HAMAS yaua askari 21 wa Israel baada ya kuwashushia makombora mazito

Habari umeanza itizama jana wewe.
IDF akati inaingia Gaza iligawanya infantry sehemu tatu.
Northern Gaza,Central Gaza na Southern Gaza.
Hapo Khan younis hawajaanza leo kufanya mashambulizi na askari moja wapo waliopunguzwa ni wa hapo hapo khan younis.
Hata wale askari wakike walitekwa hapo hapo khan younis.
 
Hakuna sehem khan younis imezungukwa.
IDF imeshapunguza idadi ya askari Gaza.
Hayo masharti hayakua rafiki kwa Neta pussy cat kwasababu yanasema Hamas ibaki uongozini ndio kitu Neta pussy cat hakitaki.
Khan younis kaa la moto kwa IDF .
Tatizo unasubir mpaka uende masjid ukapewe taarifa kuhusu kinachoendelea Gaza, fungua Aljazeera muda huu ujionee mwenyewe usipende kuhadithiwa
 
Tatizo unasubir mpaka uende masjid ukapewe taarifa kuhusu kinachoendelea Gaza, fungua Aljazeera muda huu ujionee mwenyewe usipende kuhadithiwa
Ninaifuatilia aljazeera kuliko wewe kijana.
Khan younis IDF alianza kufanya mashambulizi toka November kijana.
Na askari wengi kapotezea hapo kuliko sehem zingine za Gaza.
 
Acha urongo kijana.
Russia ina majeshi ndani ya Ukraine.
Ukraine ni jeshi kamili kijana.
Hao IDF wangekutana na Ukraine sahizi tungeongea mengine.
Russia inapambana na jeshi lenye all sorts of millitary capabilities mpaka field commandos.
IDF inapigana na wanamgambo wasio na silaha za uhakika na wasio hata na mafunzo ya uhakika.
Utafananishaje hivyo vitu?
 
Nimekuelewa! Ngoja niachane na huu ukristo....nafanya mchakato nisilim ili nifukuzie wale bikira 72.
 
Idadi imepanda sasa ni 31

Israeli Army Radio:

The number of dead officers and soldiers announced is uncertain and more families are being informed (there are more than 31 dead Israelis).

The moment the building containing Israeli soldiers exploded
Netanyahu atafute njia nzuri ya kutoka kwenye hii vita la sivyo atawamaliza vijana wote kwenye Jeshi lake. Nimekumbuka maneno ya hekima aliyosema Waziri mmoja wa Hungary alipokuwa anazungumzia mzozo wa Russia na Ukraine. Alisema Viongozi wa nchi za US na Ulaya wanaowapa silaha Ukraine wanadhani wanajeshi wanaopigana ni kama Computer Game hivyo wangependa waendelee kuuona mchezo huo ili waendelee kufurahia wakati yale ni maisha ya watu. Akasema Wanajeshi wanapenda kuishi kama viongozi wanaotoa silaha wanavyoyapenda maisha.
 
Idadi imepanda sasa ni 31

Israeli Army Radio:

The number of dead officers and soldiers announced is uncertain and more families are being informed (there are more than 31 dead Israelis).

The moment the building containing Israeli soldiers exploded
Hapo ongeza sifuri, huwa hawasemi kweli. Nyau katangaza 24:

Your browser is not able to display this video.
 
Hatua waliyofikia wapalestina washagundua hakuna aliye salama kama wapalestina elfu25 washauliwa ikiwemo vichanga na wanawake, hawana namna nyingine zaidi ya kupigana, ndiomaana nguvu imekua kubwa sana upande wao wangeungana tangu awali pengine ata izo namba za vifo zingepungua.
Hakuna mwanaume wa kipalestina anaeogopa kifo sasa ivi mioyo yao ishakufa ganzi hawana uoga tena.
 
Rip fallen soldiers. Uwanja wa mapambano haujawahi kuwa mwepesi.

Ila vita dhidi ya ugaidi lazima iendelee Hamna namna
 
Israel wana vituko sana yaani maj general ana miaka 23 hilo jeshi kaingia lini hayo mafunzo mpk kamaliza muda gani ndio maana wana chapika tu hawana uzoefu wowote

Kuna vita ambayo wanajeshi hawafi?
 


View: https://www.youtube.com/watch?v=_e_eOBLw0Wg&ab_channel=AiTelly


View: https://www.youtube.com/watch?v=DIi5lZVFqPI&ab_channel=TheBuzz


View: https://www.youtube.com/watch?v=blDEHwVUgp4&ab_channel=AIAnalyst



View: https://www.youtube.com/watch?v=Ud8fyPsoGlY&ab_channel=AiTelly


View: https://www.youtube.com/watch?v=XILraSBqC8k&ab_channel=HindustanTimes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…