Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You're very intellectual, ulichokisema ndicho nilikuwa nakiwaza.Ndio angewajibika...angekataa nafasi kwa sababu ameshajitathmini na kujiona hafai
Tungepataje alichokiongea leoNdio angewajibika...angekataa nafasi kwa sababu ameshajitathmini na kujiona hafai
Kaongea tu, lakini Makongoro ni mpambanaji sana tena bila hata kutegemea jina la baba yake.
Alikuwa Jeshini. Akaenda vitani Uganda.
Aligombea Ubunge Arusha kupitia NCCR Mageuzi 1995 baba yake akiwa hai na akashinda.
Na siku zote amekuwa yeye Kama yeye kifikra na Mambo yake.
Wewe ndiye umeelewa hivyo? Bila yeye kusema hilo unafikiri hawa wanao ramba asali kwa urefu wa kamba zao wangeweza sema hilo?Nadhani wengi hamjamuelewa Makongoro. Alicho maanisha ni kwamba kuna mambo mengi wamayafanya lakini hayajulikani, hayaandikwi popote..hivyo watu wanadhani wako hapo walipo kwa sababu ni mtoto wa fulani.
🤣🤣🤣Hii kauli ni kubwa sana. Kuwa watoto wa Viongozi wanapata Nafasi si kwa sababu wamewahi fanya matendo makubwa. Ila ni sababu tu ya Majina ya Watoto wao.
Nadhani alikuwa anamaanisha yeye, riziwani kikwete,januari makamba,nape nnauye n.k
Anasema wao wapo hapo ukisema utafute walichofanya mpaka kuwepo hapo utatafuta mpaka ukome. Ila ndo wapo sababu ya wazazi wao.
Sisi tunaokesha JF kuipigania CCM ni lini tutafika huko? Angalau nasi mtukumbuke jamani MNAPOLAMBA ASALI. KWA SASA MAKAMBA ANASEMA NI KULAMBA ASALI TU KWA KWENDA MBELE.
View attachment 2181892
Jamaa haaminiki masihara mengiMakongoro akiwa anapiga speech live on a national yelevision inahitaji ujasiri maana street language za kutosha
Jamaa kitaa sana na anaweza kutoa boko any moment
Kuna maneno kayasema ni deep street am sure hata rais hakuyaelewa...
The man is funny and free soul creature with a bottle of hennessee in his hand.
Ndo Mana jenerali kasema viongozi wetu ni mazoba mafala daaa jenerali ulimwengu kiboko
Hivi bado anakula kilaji?Ndio angewajibika...angekataa nafasi kwa sababu ameshajitathmini na kujiona hafai
Mheshimiwa, hivi unawafahamu vizuri wale form four failures kweli? Wale wapumbavu wanaweza kushindwa kuelezea maana ya PGO! Ila siyo kupiga watu virungu na kuwaua.Mnategemea katiba mpya kwa kuandika mitandaoni?mtasubiri sana kuna tatizo sis wa tz tunalo sijui ni laana au nn mpaka tufunguke kiakili tutakua tumepigwa vya kutosha. Hongereni wanasiasa wa tz mmeshatusoma kua sie mazuzu na waoga mnatumia mwanya huo kama fursa kwa wa tz
ExactlyKumuelewa huyu jamaa yakupasa utulize akili,
Ila kuna jambo nyeti sana kaamua kuliweka hadharani
ExactlyKumuelewa huyu jamaa yakupasa utulize akili,
Ila kuna jambo nyeti sana kaamua kuliweka hadharani
Tupiganie katika constitution iwe inamshitaki mtawala na asiwepo mtu ambaye sheria haimgusi. Hiki kitu muhimu sana. Kapigania katiba ya kwanza hicho kifungu hakikuwepo. Je katiba ya pili kitakuwepo? Bila hicho kifungu kuwekwa katika katiba ni sawa na mechi bila refa.Halafu Jaji Warioba kama vipi atusaidie kupata Katiba yetu. Tumechoka kupigwa kalenda na Wanasiasa! Na hasa wale wa kutoka CCM.
Watu wanafadhiliana!! Kwa kujuana!! Ujumbe umefika!Hii kauli ni kubwa sana. Kuwa watoto wa Viongozi wanapata Nafasi si kwa sababu wamewahi fanya matendo makubwa. Ila ni sababu tu ya Majina ya Watoto wao.
Nadhani alikuwa anamaanisha yeye, riziwani kikwete,januari makamba,nape nnauye n.k
Anasema wao wapo hapo ukisema utafute walichofanya mpaka kuwepo hapo utatafuta mpaka ukome. Ila ndo wapo sababu ya wazazi wao.
Sisi tunaokesha JF kuipigania CCM ni lini tutafika huko? Angalau nasi mtukumbuke jamani MNAPOLAMBA ASALI. KWA SASA MAKAMBA ANASEMA NI KULAMBA ASALI TU KWA KWENDA MBELE.
View attachment 2181892
Duh!Mnategemea katiba mpya kwa kuandika mitandaoni?mtasubiri sana kuna tatizo sis wa tz tunalo sijui ni laana au nn mpaka tufunguke kiakili tutakua tumepigwa vya kutosha. Hongereni wanasiasa wa tz mmeshatusoma kua sie mazuzu na waoga mnatumia mwanya huo kama fursa kwa wa tz