Una busara sana Mjukuu, hadi nahisi utakuwa umetokea ile Kanda ambayo Rais wa kwanza wa Tanzania alitokeaHamfikii Nandy sababu ya aina ya familia ambao wote wametokea, Hamisa ndiye baba na mama wa familia yao unlike Nandera, kwahiyo wakipata pesa mmoja atanyanyuka haraka kuliko mwenzie.... Halafu
Hata huku mitaani kuna watu tuna upepo wa pesa ila majukumu sasa!!! Rafiki yangu mmoja anaitwa Manka huwa ananiambia kwenye circle yetu ulipapaswa uwe na pesa kuliko wote, hajui mimi na yeye tunatofautiana mahali, so yeah Hamisa ametokea familia ya kawaida ya ugali bamia, alipo hapo ni pakubwa sana....
Kabisa MkuuNi hatari sana mkuu tunaishi kwenye dunia ambayo watu wema ni wachache mnoo
Nifah shikamoo mdogo wangu.Ila imeniuma sana, kumbe wakati sisi wanazi wa Yanga tunalala na viatu kwa machungu ya goli la Aziz Ki kukataliwa kumbe Kigogo wetu alikuwa anapeana raha na Hamisa?
Nimelia sana.
Mjini hapa anaweza onjeshwa pia.Aisee ππ .......ila Aziz wanamlipa au anatumika tu
Labda job mbaya.Mhindi nasikia hahongagi, alijipigia akapita hivi......afu huyu dada itakuwa upstairs empty, anampenda wanaume wenye status lakini mbona wanaume wakishajipigia wanapotea ghaflaπ€£ husiano halifiki hata krismas mbili Yani, wanapotea
We jamaa πππNa mimi Guede nampataje?π₯
Itakuwa yuko beneti na Mwasibu feki OKW CPA uchwara SUNZU BOBAN ovyo kabisa ndo anasimamia malipo.Kuna Uzi humu wa kitambo wa Marehemu warumi aliwahi kuandika kwamba eti Mhindi anatoaga Posho ya 120k
Yaani hadi sisi Wazee tunamzidi kwenye utoaji wa kifuta Jasho π
Haaaa Miss u babu.... Asante.Una busara sana Mjukuu, hadi nahisi utakuwa umetokea ile Kanda ambayo Rais wa kwanza wa Tanzania alitokea
Nakupa za ndani tena, Guede muwahi kabla hajaondoka nchini. Maana mkataba wake ulikuwa wa miezi 6 na viongozi hawana mpango nae tena. Wapo hatua za mwisho kumalizana na Baleke.Na mimi Guede nampataje?π₯
Na alikuwa anamla jicho unaambiwaKuna Uzi humu wa kitambo wa Marehemu warumi aliwahi kuandika kwamba eti Mhindi anatoaga Posho ya 120k
Yaani hadi sisi Wazee tunamzidi kwenye utoaji wa kifuta Jasho π
Kumbe na wewe uliusoma ule Uzi eeh π€Na alikuwa anamla jicho unaambiwa
Daah! Ila yule tajiri mbahiri kweliKumbe na wewe uliusoma ule Uzi eeh π€
Mimi niliusoma huku nimevaa Msuli kuepusha maana Kila muda network ilikuwa inakuja na kutoka Kwa zile stori π
Nadhani alikuwa na matarajio makubwa kuliko uhalisiaDaah! Ila yule tajiri mbahiri kweli
Ila naye bibie anaenda kwa Mpalange kwa 120k bei local sana.
Hawa wa 120k hata exotic escort Tanzania wengi tu
Ilitakiwa amuuzie ki-VIP
Au kwa akuwa aliona ni don akajisema ngoja kwa sasa niende naye mdogo mdogo baadaye nitakula mema ya nchi.Nadhani alikuwa na matarajio makubwa kuliko uhalisia
Yeah wale ukiwa mgeni nao wanakupiga, ila kuna viumbe kule sio poaHao wa exotic ukienda kichwa kichwa unaweza kupigwa zaidi ya hiyo 120k, niliona watu wakijadili humu
Vijana wanafaidi sana π€Yeah wale ukiwa mgeni nao wanakupiga, ika kuna viumbe kule sio poa