Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Kama aliwahi kuishabikia ccm na viongozi wake tumuache kama alivyoKwa akili ya kawaida mwanaume anaejielewa hawezi kufanya haya. Imefika wakati baada ya mazoea ya kusuka "twende kilioni" naona kaanza kuvaa na zile ''hereni kubwa" View attachment 1636696za akina mama.
Muda utaongea. Tuendelee kuwa watazamaji.
View attachment 1636697
Hivi na Kikuku atakuwa hajavaa kweli! Embu turushie picha ya miguu yake tuoneHawavai bikini kweli hawa?
Naunga mkono hojaElimu,elimu,elimu!
Mambo mengi yanaigwa bila kuzingatia mila na utamaduni wetu.
Msanii wa afrika akisifiwa anaenda kusuka nywele,kutoboa masikio na kuvaa hereni,yaani anaelekea kufanya mambo yasiyokuwa na mwelekeo na mila na tamaduni zetu.
Wasanii wetu wajifunze kujiweka katika hadhi inayokubalika.
Kwanini unasuka?Binafsi nasuka ila hiyo hapana
Niko tayari kumpakataJamaa Kawa Hovyo Sana
Bado Nadhani Kupakatwa
π€£π€£π€£π€£π€£Sasa kama watu wake wa karibu ni kina h baba unategemea nnππππ
HahahaSasa kama watu wake wa karibu ni kina h baba unategemea nnππππ
πππ ππππNiko tayari kumpakata
Kuzaa Mtoto Wa Kiume Na Kumlea Ni Kazi
Hapo Sasa Hivi Ndiyo Anaitwa Nani?Konde Boy Ama Konde Girl!!!
Hapo Sasa Hivi Ndiyo Tumemdharau
Wagosi Wa Kaya Wana Song Lao
Wanasema Tunao Wakina Kaka Wanaoshikishwa Ukuta [emoji16][emoji23][emoji28][emoji1][emoji57]
Uzi huu na comment zote humu za kishamba acheni ushamba watanzania
Kwanini mmekaa kujadili maisha ya watu?
Maisha binafsi ya mtu yanakuhusuni Nini
Na kama mnajiona mko sawa sana badilisheni dunia au Tanzania iwe Kama mnavyotaka nyie ni jambo ambalo hamuwezi sasa kwanini mdajadili ujinga
Anatembelea nyota ya fenimismKwa akili ya kawaida mwanaume anaejielewa hawezi kufanya haya. Imefika wakati baada ya mazoea ya kusuka "twende kilioni" naona kaanza kuvaa na zile ''hereni kubwa" View attachment 1636696za akina mama.
Muda utaongea. Tuendelee kuwa watazamaji.
View attachment 1636697
Mbingu huioni weweNa siku izi ananenepa nyuma sijui kwann
Ben Pol hii yake n to much kwa kwel cjui n stres za kuachwa na yule Mkenya ama nnKuna mwenzake Ben Pol kapaka rangi kwenye vidole vya mikono. Hata kama ni urembo this is too much.
Huwezi kupangia watu kuishi unavyotaka weweWe ni Bwabwa sio bure.
Nyie ndio wajinga ambao mnailazimisha jamii iyaone mambo ya kipuuzi na kishenzi kuwa mambo ya kawaida. Hivi mwanaume kuappear kwenye female form kwako wewe iko sawa tu ??
Hakuna cha ushamba wala ndugu yake na ushamba.! Harmonize amezingua pamoja wewe mwenyewe bwabwa lake