Ukoo wa NETANYAHU ulipelekwa mashariki ya kati 1948 kama wakimbizi leo wanataka kuibeba Palestine yote kana kwamba walipakuta hakuna wenyeji.Kwa hiyo maisha ya binadamu hapa duniani yameanza mwaka 1948?
Sawa....Illogical zaidi ni kuanza kuhesabu kuanzia mwaka 1948.
Hamna vita ya tatu ya dunia. Mgogoro huu utatulia halafu utaibuka tena miaka kama minne mbele.Third world 🌍 war
WW III
Wenzetu first priority kwenye taifa lao ni brains, huku sisi ni mapaja na makalioHalafu ni binti mdogo tuu, sijui amepenyaje kufika level hizo
This photo has reminded me when i visted Tel Aviv at first 2007.Hiki kikundi kidogo kwenye picha kimejumuisha Waziri mkuu, waziri wa ulinzi, IDF, Mossad, Shin bet na IAF wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha.
View attachment 3058213
Kama unaifahamu historia na geneology ya hawa wafuatao wala hupati shida ya kujua mgogoro unatoka wapi.Nilichoelewa
Huu mgogoro ni wa muda mrefu na ni wa Kidini tangia enzi za Mitume Ndio mana hawa Wayahudi wanetajwa sana kwenye hizi Dini 2. (QUR'AN And BIBLE)
Hawana ujanja hao bila Mmarekani na Muingereza.Hiki kikundi kidogo kwenye picha kimejumuisha Waziri mkuu, waziri wa ulinzi, IDF, Mossad, Shin bet na IAF wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha.
View attachment 3058213
Uislam =ugaidiNaomba nijulishwe zaidi ,kwanini watu(haswa wa upande wa mama mdogo kama wewe) wanasikitika kiongozi wa hamasi kufyekwa na Israel?
Hata kiongozi wa al qaida Osama bin laden alipouwawa Kuna watu walilalamika ,Je Kuna ukweli wowote kua haya makundi ya kigaidi yanatekeleza mafundisho ya Uislam?
Maana mara nyingi wengine usema hayo makundi yanajivika Uislam lakini sio waislam ,
Why kifo hiki kiwe huzini na si shangwe? The Mongolian Savage
Kweli wewe ni mjinga kama jina lakoKupigwa kwa israel mpaka achakae ni suala la muda
YupiNaomba profile ya huyo dada hapo
Kwenye kikao hapoYupi
Hamas ni chama cha kisiasa chenye muelekeo wa Kiislamu; wafuasi wake wanafuata madhehebu ya Sunni.HAMAS ni kundi la Kigaidi...?
Palestine ilivamiwa na walowezi mwaka 1948.
HAMAS ni Freedom fighters, kama walivyokuwa Mkwawa, Kinjekitile, na wapigania uhuru wote wa Africa dhidi ya ukoloni.
Au Kama kupigania uhuru wako ni sawa na UGAIDI, basi Africa ni bara la Magaidi kwa sababu mataifa mengi ya Africa yalipambana kudai uhuru wao kutoka kwa wakoloni kama HAMAS inavyo pambana leo dhidi ya Israel.
Hii vita ya HAMAS na Israel haitoisha leo wa kesho, ceasefire itakuwepo kwa miezi au miaka lakini kitawaka tena na muanzilishi lazima awe ni HAMAS kwa sababu yeye ndiye anadai uhuru.
Hivi kina nani wanaongoza kufir* na kufirw* ,Matendo hayo ni common sana madrasa na pwani ,Kuita watu LGBT wakati kwenu kumeoza si sawaLgbtq+ munashida sana
Sio hao tu ,nna mashaka imamu kachomwa na fellow Muslims,amekua akiishi Qatar,misri lakini hasomeki,Kaenda Iran kasomeka ,Israel watakua walipewa location au matumizi ya teknologia yalitumika,Inasemekana kaponzwa na WhatsappHawana ujanja hao bila Mmarekani na Muingereza.
Kama haujui uliza wanaojua.ili kuficha UPUMBAVU WAKO.Kweli wewe ni mjinga kama jina lako
Atapigwa ndotoniKupigwa kwa israel mpaka achakae ni suala la muda