T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Sera hiyo huweza kubadilika kidogo kutokana na ombwe la mabadiliko ya uongozi. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran pamoja na Rais wamebadilika. Wanaokuja wana kazi kubwa kujipanga kwanza internally na kidiplomasia kabla hawajawawaza Wapalestina. Kwanza Rais wa sasa ni wa mpito, nchi iko kwenye tension kuelekea uchaguzi.Iran kuwasaidia Palestine ni sera ya mambo ya nje ya Iran sio mapenzi ya rais anaekuwa madarakani kwa wakati husika.
Wa yule aliye kaushwa kama ndafu ya kitimotoπππ
UWanaukumbi.
Wiki hii nzima Israeli imeteseka L baada ya L; kidiplomasia, kisiasa na kisheria - na sasa: jana askari wao walitekwa kama POWs, na leo Hamas inaonyesha uwezo wao wa kijeshi haujashushwa, kiasi kwamba wameweza kufyatua risasi huko Tel Aviv.
Nentanyahu na wenzake wanasema wananenda Rafah kumaliza vita, Hamas hawapo huko wapo maeneo mengine na leo wamerusha makombora yametua Tel Aviv
====
Al-Qassam launched about 10-12 long-range rockets, from Rafah, travelling 100-110km to hit Tel Aviv, after a hiatus of 4 months. The Iron dome failed to intercept the rockets, more than 8 direct impacts were made, causing material damage and the ignition of fire. 2 settlers were also injured.
Yaweza kuwa military technique ili ajipe kibali kuipiga kama alivyofanya gaza. Yawezekana kuna operationa anataka kuifanya Rafah lakini anashindwa kutokana na masuala ya kibinadamu iqla kwa jambo hilo ataonekana ni counter attack atapiga mpak mpaka ngamia ili akamilishe mission zake kwa kisingizio zha kupigwa Tel AvivWanaukumbi.
Wiki hii nzima Israeli imeteseka L baada ya L; kidiplomasia, kisiasa na kisheria - na sasa: jana askari wao walitekwa kama POWs, na leo Hamas inaonyesha uwezo wao wa kijeshi haujashushwa, kiasi kwamba wameweza kufyatua risasi huko Tel Aviv.
Nentanyahu na wenzake wanasema wananenda Rafah kumaliza vita, Hamas hawapo huko wapo maeneo mengine na leo wamerusha makombora yametua Tel Aviv
====
Al-Qassam launched about 10-12 long-range rockets, from Rafah, travelling 100-110km to hit Tel Aviv, after a hiatus of 4 months. The Iron dome failed to intercept the rockets, more than 8 direct impacts were made, causing material damage and the ignition of fire. 2 settlers were also injured.
Wewe Muisrael mweusi wa Tukuyu mlokole angalia wenzako nyie Wakisrito hamtakiwi.Wa yule aliye kaushwa kama ndafu ya kitimotoπππ
Hizo fikra zako unazoengea israel chini ya Marekani na Ulaya akitaka kufanya jambo lolote hamna wa kumzua wala kuomba kibali kama alivyofanya Rafah, waliambiwa Rafah siyo pikinikπU
Yaweza kuwa military technique ili ajipe kibali kuipiga kama alivyofanya gaza. Yawezekana kuna operationa anataka kuifanya Rafah lakini anashindwa kutokana na masuala ya kibinadamu iqla kwa jambo hilo ataonekana ni counter attack atapiga mpak mpaka ngamia ili akamilishe mission zake kwa kisingizio zha kupigwa Tel Aviv
Mkuu nawaonea huru wapalestina lakini njia walio amua kuitumia kudai haki zao haya ndio matokeo yakeUnaropoka sana kijana.
Israel alivunja muungano upi wa kiarabu katika uwanja wa vita!?
Unaweza kutaja vita na mwaka wa hiyo vita!?
Hamas hawajajichanganya na raia wapo katika vichochoro na mahandaki.
Wawafuate katika mahandaki na vichochoro.
Achana na Hamas,Hizbollah anapiganaga na IDF uwanjani na maporini ila IDF wanashindwa.
Nilitoa mfano wa Uturuki kule juu,mazingira anayopigana nayo Uturuki na PKK ni sawa na ya IDF na Gaza.
Ila mbona Uturuki anafanikiwa!?
Unaleta ujuaji mwingi kumbe kichwani empty set.
Huwa mnachukulia vita ni rahisi sana. Congo mpk leo wanapigana na M23.Israel ni takataka tu. Kama inachukua karibia mwaka ku deal na wahuni walioko kwenye kamji kadogo kama kijiji siku wakikutana na jeshi kamili siwatasambazwa kama kinyesi tu.
Wewe Muisrael mweusi wa Tukuyu mlokole angalia wenzako nyie Wakisrito hamtakiwi.
Hivi ndivyo polisi wa israeli wanavyowashughulikia Wayahudi wa Orthodox huko israel, picha zimechukuliwa leo.
Hebu fikiria kumfanyia mzee huyu, Tazama t
View: https://x.com/suppressednws/status/1794784971238080990?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Gaza mpk Rafah imebaki magofu. Tangu lini pikinik ikafanyika sehemu yenye magofu?Hizo fikra zako unazoengea israel chini ya Marekani na Ulaya akitaka kufanya jambo lolote hamna wa kumzua wala kuomba kibali kama alivyofanya Rafah, waliambiwa Rafah siyo pikinikπ
Mkuu nawaonea huru wapalestina lakini njia walio amua kuitumia kudai haki zao haya ndio matokeo yake
Wewe endelea kuamini Israel haiana inachofanya zaidi ya kupiga watoto na wakinamama
Watakapo maliza shughuli yapo pale Rafah ndio utajua hujui
Time will tell
Nenda Sudan ukakutane na waarabu wanaojiita Rapid Support Force (RSF) ambao ni waislamu wenzako kama watakuacha hai.Wewe Muisrael mweusi wa Tukuyu mlokole angalia wenzako nyie Wakisrito hamtakiwi.
Hivi ndivyo polisi wa israeli wanavyowashughulikia Wayahudi wa Orthodox huko israel, picha zimechukuliwa leo.
Hebu fikiria kumfanyia mzee huyu, Tazama t
View: https://x.com/suppressednws/status/1794784971238080990?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wakati israel inapiga wanawake na watoto Wanaume huwa wanakuwa wapi?Mkuu nawaonea huru wapalestina lakini njia walio amua kuitumia kudai haki zao haya ndio matokeo yake
Wewe endelea kuamini Israel haiana inachofanya zaidi ya kupiga watoto na wakinamama
Watakapo maliza shughuli yapo pale Rafah ndio utajua hujui
Time will tell
ππππ Ritz ni mwarabu wa nzegaNenda Sudan ukakutane na waarabu wanaojiita Rapid Support Force (RSF) ambao ni waislamu wenzako kama watakuacha hai.
YaisheWanaolia ni hamas au watoto na wazee? Nyoyo zenu zimepigwa muhuri hivyo hamtaelewa
Samahani NduguWanaolia Hamas au raia wa KiPalestina!?
UmbwaaaIsrael ni takataka tu. Kama inachukua karibia mwaka ku deal na wahuni walioko kwenye kamji kadogo kama kijiji siku wakikutana na jeshi kamili siwatasambazwa kama kinyesi tu.
Je tangu wakati huo Israel imefutika. Hata huyo Mungu wenu mwarabu anaogopa IsraelEmbu lete ushahidi wa uyasemao.
Maana nikikumbuka so far 2006 alipigana na wanamgambo waliokamilika wakamtoa damu akakimbia na kuacha vifaru pale Lebanon.
Tofauti ya hamas na raia wa palestine ni ipi? And how unawatofautisha kwenye war field?Wanaolia Hamas au raia wa KiPalestina!?
Siwatetei israel, japokuw wapo under international pressure currently, wana deal na vitu vingi. Ila hili wanapofanya hamas wanampa israel nafasi ya kupata sababu ya kuendelea na kampeni yake. Right now palestine inakaribia kushinda ushawish wa dunia, hamas tu hawatakiwi kuvuruga hili kwa kuwapa israel sababuWanaukumbi.
Wiki hii nzima Israeli imeteseka L baada ya L; kidiplomasia, kisiasa na kisheria - na sasa: jana askari wao walitekwa kama POWs, na leo Hamas inaonyesha uwezo wao wa kijeshi haujashushwa, kiasi kwamba wameweza kufyatua risasi huko Tel Aviv.
Nentanyahu na wenzake wanasema wananenda Rafah kumaliza vita, Hamas hawapo huko wapo maeneo mengine na leo wamerusha makombora yametua Tel Aviv
====
Al-Qassam launched about 10-12 long-range rockets, from Rafah, travelling 100-110km to hit Tel Aviv, after a hiatus of 4 months. The Iron dome failed to intercept the rockets, more than 8 direct impacts were made, causing material damage and the ignition of fire. 2 settlers were also injured.