Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hupajui Kakonko -Kibondo kwa sasa.Yaani huko usafiri wa chap ni probox tu, barabara yenyewe sasa masika madimbwi, kiangazi vumbi jekunduu ajali ni kugusa tu
Nilitaka kusema hili Ahsante umelisea. Hii haiwezekaniHaiwezekani sehemu kwa kutembea masaa 3 au 6 utembee dk 25..
It doesn't make sense
Kabisa, haiwezekani hata kidogoHaiwezekani sehemu kwa kutembea masaa 3 au 6 utembee dk 25..
It doesn't make sense
Noah wapi iko ki Mchomoko..Daah hiyo Noah imekua chapati kwa mazingira hayo kupona ni ngumu sana...
Mkuu asante kwa hii post japo ni ya kusikitisha sana. Na jamii nayo ina makosa. Walikuwa wanampamba na majina badala ya kuchukuwa hatua ikiwemo kususia gari lake.
Km ngapi kati ya miji hiyo?3-6 hours
We kweli mtumiaji wa probox, mpaka umelijua jina la mchomokoNoma sana man...ila ni probox...yaani sehemu popote nikifika nikakuta usafiri ni mchomoko amani huniisha kabisa. Hili jina silipendi balaa. Inaashiria mwendo kasi tupu.
Kilometer 46.Km ngapi kati ya miji hiyo?
AiseeSiku nikipata ajali ni lazima niondoke na abiria wote".
Ahsante mkuu, 46km ni mwendo wa chini ya 30mins, tatizo barabara zimejengwa bila ya vipimo ,speed sip tatizo kubwa, Germany hawana speed limits na husikii ajali za mara kwa mara,barabara zao zipo superKilometer 46.
Duuh kiboko aisee yaani gari inakimbia miaka nenda miaka rudi dereva mpaka anaua na wengine ndio anaripotiwa...Noah wapi iko ki Mchomoko..
Wewe hupajui Kakonko -Kibondo kwa sasa
Inawezekana kabisa maana ni kitambo kidogo tangu nimepita hukoWewe hupajui Kakonko -Kibondo kwa sasa.
Mwendo wa public service na gari zinazozidi Tani 3 na robo ni 80km/h Tanzania nzima na kufuata alama za barabarani hakuna haja ya kuuliza kwenye mamlaka ya barabaraInawezekana lkni nenda kokote kwenye mamlaka zinazihusiana na barabara uliza mwendo wa eneo hilo ukipanda public service
Tabu ni zile Safar zake za usikuNimewahi kupanda gari lake huyu jamaa. Nilijitahidi sana kumcontrol kuhusu mwendo. Abiria wenzangu waliishia kunidhihaki tu ati naogopa kufa wakati hukukwepeki. Lakini ilisaidia kwani alipunguza mwendo baada ya kuwa mkali sana.