Hao kwenye picha wakijifungia kwenye hicho chumba kukujadili kukumaliza umekwisha

Atapigwa ndotoni
Zama hizo.sisi HATUTAKUWEPO.ni zama za mwisho mwisho huko.kila mara nawaambia hyo vita ni saa ya mwisho wa dunia.au ALARM ya mwisho wa dunia.watapigana,wataacha,watapigana,wataqcha.mpaka siku itafika kipigo kitabadilika.na hapo ndipo yesu au nabii issa atakaporudi
 
Mkuu karatee zina shida gani? Leta hija nyingine hata mimi nitakupinga.
 
OCTOBER 7 ilkuwa ni muendelezo..HAMAS Hawataacha harakari za kudai uhuru wa Palestine.
Moja ya nia ya Israel ni kuhakikisha ina pora ardhi yote ya Palestine..
Atakaye maliza hii vita ni Israel tu, aidha kwa kuwamaliza HAMAS au kuondoka kwenye ardhi ya Palestine.
 
Harakati zao wanazifanya kwa njia za KIGAIDI ni lazima washughulikiwe kigaidi.

Umemaliza vizuri kuisha ni either wamalizwe(na ndo Israel wamenza) au Israel aondoke(Kitu ambacho hakiwezi kutokea)
 
Hivi alqaida unaitenganishaje na uislam? Huwezi kuwa recruited kuwa gaidi wa alqaida bila kuwa muislamu vivyo hivyo boko haram and the like. HALAFU MAJITU YATAKUJA KUBISHA HAPA
Tena wanabisha Kwa nguvu
Wanajizima data
 
Wakimbizi?Kwa nini wote wakapelekwa huko na si Argentina?
Mwishoni mwa 1947, Umoja wa Mataifa ulipigia kura kugawanywa kwa Mamlaka ya Palestina na kuundwa kwa taifa la Kiyahudi na la Kiarabu katika eneo lake; Wayahudi waliukubali mpango huo, huku Waarabu wakiukataa. Vita vya wenyewe kwa wenyewe vilianza, na Wayahudi walishinda vita.

Israel ilizidi kujinyakulia maeneo ambayo yalimilikiwa na Palestine kwa mipaka ya Umoja wa mataifa.
Moja ya Demand kubwa ya HAMAS ni kurejeshwa kwa mipaka ya mwaka 1947.

Na hata hivyo Israel haiwezi kukubal hilo litokee, na vita haitoisha hadi HAMAS wafe wote.
 
Umeliona vizuri swali nililokuuliza?
 
Umeliona vizuri swali nililokuuliza?
Wale ni wakimbizi.
Huwezi vamia eneo la watu, na wapo hapo kwa miaka mingi na kusema ni eneo la mababu zako.

Asilimia kubwa ya sisi tunaishi kwenye maeneo ambayo mababu zetu hawakuzaliwa, So...inabidi tuanze kutafuta asili ya mababu zetu ili twende tukakae huko hata kama tutakuta wenyeji tutawatoa kwa nguvu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…