Oroka msoro
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 569
- 435
Halafu utakuta ni mzinifu ni mwizi ni fisadi ni mlevi ila anaona waliochora tattoo ndio wabayaMkuu, wabongo ni wajinga wanajifanya watakatifu wa Dini kuliko hata wazungu walio waletea Dini zenyewe....
Mtu anapinga tattoo kwa imani yake ya kidini anafikiri kila mtu yupo sawa na imani yake..
Kuna wabongo wana Akili za enzi ya Ujima...Mtu anataka kuhalalisha mawazo yake yawe ya jamii nzima kutokana na Hofu za imani yake.....
Wewe ulichora ukiwa tayari kuna namna unataka kuwa, wala hukuwa hivyo baada ya kuchora.Mimi ndiye ninayekupa ushuhuda wangu halafu wewe unaleta ujuaji.
Haya simulia kingine kuhusu maisha yangu, maana inaonekana unanijua sana
Huo ulikuo uoga wako tuKuna mwanamke nilikuwa nakapenda kanauza bar hapo dagaadagaa kibo ,siku moja akanibless tunda lake Kweli ilikuwa ashb HV saa tano HV bas nikakavua nguo kumcheki vzr tokea takoni Hadi juu kachora tatoo ya nyokaa kichwa kinatokea kwenye shingo kwa juu aisee nilishindwa kumchakata pmj na kwamba aliniblesss jicho lake ila niluogopa Sana niliona nalal na joka mkp leo hi yule demu Ana amani na mm niliona kbsa Happ Kuna mirohoo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nani haoHiki ndio wanacho fanikiwa kupandikiza agenda zao hata ushoga kwamba mbona flani ana hiki na ni mtu poa,
Cr7 hajachora Messi kachora, sasa kati Yao wawili ni nani mwenye tabia chafu?Ndiyo maana cr7 hajachora hago madude
Mleta mada hana tattoo lakini ana rekodi isiyofutika ya kufungua ID kwa jina la GilesiMkuu, wabongo ni wajinga wanajifanya watakatifu wa Dini kuliko hata wazungu walio waletea Dini zenyewe....
Mtu anapinga tattoo kwa imani yake ya kidini anafikiri kila mtu yupo sawa na imani yake..
Kuna wabongo wana Akili za enzi ya Ujima...Mtu anataka kuhalalisha mawazo yake yawe ya jamii nzima kutokana na Hofu za imani yake.....
Urembo[emoji23][emoji23]In short haileti picha nzuri,,,assume unampeleka ukweni mpenzi wako aliyejichora tattoo,,,ni picha gani itaonekana huko ukweni?
Umetahiriwa?Kwani nini faida ya kujichora hizo tatoo?
Kwa wale wanao amini imani za kidini je maandiko yameruhusu?
Binafsi siwezi kujichora alama yoyote kwny ngozi yangu,kufanya hivyo naamini namkosoa Mungu wangu kwa kuniumba jinsi nilivyo!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mleta mada hana tattoo lakini ana rekodi isiyofutika ya kufungua ID kwa jina la Gilesi
Tabia hii inaingia kwenye kundi la wahuni, wavuta bangi, matapeli nk..
Halafu anadanganya wenzie
Ujinga unawasumbua....Halafu utakuta ni mzinifu ni mwizi ni fisadi ni mlevi ila anaona waliochora tattoo ndio wabaya
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
UsitahiriKwani nini faida ya kujichora hizo tatoo?
Kwa wale wanao amini imani za kidini je maandiko yameruhusu?
Binafsi siwezi kujichora alama yoyote kwny ngozi yangu,kufanya hivyo naamini namkosoa Mungu wangu kwa kuniumba jinsi nilivyo!
Kichwa chako ni Bustani ya nywele tuOk, Kwa hiyo Kila anayetukana mitusi ya nguoni kachora tattoo?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kaka/dada unaamini uwepo wa Mungu?Wewe hayo ni matatizo yako binafsi na kilichokukuta wewe hakiwezi kwa standard unit kwa wote waliochora tatoo, haya Messi baada ya kuchora tattoo alikuwa mtoto mbaya kama wewe?
Watu wote waliochora tattoo wana maisha mabaya kama yako? Kwanini hizo shida uzihusishe na tattoo?
Ninachokiona hapa ni wewe kutafuta justifications juu ya failures zako za kimaisha.
Halafu waafrika tuna mambo ya ajabu sana, kila kitu tunakifikiria kivyetuvyetu tu, tattoo ikuharibie maisha??[emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua tatizo waafrika kila kitu tunakipima kutokana na kazi, mafanikio ya kiuchumi nk. Latin America tattoo ni jadi. Hatusikii wakiongelea mapepo sijui nini. Kama hupendi tattoo acha, wanaopenda watachora. Kuhusu Mungu, bora uhangaike kwanza na Amri 10 za Mungu kabla hujaanza kuhangaika na minor things.Hizi kauli zako zinathibitisha tattoo ni janga,
Sidhani kama kuna mtu kasema tattoo ni dhambi kuuUnajua tatizo waafrika kila kitu tunakipima kutokana na kazi, mafanikio ya kiuchumi nk. Latin America tattoo ni jadi. Hatusikii wakiongelea mapepo sijui nini. Kama hupendi tattoo acha, wanaopenda watachora. Kuhusu Mungu, bora uhangaike kwanza na Amri 10 za Mungu kabla hujaanza kuhangaika na minor things.
Mimi ninachokataa ni watu kufanya tattoo kama ni dhambi kuu, lakin unakuta huyo mtu kila siku anafira, anaona poa hamkosei Mungu. Lakin tattoo anaona grave sin. Tunaleta unafiki wa kuchagua dhambi, zile mbaya tunazihalalisha kimya kimya, tusichokipenda hata hata kama ni minor, tunazifungia amplifier!
Watu mnaouliza swala kama hili:-Kaka/dada unaamini uwepo wa Mungu?