Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #21
Kikipata zile za kusadikisha ndio utakielewa.bila pesa kichwa cha chini hakiwi effective sana, kinakuwa kina jishtukia sana 😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikipata zile za kusadikisha ndio utakielewa.bila pesa kichwa cha chini hakiwi effective sana, kinakuwa kina jishtukia sana 😅😅
Nina uhakika... Kuna wanawake wanajitambuaYa kweli hayo?
Kwani mnatakiwa muwe na pesa kiasi gani eti??kweli kabisa nasema, bila pesa nyie malaika wetu mnakuwa mtihani sana.. mnaweza kutuvumilia kwa ku pretend tu
Hamna mwanamke awezaye kumvumilia mwanaume asiye na hela, ukiacha alete msosi nyumbani, lazima akupande kichwani.
Exactlykama huna hela ya nini kuwa na mwanamke.... utajitafutia depression tu
Pesa ya kutumiza wajibu na mahitaji yote kwa mwanamke na mwanaume na kama familia pia.. ila sasa ikiwa hela tu ya kujihudumia mwanaume mwenyewe kipengele, mwanamke inakuwaje ? na hapo wanawake wengi wanashindwa vaa viatu wanalala mbele wachache sana wa moyo wa kuvaa viatu na kuendelea kumpa nguvu mwanaume wake hadi asimama... wengi wenu sio wavumilivuKwani mnatakiwa muwe na pesa kiasi gani eti??
Anazingatia sana kiapo cha kuishi katika shida na raha, aliapa na hatavunja kiapo hadi kifo kitutengeMungu wangu 10 years daaah ana moyo kweli lkn biashara ni changamoto kweli Mungu tusaidie
Na huenda hajui kuwa ndoa za watu wasio na hela ndio zinazodumu zaidi 😀Mwamba amekariri maisha kama mahusiano yangekuwa ndo pesa tu watu wa Hali ya chini wasingekuwa wanafunga ndoa
Hamna mwanamke awezaye kumvumilia mwanaume asiye na hela, ukiacha alete msosi nyumbani, lazima akupande kichwani.
Vijana wanacomplicate sana maishaNa huenda hajui kuwa ndoa za watu wasio na hela ndio zinazodumu zaidi 😀
Kuna wanawake na hela zako wanakukazia vile vile tu Wala hawajiulizi kama wanawake wote wangekua wanapenda pesa watu maskini wasingeoaHao viumbe hata hisia zao zipo kwenye pesa
Kuna wanawake na hela zako wanakukazia vile vile tu Wala hawajiulizi kama wanawake wote wangekua wanapenda pesa watu maskini wasingeoa
Hapa ukisoma comment za wanawake wa jf utaweza amini kuwa ni angels kumbe wee weka ndani alafu ufulie ndio utajua kuwa shetani na mwanamke ni pete na kidoleKama nilikuwa nae wakati anazo…na alinifanyia makubwa kwenye maisha…kwanini nisimvumilie?
Nitamvumilia na kumpenda tena nitakuwa nampa na pesa aende bar na washkaji arudi nyumbani.
Ila sasa kama wakati alikuwa anazo alikuwa ananipitisha kwenye majabali ***** 😂😂my friend…tuimbe hallelujah maana kikombe kile kile ulichonipimia maji ndicho hicho hicho nitakachokunywesha nacho wateri.
Usiongelee tu wanawake wabaya kumbuka Kuna Wanaume pia ni wabayaHapa ukisoma comment za wanawake wa jf utaweza amini kuwa ni angels kumbe wee weka ndani alafu ufulie ndio utajua kuwa shetani na mwanamke ni pete na kidole
Hela zinaisha mkuukama huna hela ya nini kuwa na mwanamke.... utajitafutia depression tu
Wanawake wanawake wanatofautiana sana ndo kitu ambacho hujui kila mwanamke ana character zake anazozitaka kutoka kwa mwanaume, wako WANAOPENDA pesa sana, wengine kawaida, wako WANAOPENDA Wanaume warefu, wengine wanapenda wanaume wenye ndefu ni ngumu sana kuja na general conclusion kuhusu wanawakw kwa sababu kila mwanamke ana aina yake ya mwanaume anayemtakaMwanamke anaolewa na maskini sababu ndiyo best options available. Ila kama ana options nyingi za kuchagua hawezi kuchagua mume maskini
Ni sawa na mtu asiye na kazi ni ngumu kuchagua kazi , yoyote itakayopatikana anaikubali