Hamna mwanamke anayeweza kumvumilia mwanaume asiye na pesa kwa miezi sita

Hamna mwanamke anayeweza kumvumilia mwanaume asiye na pesa kwa miezi sita

Kuna watu ni wavumilivu!! Miezi 6 yote hiyo😳😳😳
 
Sio wote inategemea na mwanamke mwenyewe.
 
Hela zinaisha mkuu
Maisha unayeweka kama unavyotaka kama mtu analazimisha wanawake wanapenda pesa kuwa na uhakika huyo mtu anataka wanawake ambao sio level zake kwa huko kukataliwa kunamfanya ajihisi kwamba amekataliwa Hana hela na kunamtengenezea stress ndo anakua na mawazo kama hayo hata ukimuelewesha hawez kukuelewa

Ni nadra sana kukuta mtu mwenye kipato analalamika wanawake wanapenda hela, ni rahisi sana kukuta mtu wa Kawaida kukuta analalamika wanawake wanapenda hela sababu Yuko bize na wanawake ambao sio level yake
Kwenye maisha pambana na wanawake ambao ni level zako
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Kuna wanawake Mungu aliwapendelea hekima na busara ya kipekee sana(unique asset).
 
Kama mwanamke anampenda mwanaume kwa sababu ya hela tu, mbona kuna wanaume "mario" wanalishwa, na kuvishwa, na kupewa kila kitu na wanawake?
 
Maisha unayeweka kama unavyotaka kama mtu analazimisha wanawake wanapenda pesa kuwa na uhakika huyo mtu anataka wanawake ambao sio level zake kwa huko kukataliwa kunamfanya ajihisi kwamba amekataliwa Hana hela na kunamtengenezea stress ndo anakua na mawazo kama hayo hata ukimuelewesha hawez kukuelewa

Ni nadra sana kukuta mtu mwenye kipato analalamika wanawake wanapenda hela, ni rahisi sana kukuta mtu wa Kawaida kukuta analalamika wanawake wanapenda hela sababu Yuko bize na wanawake ambao sio level yake
Kwenye maisha pambana na wanawake ambao ni level zako
main pont!
 
Kiwango gani cha hela kinachotakiwa tuwe nacho?
 
Kama mwanamke anampenda mwanaume kwa sababu ya hela tu, mbona kuna wanaume "mario" wanalishwa, na kuvishwa, na kupewa kila kitu na wanawake?
Hakuna anayejua akili ya mwanamke inataka nini, mim ninamjua Kuna mwanamke alikua na shida lakin alimkatalia mtu mwenye hela ambaye alitaka kumuoa, akaja kuolewa na mwanaume wa kawaida, sio wanawake wote WANAOPENDA hela
 
Hapa ukisoma comment za wanawake wa jf utaweza amini kuwa ni angels kumbe wee weka ndani alafu ufulie ndio utajua kuwa shetani na mwanamke ni pete na kidole
Best comment of the whole thread... Hawa viumbe ukikaa uwasikilize unaeza dhani ulichelewa sana.. ila mwezi tu unajiuliza hivi huyu ni yule au hiki ni kivuli chake? Na sio hapa jf tu nearly every where wanawake wanajua sana kupretend either ufulie hata usifulie wako na real colour zao...Naungana na wewe 100% mzabzab
 
Hapa ukisoma comment za wanawake wa jf utaweza amini kuwa ni angels kumbe wee weka ndani alafu ufulie ndio utajua kuwa shetani na mwanamke ni pete na kidole
Pale unapoamini kuwa kila mwanamke ni msukule wa shetani.

Naomba nikwambie kuna watu bado wanaubinadamu kuliko unavyodhani.
Ukipewa roho ya kushukuru Kwa kidogo ukipatacho basi ninauhakika mema ya mtu yatafanyika kuwa msaada sehemu fulani

Tuko pamoja sana
 
Wanawake wanawake wanatofautiana sana ndo kitu ambacho hujui kila mwanamke ana character zake anazozitaka kutoka kwa mwanaume, wako WANAOPENDA pesa sana, wengine kawaida, wako WANAOPENDA Wanaume warefu, wengine wanapenda wanaume wenye ndefu ni ngumu sana kuja na general conclusion kuhusu wanawakw kwa sababu kila mwanamke ana aina yake ya mwanaume anayemtaka
Na huu ndio ukweli
 
Best comment of the whole thread... Hawa viumbe ukikaa uwasikilize unaeza dhani ulichelewa sana.. ila mwezi tu unajiuliza hivi huyu ni yule au hiki ni kivuli chake? Na sio hapa jf tu nearly every where wanawake wanajua sana kupretend either ufulie hata usifulie wako na real colour zao...Naungana na wewe 100% mzabzab
Same apply Wanaume wakipata hela wanawaacha wale wanawake walioanza nao wanaenda kwa pisi Kali, minaona watu wanawaandama sana wanawake kama vile wanaume
ni malaika
 
miaka mingi tu mtoto wa watu alivumilia, Huwa nikikumbuka nambless kwa kiasi chochote anachotaka. sina wasiwasi kbisa na uadilifu wake. Nyie wanawake hao mnawatoleaga wapi wakuu.
Nikipata comment kama hii kutoka kwa mwanaume huwa nafarijika sana.

Bado wanawake wenye ubinadamu wapo..
 
Back
Top Bottom