cassavaleaves
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 1,799
- 2,237
Ndio umejitutumuuua kuandika samahani ila umeongea utumbo mtupu
Toka lini magaidi wa kizayuni na shosti zake mkawaonea huruma watu wa Palestine
Pambaneni na hamas acheni kuonea onea watoto enyi magaidi
Unadhani kabla ya vita ya hamas na israhell ya hapo juzi hapo ghaza walikua wanaishijeReport ya UN inasema hivi:
" At least 1.9 million people in Gaza, or 85% of the population, have been displaced according to the UN"
Mkuu Rajab....Hebu fikiria 85% ya population inaishi kwenye Maturabai, chakula cha msaada! Sasa huu ushindi wa Hamas una faida ipi hasa? Kila kitu ni msaada! Maji! Pedi za wanawake!Hata kwenda msalani tu ni shida! Wanaosema Israel isimamishe vita si wajinga! Achana na propaganda za Hamas mkuu! Gaza ni magofu! Hiyo Kibri ya Hamas haiwafikishi popote!
Watu hawaandamani kwa sababu ya hamas kwanza ueleweHii Pro Palestine protests ni za nini hasa? Maana Hamas inashinda vita! All I can see is just a contradiction! Mimi nadhani Maandamano hayo ingekuwa ni kupongeza Ushindi wa Palestina! Gaza inabakia magofu, Hamas kapata alichokitafuta! Hata ICT court haitasaidia chochote kile! Urusi ilipelekwa huko na Ukraine hakuna lililofanyika!
Kinachokesha sikitisha, mataifa ya Kiarabu yako 22, na mengine yana uwezo mkubwa wa Kijeshi...yamebakia na matamko tu! Waarabu ni watu wa ajabu sana, huo ndio Ukweli mchungu Bwana Utam!
Watoto wa magaidi ni magaidi pia kwa sheria ipiWatoto wa Magaidi si Mgaidi pia...! October 7 Mlichagua...unasahau mlichukia hata watoto! Kweli Mkuki kwa nguruwe!
Uvamizi ulifanyika mwaka 1948Kavulata......nanukuu...
"Lakini yote kwa yote Israel iliivamia na kuikalia Palestine kwamsaada wa Uingereza na Marekani."
Ni lini Israel ilivamia na kuikalia Palestina kwa msaada wa Marekani......Ni lini Mkuu..? Au na wewe umekaririshwa wimbo, bila kujua umetungwaje....Huo Uvamizi ulifanyika lini Mkuu?
Baada ya kupelekewa faya kuna meli ngapi zimeenda israhell na kutoka😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Huwezi kushindana na malaika mtoa roho Izrael ukatoboa.
Wale magaidi wa Yemen waliokuwa wanalipua meli za Israel, usiku wa kuamkia leo wamepelekewa fire😁😁😁
Ukae kwa kutulia na wenzako wasiende ICJ wala kuandamana na Hamas washikilie hapo hapo😁😁😁
Lengo lilikua israhell na idf waje ghaza na kweli wamekujaKwa hiyo Hamas bado ina nguvu ya kuthubutu kuingia tena Israel na kuteka vibibi vizee na kuchinja watoto kama Oktoba 7! Makamanda kibao wa Magaidi wa Makamasi wameuwawa hadi huko nje ya nchi walikokimbilia mnajitoa ufahamu! Na kiongozi wao Yahya Sinwar kakimbia na kujificha mashimoni, hata Osama na Saddam walikimbia na walijificha wakapatikana tu. Watoto wa Gaza wanatumiwa kama ngao na makamasi lazma watauwawa.
Israhell labda muwaheshimu ninyi wazayuni wa jfKwa hizi kelele za wavaa kobazi zinavyopigwa lazima mtawaheshimu Israel
Thamani ya muisrael mmoja ni sawa wapelestina 10, mpk sasa wapelestina wengi wamekufa na Israel hangalii mtoto sijui mwanamke sijui mwanaume wote ni kichapo tu.
Sasa hivi wewe na wenzako mnafanya ibada ya kuiombea Palestina, wengine wapo ICJ na wengine wanaandamana
Kuteka wayahudi zaidi ya 1000 🤣🤣Hamas waliwezaje kuivamia Israel na kuua wanajeshi na kuwateka wayahudi zaidi ya 1000?
Inajulikana kuwa Israel ni taifa lenye mifumo ya kisasa kabisa ya ulinzi ya kugundua na kupiga maadui lakini ni miezi 4 sasa inashindwa kufikia malengo yake kule Gaza. Israel imeikandamiza Palestine tangu mwaka 1967 na kuikalia kimabavu bila kujali nani anasema nini.
Hii ni kusema kuwa ukiwakandamiza sana kwa muda mrefu watu unaodhani ni dhaifu na wanyonge kwakutumia uwezo, maguvu, mamlaka na hila iko siku watu hao "dhaifu" watakuwa wakakamavu kwako na pengine kukushinda vibaya sana. Watawala tendeni haki kwa raia wenu, wazazi tendeni haki kwa watoto wenu, walimu tendeni haki kwa wanafunzi wenu, wachungaji tendeni haki kwa waumini wenu maana iko siku watu wenu watainuliwa na kubuni mbinu mpya ya kuwaangusha.
Dini iko wapiKuna brainwashing ya hali ya juu mno! Hakuna facts za history......Hata haileweki ni imani ya dini au nini.....Kelele ni occupation....genocide ya Gaza tu......Wanalianzisha wanashindwa kulimaliza....
Dini iko wapi
Labda wewe ndio unataka kuleta udini hakuna aloleta udini
"If faith is lost, there is no security and there is no life for him who does not adhere to religion. He who accepts life without religion, has taken annihilation as his companion for life."
The Islamic Resistance Movement is one of the links in the chain of the struggle against the Zionist invaders. It goes back to 1939, to the emergence of the martyr Izz al-Din al Kissam and his brethren the fighters, members of Moslem Brotherhood. It goes on to reach out and become one with another chain that includes the struggle of the Palestinians and Moslem Brotherhood in the 1948 war and the Jihad operations of the Moslem Brotherhood in 1968 and after."We have also sent down unto thee the book of the Koran with truth, confirming that scripture which was revealed before it; and preserving the same safe from corruption. Judge therefore between them according to that which Allah hath revealed; and follow not their desires, by swerving from the truth which hath come unto thee. Unto every of you have we given a law, and an open path; and if Allah had pleased, he had surely made you one people; but he hath thought it fit to give you different laws, that he might try you in that which he hath given you respectively. Therefore strive to excel each other in good works; unto Allah shall ye all return, and then will he declare unto you that concerning which ye have disagreed." (The Table, verse 48).
"The Day of Judgement will not come about until Moslems fight the Jews (killing the Jews), when the Jew will hide behind stones and trees. The stones and trees will say O Moslems, O Abdulla, there is a Jew behind me, come and kill him. Only the Gharkad tree, (evidently a certain kind of tree) would not do that because it is one of the trees of the Jews." (related by al-Bukhari and Moslem).
Uvamizi ulifanyika mwaka 1948
Watoto wa magaidi ni magaidi pia kwa sheria ipi
Tuseme sawa upo sahihi watoto wamagaidi ni magaidi haya watoto wamagaidi wapoje
Hakuna cha mkuki kwa nguruwe wala kwa mbuzi
Baada ya kupelekewa faya kuna meli ngapi zimeenda israhell na kutoka
Hakuna meli itapita kuelekea ama kutoka israhell mpaka ghaza iwe huru wazayuni wa jf muelewe
Hapa hatuijadili chata ya hamas mzee tunajadili uvamizi waoUnakimbia udini Mkuu....Umesoma Charter ya Hamas lakini.... Hii Brainwashing ndio unaoindesha Hamas.....Rudia tena Hamas Charter
Article Six:
The Islamic Resistance Movement is a distinguished Palestinian movement, whose allegiance is to Allah, and whose way of life is Islam. It strives to raise the banner of Allah over every inch of Palestine, for under the wing of Islam followers of all religions can coexist in security and safety where their lives, possessions and rights are concerned. In the absence of Islam, strife will be rife, oppression spreads, evil prevails and schisms and wars will break out.
How excellent was the Moslem poet, Mohamed Ikbal, when he wrote:
The Universality of the Islamic Resistance Movement:
Article Seven:
As a result of the fact that those Moslems who adhere to the ways of the Islamic Resistance Movement spread all over the world, rally support for it and its stands, strive towards enhancing its struggle, the Movement is a universal one. It is well-equipped for that because of the clarity of its ideology, the nobility of its aim and the loftiness of its objectives.
On this basis, the Movement should be viewed and evaluated, and its role be recognised. He who denies its right, evades supporting it and turns a blind eye to facts, whether intentionally or unintentionally, would awaken to see that events have overtaken him and with no logic to justify his attitude. One should certainly learn from past examples.
The injustice of next-of-kin is harder to bear than the smite of the Indian sword.
The Islamic Resistance Movement is one of the links in the chain of the struggle against the Zionist invaders. It goes back to 1939, to the emergence of the martyr Izz al-Din al Kissam and his brethren the fighters, members of Moslem Brotherhood. It goes on to reach out and become one with another chain that includes the struggle of the Palestinians and Moslem Brotherhood in the 1948 war and the Jihad operations of the Moslem Brotherhood in 1968 and after.
Moreover, if the links have been distant from each other and if obstacles, placed by those who are the lackeys of Zionism in the way of the fighters obstructed the continuation of the struggle, the Islamic Resistance Movement aspires to the realisation of Allah's promise, no matter how long that should take. The Prophet, Allah bless him and grant him salvation, has said:
Wazayuni au israhell waliivamia PalestineBwana Utam: Nani alimvamia nani...?
Sasa wanao andamana dhidi ya mauaji ya watoto wa gaza sio hamas lakini inakuaje unawalinganisha hamas na hao waandamanaji?Ni kwa sheria ya Hamas Mkuu....Waliweka wazi October 7! Mkuki ulipogeuziwa upande kuelekewa kwao, wao wakaona ni Genocide! Unashindwa kabisa kuona logic na thinking ya Hamas...! Wamejitakia Nakba nyingine! Inasikitisha sana!
Naqba pale Palestine ilianza rasmi mwaka 1948 au umesahauMkuu kwa ufupi tu Gaza inakaliwa upya....Ni Nakba nyingine ya kujitakia....Tusubiri Intifada nyingine.....Mapka leo, hii ndio taarifa...
The demonstrations are part of a “global day of action for Palestine” and to call for an end to the bloodshed that has killed 23,843 people and wounded more than 60,317, according to Palestinian health officials.
Ni Nakba Bwana Utam......Kila kukicha idadi inaongezeka...Na Sinwar na wenzake huko Qatar hata hawalioni hili.....Kweli Jihad ni kitu kibaya....!
Wazayuni au israhell waliivamia Palestine