Hamas: Israel watajuta kuvamia Rafah

Anataka ardhi kua na akili waisrael walikua wanataka sana kumega ardhi utahaira wa Hamas October 7 wameokota dodo chini ya mwembe washachukua Ekta zaidi ya 980 mpaka Sasa .
Kwasababu wanaume wenyeqe ni hamas. Basi hiyo ardhi itarudi tu, haijarishi itachukuwa muda gani
 
Mimi ninachojiuliza kwani hao wapiganaji wa Hamas na viongozi wao hawawezi kujichanganya kwa raia na kuondoka rafah? Mbona kama utakua ni mchezo wa kujaza maji kwenye tenga?? Kama wakijichanganya na raia je IDF inaweza kuwatambua?? Mkuu msaada tafadhali
 
jamaa wanabiti ila tena ndio waoga balaaa 🐒
 
Una nguvu unataka jjumuiya za nini pambafyu pambaneni mtajutaa
 
Una nguvu unataka jjumuiya za nini pambafyu pambaneni mtajutaa
Umesoma shule gani ya Kata hapo Uyole? Yahudi jeusi halijui hata kuandika😀
 
Kuna punguani moja eti yeye anaanzisha mada halafu yeye huyo huyo tena ndio ana-comment mwanzo hadi mwisho. Bure kabisa.
 
Ovyoooo udiniii unakutesaaa pambafuu wewee pigaaa mpaka mjue Israel n nani pambafuu
“However, you must not let any living thing survive among the cities of these people the Lord your God is giving you as an inheritance. You must completely destroy them – the Hethite, Amorite, Canaanite, Perizzite, Hivite, and Jebusite ….” (Deut. 20:16-18)

“Now go and attack the Amalekites and completely destroy everything they have. Do not spare them. Kill men and women, infants and nursing babies, oxen and sheep, camels and donkeys.” (1 Sam 15:3)
 
Andika ujifurahishe, upate amani. Hamas atachapwa kokote atakachojificha.
Wewe mlokole wa JF usiwe punguani mabwana zako wanapigana na watoto na kuvunja majengo, wewe ambao ujifurahishi waambie mabwana zako wakomboe mateka wao leo zaidi ya miezi 7 hawajui walipo.
 
Utakufa na umasikini njoo kwa Yesu nyama...
Kuna aina 5 za wafuasi wa Israeli:

1) Wayahudi wa Kizayuni

2) Wakristo waliopotoshwa ambao wanaamini kwamba watabarikiwa kwa kuwaunga mkono “watu waliochaguliwa na Mungu”.

3) Watu wasiopenda Waislamu

4) Waisrel weusi hawa wengi walokole wanaamini Israel ni kwao’

5) Hawa hawana wanachojua kuhusu Israel wanaamini story za zamani kuwa Wayahudi ndiyo kila kitu.
 
Hapo mwanzo pia hawakusubiri ushauri wako.Wana njia nyingi za kuwapiga chenga IDF na kuendeleza mapambano.Wanatembea juu na chini ya ardhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…