Kushindwa kusaidia na kutosaidia tu ni tofauti, wewe unatuambia kashindwa kusaidia sasa labda ueleze kashindwa kwa namna ipi? Kwamba hana uwezo wa kusaidia au kaamua tu kutosaidia?Ushahidi gani unataka na mateso yao unayaona?
Kuteseka kwao ni uthibitisho tosha kwamba Mungu Kashindwa kuwasaidia.
Huyo Mungu angekuwa anasaidia, Kusingekuwa na watu wanao teseka. Duniani.
Anakinzana na sifa zake mnazomwelezea:Kuna uhusiano gani wa kuwepo Mungu na hayo unayoyasema? Kwamba uwepo wa Mungu unategemea na yeye kutoa msaada?
Hebu nieleweshe.
Halitakuwa suala la kuamini tena.Sasa akijitokeza hadharani na kila mtu akajua uwepo wake bila utata je hapo itakuwa suala la kuamini tena? Hebu nieleweshe.
Duh! Na wewe ulishapotea. Duniani huku anakaa nchi gani? Labda kama nae jini anajificha. Ila mihasira watu waliyo nayo angekuwepo angekuwa ameshaumizwa au kutolewa. Na mbinguni huko ni wapi!?Yupo Duniani na Mbinguni.
Mungu anaaminiwa kwamba ana uwezo wa kila kitu, Lakini Mungu huyo kashindwa kusaidia chochote kile. Hivyo Mungu mwenye uwezo wa kila kitu, Hayupo.Kushindwa kusaidia na kutosaidia tu ni tofauti, wewe unatuambia kashindwa kusaidia sasa labda ueleze kashindwa kwa namna ipi? Kwamba hana uwezo wa kusaidia au kaamua tu kutosaidia?
Hahahahaha yupo lakini haijulikani katokea wapi!!!! Hapo huoni unajichanganya!? Acha kumeza matango ya wazunguYuko Mbinguni, Chanzo chake hakijulikani
1) Hii hoja ingekuwa na mashiko kama Mungu angekuwa ameahidi kwamba hatoacha wala kuruhusu kiumbe ateseke hapa duniani kwa sababu yeye ana upendo, kwa sababu yapo mambo mengine ambayo huonyesha hiyo sifa ya upendo wa Mungu.Anakinzana na sifa zake mnazomwelezea:
1.Mwenye Upendo
Utaacha viumbe ulioumba mwenyewe wateseke ili hali unaweza kuwanasua kwenye huo mkwamo!
2.Mwenye Kusamehe
Alimtupa kuzimu shetani kwa kosa moja tu!
Fikiria hizo mbili, halafu tuambie huyu fictional character wenu kama sio fake ni nini?
Hahahahaha basi uwepo wake waachie wachungaji. Nao wanachunga nini!? Njama za wizi tu. Hakuna wanachokijuaWachungaji mje mnisaidie Jamani mimi nashindwa kujibu
😀Ebu soma hili andiko kwanza then ukae ujifikilie:
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiria unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
Mpumbavu husema moyoni, Hakuna Mungu; Ni wafisadi, na wametenda mambo ya kuchukiza, Hakuna atendaye mema. Zab 53:1Habari za siku ya leo WanaJamiiForums?
Kama kichwa cha habari kilivyojitosheleza. Sababu zinazonifanya niwe na mashaka na uwepo wa Mungu ni hizi hapa.
Sina dhambi mi ni mtakatifu haswa,
Lakini nimepitia mambo mazito mno ambayo mtu yeyote lazima angekuwa na mashaka na uwepo wa Mungu.
Sio kwamba simuamini Mungu kwa asilimia mia, Bali nina mashaka na uwepo wake (Nipo DILEMMA).
Ni hayo tu
Hoja bado dhaifu, wapi Mungu aliahidi kusaidia?Mungu anaaminiwa kwamba ana uwezo wa kila kitu, Lakini Mungu huyo kashindwa kusaidia chochote kile. Hivyo Mungu mwenye uwezo wa kila kitu, Hayupo.
Mungu anaaminiwa kwamba ana upendo na huruma sana, Kama kaamua kutosaidia, Basi ni makusudi.
Na kwa maana hiyo, Mungu mwenye upendo na huruma, Hayupo.
Sifa za Mungu ndizo zinamfanya asiwepo.
SUnaona sasa? lengo la Mungu ni imani watu kumuamini ila wewe unataka isiwe imani, ndio maana numekuwa nauliza kipi kinamfanya alazimike yeye kujionyesha?Halitakuwa suala la kuamini tena.
Litakuwa suala la kujua kwa uhakika kabisa kwamba Mungu yupo.
Mungu hajawahi kuahidi kusaidia. Mungu hayupo.Hoja bado dhaifu, wapi Mungu aliahidi kusaidia?
Yani kwa sababu tu ana sifa ya upendo na uwezo ndio analazimika kusaidia kwa kila jambo kisa ana hizo sifa?
Halafu ipo mifano yenye kuonyesha uwepo hizo sifa, sasa utasemaje sifa zinamfanya asiwepo?
HAA!! 🙄🙄 Hii mpya.Hata kama ni mipango ya shetani ila watendaji ni binaadamu wenyewe, shetani hamforce mtu kufanya kitu.
Unachekesha kweli kweli wwSina dhambi mi ni mtakatifu haswa,
Lakini nimepitia mambo mazito mno ambayo mtu yeyote lazima angekuwa na mashaka na uwepo wa Mungu.
Mimi sitaki isiwe imani.SUnaona sasa? lengo la Mungu ni imani watu kumuamini ila wewe unataka isiwe imani, ndio maana numekuwa nauliza kipi kinamfanya alazimike yeye kujionyesha?
Ndio maana yanaelezwa faida na hasara za kuamini na kutoamini.
Matapeli wanaojiita manabii, wanamdhihaki Mungu kila siku na bado wanawapiga hela waumini wao na hawafanyi lolote!!Mungu yupo na hapendi kudhihakiwa.
Huyo Mungu, Kwa nini aliumba binadamu wapumbavu wanaosema yeye hayupo?Mpumbavu husema moyoni, Hakuna Mungu; Ni wafisadi, na wametenda mambo ya kuchukiza, Hakuna atendaye mema. Zab 53:1
Hakuna hizo hoja kabisa.1) Hii hoja ingekuwa na mashiko kama Mungu angekuwa ameahidi kwamba hatoacha wala kuruhusu kiumbe ateseke hapa duniani kwa sababu yeye ana upendo, kwa sababu yapo mambo mengine ambayo huonyesha hiyo sifa ya upendo wa Mungu.
2)Kuna visa vingi sana venye kuonyesha sifa ya Mungu ya kusamehe, na hadi sasa bado ipo ofa ya watu kusamehewa kwa sababu ya hiyo sifa ya kusamehe.
Ndio maana nashangaa kutumia hizo hoja kufanya hitimisho la kusema hakuna Mungu. Hizo sifa za Mungu zipo nyingi hili nalo mlizingatie.