Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kama hauna hela zichangechange mdogo mdogo uwe unanua malaya wanaojipanga. Ila ukisema uingie kwenye serious relationship depression itakuuakama huna hela ya nini kuwa na mwanamke.... utajitafutia depression tu
Mie nilikuja jua hawa sio nilipofulia nikaambiwa huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni. Yaani wana roho mbaya sana ukifulia.Best comment of the whole thread... Hawa viumbe ukikaa uwasikilize unaeza dhani ulichelewa sana.. ila mwezi tu unajiuliza hivi huyu ni yule au hiki ni kivuli chake? Na sio hapa jf tu nearly every where wanawake wanajua sana kupretend either ufulie hata usifulie wako na real colour zao...Naungana na wewe 100% mzabzab
Uwe tdh, uwe andunje, uwe na six packs au one pack, bottom line ni u need to have money bro kuwala hawa warembo bila stressWanawake wanawake wanatofautiana sana ndo kitu ambacho hujui kila mwanamke ana character zake anazozitaka kutoka kwa mwanaume, wako WANAOPENDA pesa sana, wengine kawaida, wako WANAOPENDA Wanaume warefu, wengine wanapenda wanaume wenye ndefu ni ngumu sana kuja na general conclusion kuhusu wanawakw kwa sababu kila mwanamke ana aina yake ya mwanaume anayemtaka
Hao wanawake watawafungulia thread yao. Kwa sasa tujikite kwa wanawake wabaya wenye urafiki na shetani moja kwa mojaUsiongelee tu wanawake wabaya kumbuka Kuna Wanaume pia ni wabaya
simaanishi pesa inafanya kazi peke yake, lakini ukiwa na mwanamke mzuri mwenye kutamaniwa na wengi, ndugu yangu bila kibunda hutoboi.Kuna wanawake na hela zako wanakukazia vile vile tu Wala hawajiulizi kama wanawake wote wangekua wanapenda pesa watu maskini wasingeoa
fafanua hapo kwenye "emotional"Uvumilivu upo na yako mahusiano yamesimama vyema, wasioweza kuvumilia wengi wao ni wale waoga wa maisha.
Kisaikolojia, mahusiano ya watu wasio na fedha, huwa yanamshikamani mkubwa wa nguvu moja kutafuta mafanikio, ila shida pale wanapotimiza shida hii, uzaliwa shida nyingine inayowavuruga ambayo ni ya Kihisia 'emotional'.
Hii ni shida mbaya kuliko pesa.
Kumbe eehhttps://www.facebook.com/Hamna mwanamke awezaye kumvumilia mwanaume asiye na hela, ukiacha alete msosi nyumbani, lazima akupande kichwani.
Ndo veleKumbe eeh
Nikiwa sina hela kibhighobhigho hakisimamiMie nilimvumilia miaka 7 akaoa mzunguu saivi Huna hela tambaa aisee sirudii umpumbavu .
Unajua wanawake wengi walivumilia ila waliolewa wengine saivi naapa nataka hela hula nenda kwingine
Ila hukusema swala la mwanamke mzuri in first place hii ni mada mpya tenasimaanishi pesa inafanya kazi peke yake, lakini ukiwa na mwanamke mzuri mwenye kutamaniwa na wengi, ndugu yangu bila kibunda hutoboi.
Hajamkandamiza mtu, kawahasisha wanaume watafute mapeneHawa wachungaji wa siku hizi wamekuwa wapuuzi sana. Hawako kwa ajili ya kuponya ndoa za watu bali kuzibomoa kabisa... sasa huyo tapeli kwenye video anavyowakandamiza wanaume wenzie mbele ya wanawake ndo uchungaji? Kunaweza kuwa na sababu nyingi sana za mtu kuyumba kiuchumi... huyo mchungaji mpumbavu aelewe kwamba hakuna mwanaume anapenda kuwa chini ya mwanamke kivyovyote vile ila wakati mwingine maji yanazidi unga. Mimi nimeshaacha kabisa kuwasikiliza hawa matapeli wanaojiita wachungaji, mitume na manabii.
Pesa ni kama tako, tofauti saiziHakuna mtu asiyekuwa na pesa, tunazidiana viwango tu.
Kwani mwanzo nilisemaje..?Ila hukusema swala la mwanamke mzuri in first place hii ni mada mpya tena
Unazani hizo pesa ndo zitakutomba au zitakupa mimba? Mimi hataKuna watu ni wavumilivu!! Miezi 6 yote hiyoπ³π³π³
Wakijikaza na kujizuia sana Huku mwili unahitaji wataangukia kwenye ulawiti na ushoga, aliyeumba mapenzi kati ya ke na me hakuwa fala, alikua na maana yakeπ π π hata mie nashangaa raia wasio na hela kujihangaisha na mapenzi
Kikubwa uvumilivu/upondo,Pesa ya kutumiza wajibu na mahitaji yote kwa mwanamke na mwanaume na kama familia pia.. ila sasa ikiwa hela tu ya kujihudumia mwanaume mwenyewe kipengele, mwanamke inakuwaje ? na hapo wanawake wengi wanashindwa vaa viatu wanalala mbele wachache sana wa moyo wa kuvaa viatu na kuendelea kumpa nguvu mwanaume wake hadi asimama... wengi wenu sio wavumilivu