Hamis Chaurembo: Dereva mjinga aliyeuwa abiria kwa mwendokasi Kigoma

Haiwezekani sehemu kwa kutembea masaa 3 au 6 utembee dk 25..
It doesn't make sense
Basi za Kiswele zamani zilikuwa zinatoka Dar tena enzi hzo stendi ilikuwa ni Kariakoo kwenda Mbeya,Dar inatoka saa 12 asbh,Mbeya inaingia saa 7 mchana na ji mwendo wa Km karibia 800,wakati sikuhz basi ikitoka Muda huo Mbeya inaingia saa 3 au 4 usiku,yaani masaa si,chini ya 12

Kwa hyo broo kuna madereva wamevurugwa haswaaa,au angalia,tu madereva wa magazeti

Sema huyo aliyesema ni masaa 3-6 kaongeza chumvi mnooo
 
Duuh kiboko aisee yaani gari inakimbia miaka nenda miaka rudi dereva mpaka anaua na wengine ndio anaripotiwa...
Ujawahi kuona basi za Sauli na golden deer wakicheza ligi barabarani huku watu wakishangilia? Hii nchi ina watu wa hovyo sana. Pale mikumi ni kawaida majitu kujipanga barabarani kuangalia basi lipi la kwanza kupita kati ya golden deer na sauli huku hizo basi zikiovertake mazingira ambayo sio salama huku majitu yakishangilia.
 
Mpumbavu huyu kaondoka na mzee wangu.
 
Sitoshangaa kusikia Michomoko (Probox/Succeed) zimepigwa marufuku huko ndiyo akili za decision makers wetu.
 
Kakonko to Kibondo ni dk 45 to 1 hour
Hata kama dakika 45 ina maana kama mwendo wa kawaida tuseme KPH 80 unatumia dakika 45 hapo dakika 25 ina maana labda alikuwa anakimbia 150 KPH bila ku slow sasa kwa barabara gani Tanzania hii ukakimbia speed hiyo bila kukutana na matuta. Hapo nawazo barabara lami safi kama ulaya. Kweli barabara huko Kibondo ina quality ya mtu kukimbia 150 KPH bila kupunguza mwendo?
 
Haiwezekani sehemu kwa kutembea masaa 3 au 6 utembee dk 25..
It doesn't make sense
Hakuna umbali wa hivyo eneo hilo. Kibondo to kakonko hakuna umbali mrefu pia kwa sasa barabara ni lami tupu
 
W . Wote wanaosimama hapo mikumi wanakuwa wamebeti, sauli na new force zikipita waliopiga pesa wanaamia meridian,sport pesa na sehemu nyingine,
 
Mpumbavu huyu kaondoka na mzee wangu.
pole sana mkuu, ila hata abiria nao wanachangia, unakuta driver anaendesha kwa speed hatarishi ila wapo kimya tu, matokeo ya ajali ya 140kph sio sawa na ajali ya 80kph,
 
Mpemba na huyo boda vinahusiana vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…