hizo orodha zinazotumwa 30 days before.

..KAMATI KUU ya Cdm haikuketi na kuthibitisha wanachama 19 kuwa wabunge wa viti maalum.

..Mchezo unatakiwa uishie hapo. Kwamba kina Halima hawakuteuliwa na chama chao.

..Yeyote anayeendelea kuwatambua hawa na kudai kwamba ni wabunge halali anadharau uwezo wetu wa kufikiri.
Kabisa kabisa mkuu.
Chadema kama taasisi haiwatambui bunge linawatambua kwann?
Lisu alipigwa risasi kama mwizi mchana kweupe. Kila mtu alijua alipo kwa kuwa mwenzenu yu mgonjwa alifukuzwa ubunge hoja hatukujua alipo! Tukashangilia hapa. Kweli bwana ndugai alikuwa hajui lisu alipo?
Hasn't hanje alikuwa jela anatolewa usiku ili akaapishwe ni chadema ndo walimtoa usiku? Chadema hawa wana nguvu kiasi gani tena nyakati zile za giza?
Wabunge hawa waliapisha nje ya ukumbi wa bunge ndiyo utaratibu tuliojowekea?
Kina ngwali wa CUF huyu ni wa usalama alifukuzwa ubunge hatukuambiwa akae bungeni mpaka mahakama iamue.
Mnatengeneza historia mbaya sana kwa vizazi vyetu ili kukidhi matakwa ya kisiasa ila ni upuuzi kabisa
 
..kamati kuu ya Cdm haikuwateua.

..Katibu mkuu Mnyika hakuandika barua kwa Nec.

..Mpaka hapo inabidi " uchanganye na zako" kuona Halima na wenzake waliapishwa vipi kuwa wabunge.
Unajuaje labda mwenye chama alifanya maamuzi kwa kutumia kura ya veto..chama kina wenyewe, msijifanye mnakujakuja tu jombaa..Sasa wewe unataka kunifananisha na mwenye maji..maajabu na kweli
 
Unajuaje labda mwenye chama alifanya maamuzi kwa kutumia kura ya veto..chama kina wenyewe, msijifanye mnakujakuja tu jombaa
Unachotaka kufanya wewe ni ku personalised tu kwamba mbowe alifanya hivi kwa faida gani hasa? Mwenye chadema ni nani haswa. Tujadili hoja tusichafue watu
 
Unajuaje labda mwenye chama alifanya maamuzi kwa kutumia kura ya veto..chama kina wenyewe, msijifanye mnakujakuja tu jombaa

..KAMATI KUU YA Cdm imewafukuza Halima na wenzake baada ya kujipeleka bungeni.

..Kwa msingi huo mwenye chama hakuwa na veto ktk suala la kina Halima.
 
Kabisa kabisa mkuu.
Chadema kama taasisi haiwatambui bunge linawatambua kwann?
Lisu alipigwa risasi kama mwizi mchana kweupe. Kila mtu alijua alipo kwa kuwa mwenzenu yu mgonjwa alifukuzwa ubunge hoja hatukujua alipo! Tukashangilia hapa. Kweli bwana ndugai alikuwa hajui lisu alipo?
Hasn't hanje alikuwa jela anatolewa usiku ili akaapishwe ni chadema ndo walimtoa usiku? Chadema hawa wana nguvu kiasi gani tena nyakati zile za giza?
Wabunge hawa waliapisha nje ya ukumbi wa bunge ndiyo utaratibu tuliojowekea?
Kina ngwali wa CUF huyu ni wa usalama alifukuzwa ubunge hatukuambiwa akae bungeni mpaka mahakama iamue.
Mnatengeneza historia mbaya sana kwa vizazi vyetu ili kukidhi matakwa ya kisiasa ila ni upuuzi kabisa
Ni upuuzi kwani mama haupigi mwingi?
 
..KAMATI KUU YA Cdm imewafukuza Halima na wenzake baada ya kujipeleka bungeni.

..Kwa msingi huo mwenye chama hakuwa na veto ktk suala la kina Halima.
Nasema mwanzoni alikuwa na veto na kuwaruhusu waende bungeni baadae ndio mkaanza mizengwe..it was too late
 
Mkuu JokaKuu, kuna kitu kimoja hapa naweza kukubaliana na wewe, kwenye democracy changa, matokeo ya uchaguzi, does not depends on votes casted but the votes counted, hivyo determinants ya ushindi is not the vote cast but he who counted the votes.

Wewe Joka ukishindana na Kuu, kura zikahesabiwa ukapata kura 90, Kuu akapata kura 10, msimamizi wa uchaguzi akatangaza matokeo Joka amepata kura 10, Kuu amepata kura 90, mshindi ni Kuu, then Kuu ndiye mshindi.

Hivyo kama NEC imetoa tuu zile certificate za uteuzi wa hao wabunge 19 wa Chadema, bila barua yoyote kuwateua toka Chadema, then hii sindio the biggest for forgery ya mwaka kwa serikali yetu!. Kwanini mpaka sasa Chadema hawajachukua hatua?.
P
Hatua ipi, uliopenda ichukukiwe kwa aina ya serikali iliyokuwa ikiongozwa Jpm ?!.
 
..Unapotosha.

..Na unapotosha kwa kuchomekea hiyo habari ya majina kutumwa siku 30 kabla ya uchaguzi.

..Viti Maalum huthibitishwa na vyama vyao BAADA ya uchaguzi kutokana na hizo orodha zinazotumwa 30 days before.

..KAMATI KUU ya Cdm haikuketi na kuthibitisha wanachama 19 kuwa wabunge wa viti maalum.

..Mchezo unatakiwa uishie hapo. Kwamba kina Halima hawakuteuliwa na chama chao.

..Yeyote anayeendelea kuwatambua hawa na kudai kwamba ni wabunge halali anadharau uwezo wetu wa kufikiri.
Mkuu JokaKuu, with due respect, mchakato wa ubunge una stages 3
1. Mchakato wa uteuzi ndani ya chama ni ndani ya chama, nnateunaje, ni CC au ni nani ni mambo yenu ya ndani na NEC or Bunge has nothing to do with this.
2. Ngazi ya NEC, wametoa nafasi 19 kwa viti maalum Chadema, majina yakija ni yamekuja, sio issue ya NEC wamepatikanaje or to authenticate barua ya uteuzi kutoka Chadema kama ni bonafide genuine or its forgery and fake. Baada ya kupokea majina, NEC ikawateua na kuwapa authentic bonafide genuine certificates kuwapeleka bungeni.
3. Bunge, lenyewe ni an innocent victim amepewa wabunge na NEC, wamepatikanaje is none of Bunge business, limewaapisha sasa ni Wabunge halali.

Kama wamepatikana kwa forgery Chadema hawajasema hilo ni tatizo la ndani la Chadema, not NEC not Bunge, wale ni Wabunge wao halali.

Kwa vile ili kuwa Mbunge ni lazima uwe umedhaminiwa na chama cha siasa, ukifutwa uanachama, unapoteza ubunge wako, Chadema ikautisha hizo Kangaroo zake wakawatimua, wakaenda mahakama kuupinga huo Ukangaroo, Bunge limewakingia ubunge wao, hivyo mpaka hapa ninapoandika wabunge 19 wa Chadema ni Wabunge halali kabisa bonafide genuine mpaka itakapo tamkwa
vinginevyo.
P
 
KAMATI KUU YA Cdm imewafukuza Halima na wenzake baada ya kujipeleka bungeni.
Kamati Kuu Chadema ina mamlaka kuwafuta uanachama wabunge, lakini katika kulifanya hili, taratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, hazikufuatwa.

Kamati Kuu Chadema, sio mamlaka ya nidhamu ya Halima Mdee, ilipata wapi mamlaka kumtimua?.

P
 
Kamati Kuu Chadema ina mamlaka kuwafuta uanachama wabunge, lakini katika kulifanya hili, taratibu kwa mujibu wa katiba ya Chadema, hazikufuatwa.

Kamati Kuu Chadema, sio mamlaka ya nidhamu ya Halima Mdee, ilipata wapi mamlaka kumtimua?.

P
Naona upo mzee wa kura 0 Kawe
 
Mkuu JokaKuu, with due respect, mchakato wa ubunge una stages 3
1. Mchakato wa uteuzi ndani ya chama ni ndani ya chama, nnateunaje, ni CC au ni nani ni mambo yenu ya ndani na NEC or Bunge has nothing to do with this.
2. Ngazi ya NEC, wametoa nafasi 19 kwa viti maalum Chadema, majina yakija ni yamekuja, sio issue ya NEC wamepatikanaje or to authenticate barua ya uteuzi kutoka Chadema kama ni bonafide genuine or its forgery and fake. Baada ya kupokea majina, NEC ikawateua na kuwapa authentic bonafide genuine certificates kuwapeleka bungeni.
3. Bunge, lenyewe ni an innocent victim amepewa wabunge na NEC, wamepatikanaje is none of Bunge business, limewaapisha sasa ni Wabunge halali.

Kama wamepatikana kwa forgery Chadema hawajasema hilo ni tatizo la ndani la Chadema, not NEC not Bunge, wale ni Wabunge wao halali.

Kwa vile ili kuwa Mbunge ni lazima uwe umedhaminiwa na chama cha siasa, ukifutwa uanachama, unapoteza ubunge wako, Chadema ikautisha hizo Kangaroo zake wakawatimua, wakaenda mahakama kuupinga huo Ukangaroo, Bunge limewakingia ubunge wao, hivyo mpaka hapa ninapoandika wabunge 19 wa Chadema ni Wabunge halali kabisa bonafide genuine mpaka itakapo tamkwa
vinginevyo.
P

..Unapotosha Pasco.

..Nieleze ni lini KAMATI KUU ya Cdm ilikaa baada ya Uchaguzi ni kupitisha maamuzi kwamba Halima Mdee na wenzake 18 waende bungeni?

..KAMATI KUU ndiyo inayompa maelekezo Katibu Mkuu ajaze fomu za wateuliwa wa viti maalum, na kamati kuu haikufanya hivyo.

..Unapoteza muda wa wasomaji wa JF. Unapotosha kwa makusudi.

..Hatua zote ulizoeleza hazina maana bila ya KAMATI KUU ya Cdm kuthibitisha na kuagiza wanachama wapi waende bungeni kupitia viti maalum.

NB:

..Ni miaka 2 sasa hatujaona ushahidi toka NEC kwamba wana barua ya aina yoyote inayohusu uteuzi wa kina Halima.

..CONCLUSION yangu ni kwamba huenda kina Halima waliapishwa kwa maagizo tu bila Cdm wala Nec kuhusishwa.
 
..Unapotosha Pasco.

..Nieleze ni lini KAMATI KUU ya Cdm ilikaa baada ya Uchaguzi ni kupitisha maamuzi kwamba Halima Mdee na wenzake 18 waende bungeni?

..KAMATI KUU ndiyo inayompa maelekezo Katibu Mkuu ajaze fomu za wateuliwa wa viti maalum, na kamati kuu haikufanya hivyo.

..Unapoteza muda wa wasomaji wa JF. Unapotosha kwa makusudi.

..Hatua zote ulizoeleza hazina maana bila ya KAMATI KUU ya Cdm kuthibitisha na kuagiza wanachama wapi waende bungeni kupitia viti maalum.

NB:

..Ni miaka 2 sasa hatujaona ushahidi toka NEC kwamba wana barua ya aina yoyote inayohusu uteuzi wa kina Halima.

..CONCLUSION yangu ni kwamba huenda kina Halima waliapishwa kwa maagizo tu bila Cdm wala Nec kuhusishwa.
Mkuu Joka.. ili Mbunge wa viti maalumu aapishwe lazima bunge lipatiwe barua na Nec kuwa ameteuliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.

Sasa je, walijipeleka Bungeni bila hata nyaraka? NEC hawana nyaraka kwenye mafaili yao ?
 
Back
Top Bottom