Hapa Makongoro Nyerere kaamua kusema ukweli mbele ya Rais bila kupepesa macho

Hapa Makongoro Nyerere kaamua kusema ukweli mbele ya Rais bila kupepesa macho

Makongoro akiwa anapiga speech live on a national yelevision inahitaji ujasiri maana street language za kutosha...
Makongoro kachukua sura halisi ya mzee.

Tuliwahi kuwa marafiki zamani yaani jamaa is funny as hell.

Huwezi choka kumsikiliza
 
..huyu jamaa ni mlevi-mlevi tu anabugia mshahara kwa kodi za Watz kwasababu ni mtoto wa Nyerere.
...
👇🏾
Kaongea tu, lakini Makongoro ni mpambanaji sana tena bila hata kutegemea jina la baba yake.

Alikuwa Jeshini. Akaenda vitani Uganda.

Aligombea Ubunge Arusha kupitia NCCR Mageuzi 1995 baba yake akiwa hai na akashinda.

Na siku zote amekuwa yeye kama yeye kifikra na Mambo yake.
 
..huyu jamaa ni mlevi-mlevi tu anabugia mshahara kwa kodi za Watz kwasababu ni mtoto wa Nyerere.

..ndio maana KATIBA MPYA ni muhimu ili wananchi wasiendelee kubeba mizigo kama hii.
watu wengi wamepima alichosema sio alichokunywa, kazi yetu nikutafakari watoto wengi wavingozi wamekuwepo ktk nyakati nyingi wamelifanyia nn taifa?
 
Huyu jamaa ni mlevi-mlevi tu anabugia mshahara kwa kodi za Watanzania kwa sababu ni mtoto wa Nyerere.

Ndio maana KATIBA MPYA ni muhimu ili wananchi wasiendelee kubeba mizigo kama hii.
Bora Mlevi kuliko waramba asali
 
Ukisikiliza hayo maneno ya Makongoro alafu mtafakari January Makamba ndo utajua ana fanya sarakasi tu
 
Lakini nashindwa kabisa kuwaelewa baadhi ya hawa wazee, hasa huyu Waryoba.

Hivi woga ni wa kulinda maslahi yake au ya watoto wake?

Huyu mzee angeamua na kusimama (mithili ya Nyerere wakati ule baada ya kung'atuka); na kusimamia anayoyaamini bila kuyumba kabisa, angejijengea heshima kubwa sana kwenye taifa hili kuliko heshima aliyonayo kutokana na utumishi wake aliotumikia.

Kuna kitu gani zaidi katika umri wake ule zaidi ya Uzalendo kwa nchi yake tu basi!
Hata akitishiwa kufukuzwa ndani ya chama, hapo ndipo atazidi kuaminiwa zaidi na wananchi wanaotaka Katiba Mpya.

Sasa yeye sijui ni nini kinachomtisha zaidi. Bado anadhani atazabwa vibao kama vile alivyozabwa na Bashite wakati ule?

Jamani! Jamani! Jamani!

Yaani Mzee Warioba ajitoe mhanga namna hii kweli, kwa lipi? Mbona mnamtwisha zigo mzee wa watu!

Kwanza ni kwa uwezo gani ambao pengine mnadhani anao?

Huo uwenyekiti wa tume si alipewa tu, kama ambavyo anaweza kupewa mtu mwingine leo…. au alishinda tenda kwa uwezo maalumu!

Pengine mimi simfahamu vizuri, mbali na kuwa Jaji na Waziri Mkuu mstaafu…. ana uspesho gani wa kutingisha mhimili?

Yuko pale kwa maslahi yake na familia, watoto wake wapo kwenye system…. anatuchora tu.

Mwacheni amalizie uzee wake kwa utulivu, hajasahau yaliyowakuta wanzake kina Lowassa na Sumaye.
 
Hii kauli ni kubwa sana. Kuwa watoto wa viongozi wanapata nafasi si kwa sababu wamewahi fanya matendo makubwa ila ni sababu tu ya majina ya watoto wao.

Nadhani alikuwa anamaanisha yeye, Ridhwani Kikwete, Januari Makamba, Nape Nnauye n.k

Anasema wao wapo hapo ukisema utafute walichofanya mpaka kuwepo hapo utatafuta mpaka ukome. Ila ndo wapo sababu ya wazazi wao.

Sisi tunaokesha JF kuipigania CCM ni lini tutafika huko? Angalau nasi mtukumbuke jamani MNAPOLAMBA ASALI. KWA SASA MAKAMBA ANASEMA NI KULAMBA ASALI TU KWA KWENDA MBELE.


View attachment 2181892

Jumbe Brown mambo iko huku.

Kwa hakika bila katiba mpya wengibe wanapolamba asali, labda wengine ndiyo hivyo tena:

IMG_20220403_144603_993.jpg
 
"Mnasema ninapenda wanawake. Sasa mnataka nipende wanaume?" - Makongoro
 
Msg sent unakuta watoto wa vigogo hawana uwezo wwt na hawana mchango ktk taifa letu wamesoma shule kwa kodi zetu wamelelew kwa kodi zetu na baadae wameajiriw na wanalipw kodi zetu aka bongo lala ila wanabebwa na mfumo wa ccm # tunahitaji katiba mpya itakayo leta usawa kwa wtz wote#
Kama Nape ,yaan utatafuta wizara ya kumpa mpaka ukome.Mwishowe utampa wizara ya habari na michezo.Yaan hata darasa la Sana anaweza kuiongoza.Nape hamna kitu kichwani.Analazimisha tu .
 
Huyu jamaa ni mlevi-mlevi tu anabugia mshahara kwa kodi za Watanzania kwa sababu ni mtoto wa Nyerere.

Ndio maana KATIBA MPYA ni muhimu ili wananchi wasiendelee kubeba mizigo kama hii.
Makongoro nitamheshimu kwa kutokuwa na majivuno, ubaguzi na ni mtu anayejishusha kwa watu wote. Wanaomwita mlevi kwani yeye ndiye anayetengeneza pombe. Hana ukabila Wala udini. Ni mpenda watu. Huo aliotoa ni ujumbe kwa wengine wajitathmini Kama viatu walivyovalishwa vinawatosha. Charles Makongoro Nyerere Oyeeeeee! Katiba inahusu Nini hapo?
 
Huyu jamaa ni mlevi-mlevi tu anabugia mshahara kwa kodi za Watanzania kwa sababu ni mtoto wa Nyerere.

Ndio maana KATIBA MPYA ni muhimu ili wananchi wasiendelee kubeba mizigo kama hii.
Tusimhukumu kwa ulevi-ulevi wake. Tukifanya hivyo wapo wengi ambao hawatapona kwa kigezo hicho. Mnyonge mnyongeni bali haki yake mpeni.
 
Back
Top Bottom