Hapa Makongoro Nyerere kaamua kusema ukweli mbele ya Rais bila kupepesa macho

Yale madeski ya makao makuu Nazi maalumu huyu MAKOOONGORO yangemfaa awe director wakuwapokea watumishi walioshindikana maofisini.
Wawe wanakula story za mako na kusoma magazeti.URC kama wanamuonea hivi.
 
Msg sent unakuta watoto wa vigogo hawana uwezo wwt na hawana mchango ktk taifa letu wamesoma shule kwa kodi zetu wamelelew kwa kodi zetu na baadae wameajiriw na wanalipw kodi zetu aka bongo lala ila wanabebwa na mfumo wa ccm # tunahitaji katiba mpya itakayo leta usawa kwa wtz wote#
 

Na kofia nivue?!! Nikivua hamtaogopa?!!
 
..huyu jamaa ni mlevi-mlevi tu anabugia mshahara kwa kodi za Watz kwasababu ni mtoto wa Nyerere.

..ndio maana KATIBA MPYA ni muhimu ili wananchi wasiendelee kubeba mizigo kama hii.
hata ningekuwa yeye ningelewa tu kila siku,mshua ni former prez,mother anapewa almost 80% ya mshahara wa Rais sliyepo madarakani,watoto unasomesha US na wengine wanafanya kazi huko USA kwanini usilewe ?
 
Nadhani wengi hamjamuelewa Makongoro. Alicho maanisha ni kwamba kuna mambo mengi wamayafanya lakini hayajulikani, hayaandikwi popote..hivyo watu wanadhani wako hapo walipo kwa sababu ni mtoto wa fulani.
Kila mtu anaweza elewa kulingana na tafsiri inayokuja kichwani. Kwani wewe ni Makongoro mwenyewe?
 

Samahani kwa hili swali, naomba unieleweshe kidogo kuhusu hili,Je katiba mpya itasaidiaje watoto wa vigogo wasiwe viongozi?
 

Sisi tunaokesha JF kuipigania CCM ni lini tutafika huko?
Umenena. Amini kila safari ina mwisho wake. Tutafika.
Angalau nasi mtukumbuke jamani MNAPOLAMBA ASALI. KWA SASA MAKAMBA ANASEMA NI KULAMBA ASALI TU KWA KWENDA MBELE.
Chonde chonde alimuradi hatulambi kwa mkono mzima😄
Message sent
Wasije waanze kukuongelea kwenye simu zao😄Hakika wameupata ujumbe
Makongoro akiwa anapiga speech live on a national yelevision inahitaji ujasiri maana street language za kutosha
Jamaa kitaa sana na anaweza kutoa boko any moment
Kuna maneno kayasema ni deep street am sure hata rais hakuyaelewa..
Mhh, Mh. kabobeka na mipasho atamwelewa tu
The man is funny and free soul creature with a bottle of hennessee in his hand.
Nyabhingi umesahahu kifimbo!
Hapo mkuu umedodosa vya kutosha, kama ningekuwa na bakuli la asali, mkuu ningetizama pembeni uchovye na mkono👍🏾
Amejishusha sana- very humble .
Ndiyo mambo kadhaa aliyoweza kurithi kutoka kwa Baba wa Taifa. Exemplary!
 
Wewe ndiye umeelewa hivyo? Bila yeye kusema hilo unafikiri hawa wanao ramba asali kwa urefu wa kamba zao wangeweza sema hilo?
Ha ha Nangale, hata mbuzi hula Asali! 🤣🤣
Mzee Makamba tu, ndiye aliyekuwa jasiri wa kulisema hilo-tutaona kama hao Watoto watakuja sema baadae
 
Hayo ameyasemea wapi mkuu, labda tuanzie hapo kwa sasa kabla hatujauangalia mkanganyiko huu kwa undani wake hasa.
 
Umeelewa alicho ongea Makongoro au unakimbilia kutafsiri ulevi. Angalia content ya mada yake ndio uelekee kwenye ulevi
..huyu jamaa ni mlevi-mlevi tu anabugia mshahara kwa kodi za Watz kwasababu ni mtoto wa Nyerere.

..ndio maana KATIBA MPYA ni muhimu ili wananchi wasiendelee kubeba mizigo kama hii.
 
..huyu jamaa ni mlevi-mlevi tu anabugia mshahara kwa kodi za Watz kwasababu ni mtoto wa Nyerere.

..ndio maana KATIBA MPYA ni muhimu ili wananchi wasiendelee kubeba mizigo kama hii.
Kwani aliomba kazi hiyo mkuu, au alitupiwa tu!

Walaumiwe hao wanaotoa ajira bila ya kuangalia vigezo vya wanaowaajiri. Lawama ielekezwe huko, sio kwa hawa wanaopewa kazi. Inaonekana yeye mwenyewe analizungumzia tatizo hilo hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…