Hapa Myahudi katumia teknolojia gani kwenye hili shambulio?

Israel huwa inacheza na supply ya vifaa vya maadui zake. Hata miaka ya 1980s ilimuua mkuu wa kundi la kigaidi kwa kubadilisha simu yake na kumpa yenye bomu. Kisha wakampigia simu, wakatuma drone juu ikanasa amepokea ikaruhusu mlipuko akafariki.
Sure, moja ya strategy ya Israel ni kusupply vifaa hafifu kwa ubora au hatari kwa adui wake.
 
Nimeiona wamepost Wall street journal ni hatari aisee
 
Sawa leo mmeshinda nyie washabiki wa Israel, hongereni. Sasa Israel imetangaza nafasi za kujiunga na jeshi kwa waafrica wanaotaka kwenda kuipigania Israel. Fanyeni hima nafasi ni chache yani 30000 tu, msituangushe ndugu zenu.
Mtakuwa mnatupa habari from the ground sio hapa JF tena
 
Kwani hoja nini!?.. tatizo unakimbilia mbali kiasi unasahau ulikotoka
 
😂😂😂😃Mkuu unapotosha tena kuhusu 1973!?
Aya bana hongera.
Pia usifananishe 1973 na sasa.
Sasa hivi hao waarabu sio wanyonge tena.
 
Myahudi alimpiga nani wewe?
Kule Sinai peninsula si alikimbia na kuacha idadi kubwa ya mateka wa Israel?
Na hiyo vita ilipiganwa kati ya Syria, Egypt na Israel.
Egypt mpango wake ulifanikiwa ila Syria ulifeli.
 
Acha kupotosha wewe Israel ana vita nyingi kashindwa ikiwemo zile kabla ya 1948.
KAMA UKITAKA SEMA TUKUTAJIE.
Hususan vita za kuanzia 2000 kuja 2024 takriban zote kashindwa.
Ukitaka sema tukutajie.
Washukuru tu USA,UK na Germany inawapa tafu.
Laa sivyo wasingetoboa hao.
Vita ya Oktoba 7 tu imewamalizia askari wengi sana na kuleta askari walemavu zaidi ya elfu sabini.
 
Huwezi jibu maswali ya watoto wa darasa la pili. Ina maana uwezo wako kiakili ni wa mtoto kikojozi kabisa chekechea.

Ni mpumbavu mwenzako ndio anaweza kukujibu wewe coz mtakua na akili same level,kuna aina ya maswali inakufanya umjue muulizaji kua ni Debe tupu.
Enhe wamerekodi na hizi? Video na picha ziko wapi?
Unaona sasa ulivyo Pimbi?
 
Hezbollah mtoto mdogo mbele ya Israel. Kichapo atakachopokea ni mama mkanye mwanao. Tulieni muone
Kabla hujashabikia kuhuzu israel kuipiga hezbollah lazima ujue kwamba makamanda wote israel wanmpinga netanyahu wazi wazi na kwamba anapigana sio kwa faida ya israel bali utashi wake wa kisiasa ikiwemo kukwepa kupelekwa mahakamani na kuendelea kukaa madarakani
Waziri wake wa vita benny gantz alimpinga waziwazi akajiuzulu na hadi sasa
As we speak waziri wa ulinzi wa sasa gallant nae anampinga waziwazi kwa kumwambia kwanza hawezi kupata total victory dhidi ya hamas na kwamba anadanganya ulimwengu
Maeneo yote aliyoyadhibiti gaza yote kwa sasahivi yamesharudi kwa hamas
Na sasahivi netanyahu anatishia kumfukuza gallant ingawa marekani anazuia hilo
Na lazima ujue kwamba israel kaishiwa wanajeshi sasahivi anachukua wahamiaji anawaingiza jeshini, sasa jiulize kupigana na mgambo kama hamas kaishiwa nguvu ,kwa hali ya sasa akipigana na hezbollah atapotea mazima atapigwa kipigo cha paka mwizi
Haya soma hapo taaria kutoka newyork times uelewe na uone makamanda wakuu wa isreal wanasemaje kuhusu netanyahu na uongo wake,uacha kushabikia kama zombie

 

Attachments

  • Screenshot_20240917-165808_Chrome.jpg
    367.7 KB · Views: 1
watumie majini labda kuwasiliana...naangalia aljazeera naona wanaonyesha mabaki ya vipager vina maandishi ya infinix ultra zero 😝😃🤣😆 kama ni kweli basi dah mchina naye kaingiliwa na myahudi
 
Ila hujashangazwa na BM la Yemen Dak 11 kutoka Yemen mpaka Tel Aviv limepita meli 3 za marekani destroyer, Arrows , David sling na Iron dome.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…