witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Hakuna mtu anajua kabila langu humu JFHalaf wote kabila moja atii
Amini nakwambia, mi najua vilugha vingi humu TZ
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mtu anajua kabila langu humu JFHalaf wote kabila moja atii
Acha roho mbaya mkuu.Haya mambo ya baby baby hakuna hapa!!
Napenda kuona watu wanaachana kama hivi mlivoachana safi sana pumbavu!!!
Manina walai...Bado sijakuelewa.Hahaa najua hamuwezi kuelewa venye tulivyowaaminisha kwa kipindi chote kile! Ni hivi mfano wewe in real life umewowa na una familia yako kabisa ila huku jf katika chatichati ukakutana na mchuchu mwingine feelings zikaumana so huku jf mnabebisha kama kawa ila in reality u mume wa mtu! Sijui mmenielewa ndugu zangu Chakorii Joanah Shadow7
Vous parlez Francais?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]we nae uliza swali hapa
Hapa tunataka maswali tuu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hapana mkuu wity kakaa kimbea mbea na kifukunyuku zaidi!
Hahaha sijakutwa na chochote mie nina stress zangu tu za maisha
Mbona hukuniita kwa hii comment[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kanivuruga haki mfano hakuna...Na katuvuruga kweli huyu mtoto wa mjini[emoji16][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Chonka wity!!!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]we nae uliza swali hapa
Hapa tunataka maswali tuu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Angalia takwimu best, Wanaume tunaongoza kufa. Angalia mtaani kwenu namba ya Wanaume wenye umri wangu wa 78yrs kama utawapata😀😀🙌🙈🏃🏻🏃🏻Hata sisi tuna kufa mapema😂😂
Hakuna mtu anajua kabila langu humu JF
Amini nakwambia, mi najua vilugha vingi humu TZ
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hili swali halijibiwi sijui kwanini[emoji1787][emoji1787][emoji16]Kwa hiyo jimbo lipo wazi kwake
Sikujua kumbe kuna timu humuKumbe mzigua ana timu humu😂😂
Mbona hukuniita kwa hii comment[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
I was asleep asee ndo nazinduka
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hivi brajec survey bado iko inasurvive?Thanks dear, twende Brajec leo tukakate keki [emoji1635]
Hili swali halijibiwi sijui kwanini[emoji1787][emoji1787][emoji16]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ubishi kiaje mrembo!kwenye mambo yale hamnaga ubishiKweli binadamu ni wabishi sana!
[emoji1787][emoji1787][emoji16]Kwa kuwa ukipost tu napata notification au?